GhostCoder
Member
- Aug 13, 2015
- 8
- 4
Hivi kwa hili linaloendelea sasa nchini kama waziri anaunda tume ya uchunguzi kupata ukweli kesho yake amesimamwishwa kazi. swali la kujiuliza je mawaziri waliobaki tutegemee kweli watafanya kazi kwa ufanisi na kusimamia ukweli na haki pale wananchi watakapo zulumiwa haki zao za msingi?