Kwenye rushwa ya kitaasisi hakuna maendeleo, ulisoma wapi wewe.Wewe ndio wa hovyo hovyo kabisa. Kwa sasa Taifa linapitia kipindi cha kuelekea maendeleo ya kweli. Kaa na wivu wako na mavidonda yako ya tumbo.
Kwel watu walizoa ujanja ujanja mtu hana kazi ya maana lakini anaishi maisha ya kifffahhariii,Jibu rahisi to a complex moral decay. Jamaa anatengeneza taifa jipya tofauti na aliloliasisi JKN.
Mimi kitambo nilikwishajua kuwa anachokisema sio anachokipractice. Pole yako Tz uliikataa rasimu ya Warioba sasa ndio uijue hii katika ikoje.
Wewe unaijua rushwa wewee? Anza kwanza huko kwenu uone kama mko salama na mnaweza kunyoshea wenzenu vidole. Unajua ni kwa nini viongozi wako wako kimya kasoro muoza mdomo na janja?Kwenye rushwa ya kitaasisi hakuna maendeleo, ulisoma wapi wewe.