Are you invited?

Are you invited?

Nitakuwekea kwenye ungo,
Miye sio ninayetoa mialiko mpendwa....

Hao kuku nilikuuliza kwetu Msumbiji nitawapataje?

hivi hii party itafanyikia wapi?hapa najivika hadhi ya usukuma uza ng'ombe natumia pesa yote..
watu8 niambie hiyo party itakuwa lini nitatinga hata nisipoalikwa,
 
Last edited by a moderator:
teheeee!!!! wazee wa kukimbia madeni mbona wanajulikana. ukiwakopesha tu umeumia.

ha ha ha aah haya bana imenchekesha hiyo ya kuchange ID na kuhamia siasani kisa deni. naimagine mtu kakimbilia kujificha katkat ya kundi la watu asionekane very funny!!!
 
Are you invited....?



Na wengineo.......
Who invites others, basing on what grounds?
How much is the cost? do i have to come with another me or Jf ladies can do me a favor?
I gat what they always want and need.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom