Aaaaaaaaaw!!!! Ushamlipia lakini au ndo mwendo wa kukutana huko huko?
Are you invited.mhhhh hii show looks goooood....nahitaji sponsor tho...
Are you invited.
Mkimaliza yaishie hukohuko na mmalizane huko huko. Ikitokea umekopwa udai kimyakimya hatutaki kujaziana nyuzi hapa za malalamiko hapa na ubuyu wa PM
Mkimaliza yaishie hukohuko na mmalizane huko huko. Ikitokea umekopwa udai kimyakimya hatutaki kujaziana nyuzi hapa za malalamiko hapa na ubuyu wa PM
Sherehe bongo
yah I am..aren't you?
ITS A FREE COUNTRY TUTAWEKA NYUZI MPAKA MWISHO WA DUNIA IKIBIDI! Jamvi huru hili kila mtu anafanya anacjojisikia!Mkimaliza yaishie hukohuko na mmalizane huko huko. Ikitokea umekopwa udai kimyakimya hatutaki kujaziana nyuzi hapa za malalamiko hapa na ubuyu wa PM
Hata sielewi
ha ha ha sasa mdaiwa kama hapokei simu tena je? anaonekana tu kwenye thread za watu? deni litamuandama hadi huku....
hahahahaha!!!! lazma mdaiwa abadili ID.
asithubutu kukutwa na hiyo new id ha ha ha...pambafff alitumwa kukopa atalipa tu!!!
anabadili ID halafu anashinda jukwaa la siasa. mmu hammuoni tena.