Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walistahili hata kushinda, kuna goli moja Ulloa alikosa. Wenger mbishi alafu habadiliki kujiadjust na modern game. Hana tactics, ni kama anawaambia tu wachezaji, haya! Nendeni mkacheze mpira, regardless tunacheza na nani. Tujipange.

Give me a break kwa mpira gani? Wachezaji wao walikuwa wanabebwa na refa Kosc kaumia no card, Ozil kaumia no card, Ox kaumia no card this referee was unbelievable unless we were watching a different game. Modern game unayoongelea ni ipi? Prof halipwi £8 million na ushee kama angekuwa mwehu. Timu ipo nzuri ni mwanzo tu wa msimu kuna timu wanatamani mafanikio yetu under Prof.

Sijui tar13 man cty watatutendaje...ngoja tusubiri hii deadline itakuwsje. We need quick precise world class striker...sijui nini kimempata ozil...infact sisi na man u tupo njia moja....Wenger afanye maamuzi kabls ya saa6..otherwise hata iyo playoff zake za kucheza uefazitapotea

Hao City tuliwachabanga 3 mtungi City ipi unayoiongelea ... .... .
 
Prof kasema kama atapata mchezaji atanunua, hadi hivi sasa waliopo wanatosha sasa nyie arm chair pundits sijui mnafundisha timu gani?
 

.......Stats zinajielezea hapo, all we need is a clinical finisher!

Dahh, #Sanogo wanamnanga vibaya vibaya katika Media....
hii either itamuondoshea confidence, au itamjengea ari....ila it's a bit too late.

Reminicing the days of Nicolas Anelka, Thierry Henry.....

Wivu unawasumbua hata Rambo walikuwa wanamsimanga kila uchwao, lakini leo hii ndio wanaimba jina lake mimi sina wasi wasi na kazi anayoifanya Prof. hata wenye timu wanamwamini let the haters get off the prof.

Mancs jana wamepoteza game wana strikers wangapi?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Good or Bad all are the moods of the day. Kuna siku team inakuwa imeamka vibaya tu kama nyingine. Kwahyo msikate tamaa, mbona mliwafunga city??

Dah! Sawa! Noja tuwe na subira, ila kocha wetu anatuvunja mioyo, anajua au kusikia kabisa toka kwa ma-expert huko UK tunaitaji nini ili kuwa complete. Ebu cheki Chelsea, mwaka jana Mourinho alijua ni kitu gani alikuwa anahitaji kuikamilisha timu yake, mchezaji wa calibre ya Costa, world class striker. Sisi tunalazimisha Sanogo, giroud ni mzuri kama sub. Ngoja tuone anavyoisuka, ila dalili za mvua ni mawingu. Mechi yetu ya kwanza haikuwa nzuri ingawa tulishinda. Anyway! Ngoja tujenge timu ila tactics lazima professor abadilike pia!
 
Hakika mkuu Sanogo ni mzuri but ni ukweli kuwa ilipaswa atolewe kwa mkopo akakue zaidi.
All in all lets wait and see what will happen katika masaa machache yaliyobaki kuelekea Dirisha kufungwa.

Kabisa, alihitajiwa kwenda mkopo timu nyingine ya EPL.
 
Wivu unawasumbua hata Rambo walikuwa wanamsimanga kila uchwao, lakini leo hii ndio wanaimba jina lake mimi sina wasi wasi na kazi anayoifanya Prof. hata wenye timu wanamwamini let the haters get off the prof.

Mancs jana wamepoteza game wana strikers wangapi?
.....halafu na sie tuna bahati mbaya, last minute Buys ndio tunaokoteza kina Carlos Vela...
Anyway, We are The Gunners, #InWengerWeTrust!

hao wazee wa 7Up si umeona jana wamechezesha World Cup Squad?....Rooney, Van Persie, Di Maria, Mata!!!
yaani
ukiona kwako kunaungulia, kwa mwenzio kunateketea! English Media tangu lini waka support Arsenal bana?
wao ndio waliompaisha Moyes maskini ya mungu akajiona #TheChoosenOne, ....wamempaisha LVG, sasa hivi wanamkandia na tactics zake.......
 
Dah! Sawa! Noja tuwe na subira, ila kocha wetu anatuvunja mioyo, anajua au kusikia kabisa toka kwa ma-expert huko UK tunaitaji nini ili kuwa complete. Ebu cheki Chelsea, mwaka jana Mourinho alijua ni kitu gani alikuwa anahitaji kuikamilisha timu yake, mchezaji wa calibre ya Costa, world class striker. Sisi tunalazimisha Sanogo, giroud ni mzuri kama sub. Ngoja tuone anavyoisuka, ila dalili za mvua ni mawingu. Mechi yetu ya kwanza haikuwa nzuri ingawa tulishinda. Anyway! Ngoja tujenge timu ila tactics lazima professor abadilike pia!

Mkuu hao Chelsick utawaona wataishia wapi? Sina wasi wasi na wauza unga, you guys haven't seen anything yet, hao ma-expert kwa nini wasiwe makocha wanakaa kuganga njaa na wanaowahusudu ni wachezaji wa wingereza tu, you better live with this Brits to understand them ni kinyongo tu kinawasumbua kwa sababu wanataka british person to coach Gunners ili apate mshahara mnono. Mkuu Prof ni top manager wala usiwe na wasi wasi.

About the game goli walilopata ni fortunate kwa sababu Kosc (uliona sub ilitokea mara moja) alikuwa kaumia na hakuwa at his best .... ..... it happens we played every other 3/4 days tangu ligi ianze kwa hiyo usiwe na wasi wasi.


BTW Sanogo ni mzuri sana nyie ngojeni mtakuja kukiri hapa, wakati ule Rambo kila siku walikuwa wanamsakama sasa ndie star ..... ..... ... wait for Sanogo time ..... ..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mkuu hao Chelsick utawaona wataishia wapi? Sina wasi wasi na wauza unga, you guys haven't seen anything yet, hao ma-expert kwa nini wasiwe makocha wanakaa kuganga njaa na wanaowahusudu ni wachezaji wa wingereza tu, you better live with this Brits to understand them ni kinyongo tu kinawasumbua kwa sababu wanataka british person to coach Gunners ili apate mshahara mnono. Mkuu Prof ni top manager wala usiwe na wasi wasi.

About the game goli walilopata ni fortunate kwa sababu Kosc (uliona sub ilitokea mara moja) alikuwa kaumia na hakuwa at his best .... ..... it happens we played every other 3/4 days tangu ligi ianze kwa hiyo usiwe na wasi wasi.


BTW Sanogo ni mzuri sana nyie ngojeni mtakuja kukiri hapa, wakati ule Rambo kila siku walikuwa wanamsakama sasa ndie star ..... ..... ... wait for Sanogo time ..... ..

.....hahahahaha! nimeipenda hiyo "SANOGO TIME!"
Watamkubali tu hawa wenyewe, hahahahahhh.....!

<span style="color:#b22222;"><font size="3"><span style="font-family:book antiqua;"><em><strong>
 
Last edited by a moderator:
_77287693_calum_chambers_getty.jpg


COYG
 
Give me a break kwa mpira gani? Wachezaji wao walikuwa wanabebwa na refa Kosc kaumia no card, Ozil kaumia no card, Ox kaumia no card this referee was unbelievable unless we were watching a different game. Modern game unayoongelea ni ipi? Prof halipwi £8 million na ushee kama angekuwa mwehu. Timu ipo nzuri ni mwanzo tu wa msimu kuna timu wanatamani mafanikio yetu under Prof.



Hao City tuliwachabanga 3 mtungi City ipi unayoiongelea ... .... .
Let us give credits where it's due, walituhenyesha na wao ndo wamekosa more clear chances za kuscore. It wouldn't surprise no one if they snatched max points. Ila pt 1 si mbaya, tutakuja ona faida yake baadae!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wivu unawasumbua hata Rambo walikuwa wanamsimanga kila uchwao, lakini leo hii ndio wanaimba jina lake mimi sina wasi wasi na kazi anayoifanya Prof. hata wenye timu wanamwamini let the haters get off the prof.

Mancs jana wamepoteza game wana strikers wangapi?

Ramsay ilikuwa ni transition period kwa timu nzima kipindi hicho. Tulimvumilia Sasa hivi ni muda wa ku deliver, sio trial and error za Sanogo. Dogo ni mzuri ila si wakumtegemea kwa sasa. Angepelekwa mkopo kwanza msimu mzima.
 
Tutafika tu hata hivyo, naamini Le prof ataweka mambo sawa mambo madogo madogo. COYG!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ni majanga mkuu, kama team ndogo iliopanda daraja msimu huu imetutoa kamasi itakuwaje tukikutana na liver, cty na chrlsea. Labda kwa miujiza..

Mbona mliifunga man city? Hata sisi burnley walikaza
 

.......Stats zinajielezea hapo, all we need is a clinical finisher!

Dahh, #Sanogo wanamnanga vibaya vibaya katika Media....
hii either itamuondoshea confidence, au itamjengea ari....ila it's a bit too late.

Reminicing the days of Nicolas Anelka, Thierry Henry.....

Huyo babu wenu atasaini kweli?? Nadra sana kumuona wenger kuvunja benki
 
Back
Top Bottom