Are you invited?

Are you invited?

Ahahaaaaaa! Sasa kuchangamsha genge huko watu wengine wana perceive kama sisi tuna ubaguzi au vipi! Na wengine wana ID kibao kazi yao kuponda tu hizi events miaka na miaka japo hata waponde vipi lazima zifanyike na zifanikiwe iwe isiwe! Sasa wewe ulivokuwa unachangamsha genge sio rahisi kutofautisha kama ni mchangamsha genge au hater! Ndo maana mi nikatoa jibu elekezi kuwa WHAT EVER THE CASE ITS A FREE COUNTRY, SIO LAZIMA MTU FALNI AWEPO, NA WALA SIO LAZIA MTU FLANI ASIWEPO, ANAVOJISIKIA TU MTU, HAMNA ATAEPUNGUZA CHOCHOTE AU KUONGEZA! Its a free country once again!

Got u madam
 
Hahaaaaaaaa! That will be a bit extreme! 50k kwa bazazi is what i consider unfair transaction and prepostrous! Mi nashauri declare interest tu ya SECRET ADMIERER kama Badibeybey! Hahahaaaaaaa!

nahisi raha ya mtoko huu uwe na chombo pembeni sasa na mie mgeni humu pm yangu ina msg moja tu ya kuuliziwa biashara ya shamba itakuaje sasa kuna mdada yeyote alie pending humu?? atapata ofa ya wine glass mbili na kulipiwa kiingilio plz kwa alie tayari niombee mualiko
 
Hahaaaaa! We si juzi hapa ulikuwa unaposwa na KAKA KIZA? Maisha haya kaka kiza anaimbisha kazier anapewa mzigo! Naona K na Z unapatana nazo sanaaa!

Hahahaaa uwaache mabazazi wapumuweee....
 
nahisi raha ya mtoko huu uwe na chombo pembeni sasa na mie mgeni humu pm yangu ina msg moja tu ya kuuliziwa biashara ya shamba itakuaje sasa kuna mdada yeyote alie pending humu?? atapata ofa ya wine glass mbili na kulipiwa kiingilio plz kwa alie tayari niombee mualiko
Hahaaaaaaaaa! Bwana Shamba na wewe! Hatwendi hivo banaaaa! Unaweza ku mpm yeyote wewe unaeona mnaendana interest ukamwambia im treating you this one, just for company na TALKS, hahaaaaaa! Hachomoi mtu! Vya bure vitamujeeeeee! Hahaaaaa!
 
Hahaaaaaaaaa! Bwana Shamba na wewe! Hatwendi hivo banaaaa! Unaweza ku mpm yeyote wewe unaeona mnaendana interest ukamwambia im treating you this one, just for company na TALKS, hahaaaaaa! Hachomoi mtu! Vya bure vitamujeeeeee! Hahaaaaa!

dih yaan mpaka natetemeka jinsi ya kumuanza mtu unajua kuna watu wakiwa nyuma ya kiibodi ni mafundi wa kuandika lakn ukiomba tu unaskia oooh mie mama mchungaji au mara nimeandika tuu. ngoja niwaalike mafundi wangu watu8 asakuta same Shakir
 
Last edited by a moderator:
Sorry if i was UNECESSARILY RUDE to you, i appologise! My bad! Si unajua tenaaaa! Ukingatwa na nyoka hata tujani tukikugusa unastukaaaa!

Awww that's sweet of u. Thanks doll. Yameisha ndugu yangu
 
nahisi raha ya mtoko huu uwe na chombo pembeni sasa na mie mgeni humu pm yangu ina msg moja tu ya kuuliziwa biashara ya shamba itakuaje sasa kuna mdada yeyote alie pending humu?? atapata ofa ya wine glass mbili na kulipiwa kiingilio plz kwa alie tayari niombee mualiko

cc lara 1 aalikwe huyu nimemuombea tu usiwaze far
 
Last edited by a moderator:
tasavali asiwe bebi angu Kaizer..lol




Hahaaaa umejuaje???? Yan huyo ndo yuko mawazoni mwangu. Ndo tabu ya kuolewa na bazazi...anakuwa mume wa wote

orait hizi taarifa zote zimenifikia


Hahaaaaa! We si juzi hapa ulikuwa unaposwa na KAKA KIZA? Maisha haya kaka kiza anaimbisha kazier anapewa mzigo! Naona K na Z unapatana nazo sanaaa!




cc KakaKiiza kwa taarifa na mwendelezo wa ndoto hewa.
 
Last edited by a moderator:
dih yaan mpaka natetemeka jinsi ya kumuanza mtu unajua kuna watu wakiwa nyuma ya kiibodi ni mafundi wa kuandika lakn ukiomba tu unaskia oooh mie mama mchungaji au mara nimeandika tuu. ngoja niwaalike mafundi wangu watu8 asakuta same Shakir
Hahahahaaaa! Huyo ASKutasame ni FATHER OF THE NATION, DUME LA MBEGU HILO, Usichukue pointer kwake! Hahaaaaaa! Doc i see youuuuuuuuuuu!
Back to the game!
Bwanashamba unanichosha si bureee! Sasa sikia nikwambiw kitu hamna mwanamke aaetaka aonekane maharage ya mbeya maji mara moja, akikataa wewe INSIST tu, mpaka akubali myabe you are feeling something special, somethin unique for her after all! Hahaaaaaaa! Firstlady wa ma Bazazi! Japo Mentor anajitahidi sana kuni disqualify!
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaaaa! That will be a bit extreme! 50k kwa bazazi is what i consider unfair transaction and prepostrous! Mi nashauri declare interest tu ya SECRET ADMIERER kama Badibeybey! Hahahaaaaaaa!

Hahahah sio unafair transaction...ujue mtoko wa siku hiyo anagharamia wote kuanzia kiatu hadi nywele (as if ninazo)....manake kuna mtu huwa anasema asilimia tisini ya wanaume hum ni mabazazi tu kasoro tu wengine hawajihusishi na movements za chama....kwa hiyo bora upatiwe na bazazi ukijua kwamba utalipa kuliko mtu kujifanya anakulipia tu then unakuja kulipa unknowingly hahahaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom