Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

man city na Bayern walikuwa kundi moja mwaka jana.
chelsea fc na shalke walikuwa kundi moja mwaka jana.
arsenal fc na dortmund walikuwa kundi moja mwaka jana.

na wote walivuka hatua ya makundi..hakuna jipya hapa..ha aha mshindwe wenyewewe..


Kundi E huyu ndugu yetu mwenye ukoo na manure nahisi tutampoteza yuko pabaya mno
 
Nani anakumbuka kwamba wewe ni un-beaten? la kwanza watu wanauliza umewahi kuwa bingwa?
kama bado unasema bado?...alf unaleta hivyo visiingizio..

salama lakini mkuu "......native"?:wacko:

hahah agost 08 salama tu lakini najua unbeaten inakuuma kichizi coz morinho alitaka kuitest mancity ya anelka akatibua.. Na hii sifa ndo inafanya london kuwa red 4rever..
 
Arsenal are in talks with Monaco striker Radamel Falcao's agent over a possible loan move.

_77261119_453112922.jpg
 
Arsenal are in talks with Monaco striker Radamel Falcao's agent over a possible loan move.

_77261119_453112922.jpg

Mzee Wenger nae kwa kupenda #Mteremko ! Utadhani hao Monaco hawapo kwenye Champs League vile.

Otherwise hii ni story ya kuuzia gazeti tu. Subiri updates za Richard, yeye akibandika post ya transfer hata miwani huna haja ivaa mara mbili mbili...
 
Last edited by a moderator:
Mzee Wenger nae kwa kupenda #Mteremko ! Utadhani hao Monaco hawapo kwenye Champs League vile.

Otherwise hii ni story ya kuuzia gazeti tu. Subiri updates za Richard, yeye akibandika post ya transfer hata miwani huna haja ivaa mara mbili mbili...

Hii ni kwa mujibu wa agent wa Falcao na siyo Wenger. Huyu jamaa mbaya wa Chelsea, Mentor anamfahamu.
 
Last edited by a moderator:
453069504-e1409304625827.jpg


Monaco hawakubali kumuuza Radamel Falcao bali, wamekubali
kumtoa kwa mkopo wa mwaka moja
Total cost £20 million - inaonekana wanataka ku-balance check book yao.
Prof yupo gado ameficha karata zake, lakini wachunguzi wa mambo wamebaini
Falcao Columbian star atatua
Emirates on a d-day.

Na hapo ndipo Gunners watakuwa wamefunga kazi .... ... .. COYG


BTW nimeambiwa Morinyo tayari kapata tumbo la kuharisha .... .... ..
 
453069504-e1409304625827.jpg


Monaco hawakubali kumuuza Radamel Falcao bali, wamekubali
kumtoa kwa mkopo wa mwaka moja
Total cost £20 million - inaonekana wanataka ku-balance check book yao.
Prof yupo gado ameficha karata zake, lakini wachunguzi wa mambo wamebaini
Falcao Columbian star atatua
Emirates on a d-day.

Na hapo ndipo Gunners watakuwa wamefunga kazi .... ... .. COYG


BTW nimeambiwa Morinyo tayari kapata tumbo la kuharisha .... .... ..

Ndoto za mchana kweupe.
 
Highest Probablity Score for Burnley vs Manchester United

[h=1]Burnley[/h][h=2]2[/h]
VS


[h=1]Manchester United[/h][h=2]1[/h]
 
Mkuu huyu jamaa tayari katua real madrid tumemkosa

....yeah man, tayari habari za uhakika zinaonyesha 'Falcao' ameelekea Madrid.
Wakati huo huo....;

[FONT=open_sansregular]Arsenal are on the brink of signing Paris Saint-Germain midfielder Adrien Rabiot after the France Under-21 international's agent arrived in London. The Gunners are poised to complete an £11.9 million transfer for the 19-year-old.[/FONT]
 


_77259725_arsene_wenger_reuters.jpg

Arsene Wenger signed £42.5m Mesut Ozil in last season's summer transfer window

29 August 2014 Last updated at 15:02 GMT

Arsene Wenger: Arsenal boss says deadline day is like poker

Arsene Wenger believes transfer deadline day is like a "poker game", as he seeks to add to the Arsenal squad before the window closes on Monday.
The Gunners boss says many clubs bluff during the final days of business.
"I will be actively involved on the final day of the window and I will be on alert until the last minute of transfer deadline day," he said.
"Many clubs are on the market and everybody knows each other. The last few days are a poker game."
Wenger splashed out £42.5m this time last year on Germany midfielder Mesut Ozil and says they are always prepared to spend on the right player.
But he added: "There's a lot of lies there in the few days, everybody is interested in the same player even if you're the only one who wants the player."
_77262794_olivier_giroud_afp.jpg

Olivier Giroud broke his leg minutes after equalising against Everton last Saturday

Wenger, whose team travel to promoted Leicester City on Sunday, says he has enough striking options to cover for Olivier Giroud who has had surgery on a broken leg.
The French striker was top-scorer last season with 22 goals and is expected to be out for four months.
Wenger said: "If I give you the number of strikers I have at the moment, it's absolutely unbelievable.
"We have (Yaya) Sanogo, (Alexis) Sanchez, we have (Theo) Walcott, we have (Lukas) Podolski, we have Giroud who will come back during the season and I forget maybe one or two. (Joel) Campbell can play centre forward as well.
"The success of a season doesn't depend on one player that you buy or not. I think you do it when you think it strengthens your squad. If you find the right player you want to do it. We have shown in the last two seasons, when we think money has to be spent we do it."
 
Back
Top Bottom