Are you invited?

Are you invited?

Ila usije kuvalia ile minguo ya maccm, maana shida yenu hamjuwagi hata tofauti na maudhui yaendane na mavazi gani.

Heee mtu avae anachopenda bhana...kwa hiyo mi nikijivalia tisheti yangu ya I love Jesus mtanitimua?
 
teheeee!!!! wazee wa kukimbia madeni mbona wanajulikana. ukiwakopesha tu umeumia.
Hahaaaaa! Kila shetani na mbuyu wake! Unaweza kukopwa wewe ila mwnzioa aaah ANAMWAGIWA MAHELAAAAAAA! Au unamgea bureeeeeee tu kuwaziba watu midomo kwani inaisha ile?
 
Hayo mambo ya aliye juu mngoje chini yamenikost sana...saiv sitaki
Boraaaa shosti INAHUSU KUJIFICHA FICHA KAMA KONDO LA UZAZI? Unakaa nyuma nyuma kama makalio kila siku! Akhaaaaaaaaa! Lazima mtu uwe social, una socialise na watu, outgoing, mingling sio kukaa nyuma nyuma huku UNAFATILIA KWA UKARIBU TU! Heheeeeeeeeeeeya! Iogope sana nyota ya mpishi kushinda jikoni na majungu! Inahuuuuuuuuu! Lazima ualikwe!
 
Hahahaaaa......hakyanani!!! LOL

Aione Mtambuzi na lara 1 au teyari seat zishajaa?
Hahaaaaaa! Wengine wanajichetua tu waonekane wamo baaas! Mtu anaetaka kualikwa anasema jamani im interested can i join? Kiutu uzima zaidi! Hayo ya tusio na hiki mara kile inahuuuuuuuuu!
 
Umejuaje besti? Labda wameongeza idadi!
Shoga ITS A FREE COUNTRY SINCE 1961 isitoshe mtu mzima hata siku moja habembelezwi! You want in, you are in hujisikii kafie mbele vile vile! Hupunguzi wala huongezi chochote!
 
Boraaaa shosti INAHUSU KUJIFICHA FICHA KAMA KONDO LA UZAZI? Unakaa nyuma nyuma kama makalio kila siku! Akhaaaaaaaaa! Lazima mtu uwe social, una socialise na watu, outgoing, mingling sio kukaa nyuma nyuma huku UNAFATILIA KWA UKARIBU TU! Heheeeeeeeeeeeya! Iogope sana nyota ya mpishi kushinda jikoni na majungu! Inahuuuuuuuuu! Lazima ualikwe!

Hahaaaa....ila shoga mi naneng'eneka tu hapa....hela ya outing mi niitoe wapi na wakati mwenyenyumba namkimbia....jioni nasubiri alale then naingia kwa kunyata. Mwambie bas shem ajiguseguse mfukoni kidogo hihihihiii.....
 
Hahaaaa....ila shoga mi naneng'eneka tu hapa....hela ya outing mi niitoe wapi na wakati mwenyenyumba namkimbia....jioni nasubiri alale then naingia kwa kunyata. Mwambie bas shem ajiguseguse mfukoni kidogo hihihihiii.....
Shoga mjini chuo kikuuu! Huoni haya mtoto wa kike uliekamilika kukosa 50k? Aaaaaaaaah! Unaniangusha shoga yangu mie! Mwenzio watu wananiambia hio 50k sio issue na chonde chonde tufanyie booking ya hapo hapo Serena tunalala $195/night maana tunaingia na Precission leo, tunalala hapo na siku ya tukio kesho yake tunaondoka!

Jikague shoga angu! Maisha ndo haya haya we ibane weeee nyenyere watafaidi si utani! Hahaaaaaaaa!
 
Hahaaaaaa! Wengine wanajichetua tu waonekane wamo baaas! Mtu anaetaka kualikwa anasema jamani im interested can i join? Kiutu uzima zaidi! Hayo ya tusio na hiki mara kile inahuuuuuuuuu!

Daah lara 1 I wasn't that much serious. Sasa nijichetue ili nani anione? Nimeandika tu kuchangamsha genge coz najua hakuna kualikwa ni hela yako tu ndo itakualika. Kwani title ilivyoandikwa "are u invited" alimaanisha kuwa wametoa kadi za mualiko kwa watu special?? Anyway sorry kwa wale niliowakwaza kwa comment yangu.
 
Last edited by a moderator:
Daah lara 1 I wasn't that much serious. Sasa nijichetue ili nani anione? Nimeandika tu kuchangamsha genge coz najua hakuna kualikwa ni hela yako tu ndo itakualika. Kwani title ilivyoandikwa "are u invited" alimaanisha kuwa wametoa kadi za mualiko kwa watu special?? Anyway sorry kwa wale niliowakwaza kwa comment yangu.

Mmmh kuna mialiko mpenz
 
Last edited by a moderator:
Shoga mjini chuo kikuuu! Huoni haya mtoto wa kike uliekamilika kukosa 50k? Aaaaaaaaah! Unaniangusha shoga yangu mie! Mwenzio watu wananiambia hio 50k sio issue na chonde chonde tufanyie booking ya hapo hapo Serena tunalala $195/night maana tunaingia na Precission leo, tunalala hapo na siku ya tukio kesho yake tunaondoka!

Jikague shoga angu! Maisha ndo haya haya we ibane weeee nyenyere watafaidi si utani! Hahaaaaaaaa!

Hahahahaaaa....kiruuu..ngoja nitafute libazazi limoja linilipie lol
 
Daah lara 1 I wasn't that much serious. Sasa nijichetue ili nani anione? Nimeandika tu kuchangamsha genge coz najua hakuna kualikwa ni hela yako tu ndo itakualika. Kwani title ilivyoandikwa "are u invited" alimaanisha kuwa wametoa kadi za mualiko kwa watu special?? Anyway sorry kwa wale niliowakwaza kwa comment yangu.
Ahahaaaaaa! Sasa kuchangamsha genge huko watu wengine wana perceive kama sisi tuna ubaguzi au vipi! Na wengine wana ID kibao kazi yao kuponda tu hizi events miaka na miaka japo hata waponde vipi lazima zifanyike na zifanikiwe iwe isiwe! Sasa wewe ulivokuwa unachangamsha genge sio rahisi kutofautisha kama ni mchangamsha genge au hater! Ndo maana mi nikatoa jibu elekezi kuwa WHAT EVER THE CASE ITS A FREE COUNTRY, SIO LAZIMA MTU FALNI AWEPO, NA WALA SIO LAZIA MTU FLANI ASIWEPO, ANAVOJISIKIA TU MTU, HAMNA ATAEPUNGUZA CHOCHOTE AU KUONGEZA! Its a free country once again!
 
Hahahahaaaa....kiruuu..ngoja nitafute libazazi limoja linilipie lol
Hahaaaaaaaa! That will be a bit extreme! 50k kwa bazazi is what i consider unfair transaction and prepostrous! Mi nashauri declare interest tu ya SECRET ADMIERER kama Badibeybey! Hahahaaaaaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom