Soma tena ulichoandika, rekabisha ndiyo tuelewe ulichoandika hapaKwani kakosea wapi au kitu gani?
JPM oyeeeeeeee
Bahati nzuri nilimfahamu vya kutosha huyu Bwana kabla.Mi nashauri kwanza jikumbushe 2015 ulimpigia kura nani ?
Two Hundred, How much?Hali ngumu kweli leo kwenye biashara yangu nimepata 200/= (Two hundred only)
Mkapa, Mwinyi, Kikwete and CCM MPs you will be answerable! You are the cause of all these sufferingsWazee tajwa hapo Juu, kama mnasoma basi tunawaombeni mkaongee na Rais wetu haraka sana maana anapotupeleka sio pazuri kabisa. Watanzania hatumwamini Rais wetu tena, kila yule ambae anasimama kwenye haki anachotwa mtama. Tanzania ni ya sisi sote, sio ya wale ambao wanaruhusiwa kuingia Ikulu.
Madikteta wote wanaanza hivyo hivyo, kila upinzani inazidi basi hasira zao pia zinazidi na wanaendelewa kutumia madaraka yao vibaya, mpaka utu ndani ya roho inakwisha.
PLEASE SAVE THIS COUNTRY BY SPEAKING TO JPM
Naona wale karibu nae aidha wanamwoogopa au wana maslahi yao ya kibinafsi! Tafadhalini Wazee, hatutaki vita, vita ni kitu kibaya sana, ila sasa kama haki itaanza kunyimwa basi ni fitra ya binaadamu kubeba silaha!
Let's not F*U*C*K this country up just because some of us cannot handle power.
Hao uliowataja watafanya nini mkuu?????au unawatafutia matatizo???Wazee tajwa hapo Juu,
Kama mnasoma basi tunawaombeni mkaongee na Rais wetu haraka sana maana anapotupeleka sio pazuri kabisa. Watanzania hatumwamini Rais wetu tena, kila yule ambae anasimama kwenye haki anachotwa mtama. Tanzania ni ya sisi sote, sio ya wale ambao wanaruhusiwa kuingia Ikulu. Madikteta wote wanaanza hivyo hivyo, kila upinzani inazidi basi hasira zao pia zinazidi na wanaendelewa kutumia madaraka yao vibaya, mpaka utu ndani ya roho inakwisha.
PLEASE SAVE THIS COUNTRY BY SPEAKING TO Magufuli
Naona wale karibu nae aidha wanamwoogopa au wana maslahi yao ya kibinafsi! Tafadhalini Wazee, hatutaki vita, vita ni kitu kibaya sana, ila sasa kama haki itaanza kunyimwa basi ni fitra ya binaadamu kubeba silaha.