Are you invited?

Are you invited?

Aya mamaaa wa kuji-zoom...nothing personal ata ivyo.
Hahaaaaaaa! Offence intended none! Taken none! ITS A FREE COUNTRY SINCE 9th December 1961! (Republic of Tanzania National Constitution, 1966) Japo hii citation ya kimagumashi! Cc wana historia!
 
Duh!

Kaazi kweli kweli.

Parrrry kufanyika bado lakini ndo hivi.....ikifanyika je?!?!?!
 
Huyu Mtambuzi atakuwa ni mmoja wa Moderator, wengine wakiweka uzi kama huu utapelekwa chit-chat haraka sana, ila huyu jamaa thread zake huwa zinaishia MMU tu! halafu pia ni mbinafsi sana. Anawa-tag watu wake halafu anasema na.,"..na wengineo" kwani hao aliowa-tag hawapo kwenye hao wengineo?
Are you invited?
tatizo umetoa hukumu ungeuliza kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Ushatoka kule katerero bibie?

Mi naungurumia tarime for now!

whats the cost?

ha ha npo seerena na Mtambuzi na lara 1 mda huu kwa ajili ya kuweka mambo sawa.
kama hujui cost means your not invited am afraid to give out that information.
ila nipe kama kilo tatu zitantosha
 
Last edited by a moderator:
ha ha npo seerena na Mtambuzi na lara 1 mda huu kwa ajili ya kuweka mambo sawa.
kama hujui cost means your not invited am afraid to give out that information.
ila nipe kama kilo tatu zitantosha
THE SHOW MUST GO ON! If you are not invited dont TAKE IT PERSONAL!:hurt::hurt::hurt::hurt:
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mzee Mtambuzi mm hata kama siko invited basi nimejialika mwenyewe
 
Jamani mbuga ni kubwana sanaaa! Najua wewe msomi hapa tukitumia policy ya Adam smith ya mwenye nguvu ndo ampate man of the hour, tutachinaaaa na kumalizana wenyewe kwa wenyewe!, Tutumie tu policy ya John Nash! Nash equilibrium itumike, ambapo tunawinda pamoja kila mtu anapata size yake! Adam Smith is a dead man, so are his policies!

Sasa basi natangaza nia mapemaaa kwa grafani11, just talking and campany! Matola atakuwa nje ya nchi so sidhani kama atakuja! kama hajaalikwa babu mtambuzi nitaku pertition vibaya mnooo! Fanya tu umualike! Si unajua mi sio mtu wa kubanana pale pale!:A S wink:
Unanitafutia vita na Matola...anyway just can't afford to miss the named offer from U.
 

Attachments

  • love%200012[2].jpg
    love%200012[2].jpg
    12.1 KB · Views: 140
Last edited by a moderator:
Aisee.... Mtambuzi.
Naona kazi imeanza......nishajihakikishia
Nafasi 1 imeshaondoka.....nawasubiri wengineo tutakaojumuika nao.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom