Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu imebakia saa moja dirisha la usajili kufungwa.

Arsenal tayari wamefanya usajili wa Danny Webeck kutoka klabu ya Manchester Utd.
1000x6801.jpg


Danny likiwa ni jina la utani kwa kijana huyu mwenye asili ya Ghana anaitwa jina kwa kirefu Daniel Nii Tackie Mensah Welbeck.

Welbeck aligunduliwa na wakufunzi wa mzee Alex Ferguson akiwa na umri wa miaka 6 tu na akawekwa kwenye mpango maalum wa kukuza vipaji vya vijana au Academy.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Alikuwa ni Cerci yule..nadhan anakaribia kwenda ATLETICO MADRID, sijui kama deal yake imekamilika..

Me sidhan kama ni halali pia kwa some of Arsenal fans kumlaumu Wenger kuhusu Falcao, kumlipa mtu mwenye miaka 29 mshahara wa 350k per week lazima uwe umechanganyikiwa kidogo na ukichukulia ni just a LOAN deal..

But Wellbeck ni kama Sanogo tu, Wenger kama alikuwa anataka cheap options REMY angefit sana pale Arsenal..


ImageUploadedByJamiiForums1409605986.336221.jpg
.....Stats haziongopi!
Ab-Titchaz ee, hebu nisaidie kuongeza ukubwa wa hizi stats
kwa faida ya wapenzi wa Man City, Chelsea, Arsenal, Liverpool na wana 7Up!

attachment.php


 
Wakuu wa Ghana msibishane na hawa wanaopewa pesa za bure na kutumia tu kama ile mtu anafanya show ya kutupa pesa.

Arsene Wenger anaiendesha klabu hii kibiashara na sio kama timu zingine zinangoja pesa itolewe na mtu mmoja, maamuzi yote ya uendeshaji wa timu yanabarikiwa na bodi nzima ya Arsenal.
 
Ila mchezaji akiwa mkopo na club yake mama si huwa inashea kumlipa kiasi fulabi? Au!

Man Utd atakuwa wakimlipa Falcao paundi milioni 6 kwa mwaka mzima yaani huo ndio mshahara wake atakapokuwa Man Utd.

Ila wakitaka kumsajili moja kwa moja basihio milioni 6 itaondolewa na Man Utd watawalipa Monaco milioni 50.
 
Dah! Ila Wenger nuksi. Wenger ni mchumi, sio kocha. Angepanda uongozi wa juu tu awe mshauri huko. kwa hiyo angalau wachezaji wawili tumewaongeza msimu huu. Sanchez na Welbeck (endapo atadhibitishwa), sababu kiukweli Debuchy ni direct replacement wa Sagna, na Chambers ni direct replacement wa TV5. Labda kwa Welbeck sasa waingereza wataanza kumpenda kidogo Wenger kwa kuwa na viyoso vingi vya timu ya taifa. Ila Kiungo mkabaji ndo tusahau sasa. NB: Welbeck endapo atadhibitishwa hatimaye atakuwa kaiona Champions League, wakati RVP, Rooney, Di Maria, Falcao hawapo! Lol!
 
Deal nililokuwa nikilizungumzia linawahusu mchezaji Matija Nastasic wa Man City ambae anaona huenda akakaa bench kwa muda mrefu hasa baada ya kusajiliwa beki mwingine Eliaquim Mangala.

Hivyo mzee Manuel Pellegrini ana mabeki wanne ambao ni Vincent Kompany, Martin Demichelis na Dedryck Boyata.

Man City hawataki masuala ya mikopo wao wanataka fedha taslimu.
 
Man Utd atakuwa wakimlipa Falcao paundi milioni 6 kwa mwaka mzima yaani huo ndio mshahara wake atakapokuwa Man Utd.

Ila wakitaka kumsajili moja kwa moja basihio milioni 6 itaondolewa na Man Utd watawalipa Monaco milioni 50.

ooooh! Okei. Kwa hiyo upande wa mshahara Monaco hawahusiki. Si ndio? Dah!
 

£ 350,000 per Week FALCAO.
£ 300,000 per Week Rooney
£ 250,000 per Week Di Maria
£ 220,000 per Week, Van Persie.....

#7UpWamechanganyikiwa!......

Ooooppsss, wamesajili golikipa wa Sampdoria! .....still loading!
:nerd::nerd::nerd:​

Imagine wakiikosa Top4...
 
Welbeck atatusaidia wadau kwani namkumbuka alivyokua sunderland na Gyan alikua sharp sana..kampita mbali sana sanogoal..

Welbeck ana uwezo wa kumiliki mpira, ana mbio na ana uwezo pia wa kuuchezea mpira "dribbling", tatizo lake kubwa ni hilo la ufungaji lakini akiwa amezungukwa na watu kama Mesut Ozil, Arron Ramsey au Santi Cazorla na Sanchez ataweza kuwafanya Man Utd wajutie kumwachia aende Arsenal.

Jambo linguine la msingi ni kwamba ana uzoefu na ligi.

Atakuwa nyota akiwa Arsenal kuliko Yaya Sanogo.
 
Wakuu Dirisha la usajili limefungwa rasmi lakini Danny Welbeck atatangazwa kuwa mchezaji wa Arsenal baada ya kama saa moja hivi.

ARSENAL wameomba muda kule FA ili kushughulikia suala la paperwork na kuhakikisha kwamba deal lote limekamilika.
 
Alafu kibaya zaidi, Manu hamna eti sijui LVG apewe time, watu wanataka matokeo fasta. Yaani sasa hivi hiyo pressure ndo balaa. LVG atakonda, Wakifungwa au kudroo hapatatosha.

tatizo kubwa la Man Utd ni midfield na defense..

Striking force yao itakuwa kali sana, lakin with Fletcher au Carrick as their holding mid, yatakuwa ni yale yale tu, kutwanga maji kwenye KINU..

Afu LVG itabid ajue 3-5-2 ni ngumu sana kufanikiwa katika league ya UK..

Baada ya game yao dhidi ya QPR pale OT, wataenda kwa wale watoto waliowakazia jana, asa kwa mfumo wake wa 3-5-2, itakuwa ni aibu nyingine!!!
 
tatizo kubwa la Man Utd ni midfield na defense..

Striking force yao itakuwa kali sana, lakin with Fletcher au Carrick as their holding mid, yatakuwa ni yale yale tu, kutwanga maji kwenye KINU..

Afu LVG itabid ajue 3-5-2 ni ngumu sana kufanikiwa katika league ya UK..

Baada ya game yao dhidi ya QPR pale OT, wataenda kwa wale watoto waliowakazia jana, asa kwa mfumo wake wa 3-5-2, itakuwa ni aibu nyingine!!!

Hio ni great analysis.

Man Utd wamesahau kuziba pengo la Rio Ferdinand, Patrice Evra na Nemanja Vidic, hawa walikuwa ndio wanahusika kuunda ngome imara ya Man Utd.

Lakini si mbaya watani wetu wanapangua na kupanga upya, sie twapita pembeni tukichagua.
 
Back
Top Bottom