Panzermeyer
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 471
- 325
Hhmm, huu mwaka ni kaazi kweli kweli. Tutayumbishwa mpaka tukomeHabari za chini ya kapeti inasemekana nafasi zinatoka mwezi wa nnr
Hhmm, huu mwaka ni kaazi kweli kweli. Tutayumbishwa mpaka tukomeHabari za chini ya kapeti inasemekana nafasi zinatoka mwezi wa nnr
Let's be Calm Guys Everything gonna be Okay, Toka 2. February 2016 Kuna Mtu Alinitonya kutoka Mahali akasema " Let you have a simple look from 16 April 2016 , I think that date Il fall on Saturday. Kwa hyo Tuwe Wavumilivu na wapole Mungu ataisaidia .Hhmm, huu mwaka ni kaazi kweli kweli. Tutayumbishwa mpaka tukome
Kana Mura Ahsante.Ok karib dar ndug...
Hahahaa karibu sana mkuu.Let's be Calm Guys Everything gonna be Okay, Toka 2. February 2016 Kuna Mtu Alinitonya kutoka Mahali akasema " Let you have a simple look from 16 April 2016 , I think that date Il fall on Saturday. Kwa hyo Tuwe Wavumilivu na wapole Mungu ataisaidia .
After all Alvin, Aleyn,Shefwaa na wengine Niko Ndani ya Kisbo express Natoka Mwanza naja Dar. FITINA ZOTE Zitajulikana
Ahsante Sana Tata Mura Mrito @# Shefwaa.Hahahaa karibu sana mkuu.
Ngoma soon itaachiwa
Karb mula Mungu akufkshe salama hukuLet's be Calm Guys Everything gonna be Okay, Toka 2. February 2016 Kuna Mtu Alinitonya kutoka Mahali akasema " Let you have a simple look from 16 April 2016 , I think that date Il fall on Saturday. Kwa hyo Tuwe Wavumilivu na wapole Mungu ataisaidia .
After all Alvin, Aleyn,Shefwaa na wengine Niko Ndani ya Kisbo express Natoka Mwanza naja Dar. FITINA ZOTE Zitajulikana
Nasikia Happy Nation zinakimbia sana, hiyo vipi?Ahsante Sana Ndugu yangu.
Haaa Haaa HAPPY NATION iko nyuma yetu tumeicha Singida mpaka Saa hii sisi Tuko Dododma Hapa.Nasikia Happy Nation zinakimbia sana, hiyo vipi?
Gari gani umepanda?Haaa Haaa HAPPY NATION iko nyuma yetu tumeicha Singida mpaka Saa hii sisi Tuko Dododma Hapa.
Kisbo Express kaka.Gari gani umepanda?
Hiyo nayo nasikia ni noma, kisbo na happy nation.Kisbo Express kaka.
Yeah Huyu Mura hata kwenye Corner alikwabgua tu kwa 60, Kimsingi hizi ndo Gari zinazowahi mapema nyingine Ni mpaka Saa Saba ndo ufike Dar. Kulikua na Ngoma Express na yenyewe ilikua inatisha Sana kwa sasa imeshachoka.Hiyo nayo nasikia ni noma, kisbo na happy nation.
Hapana Mkuu sio Kweli .Naona vijana wa musoma-tarime mko mstari wa mbele.
Enhe ulivyoenda kwa mshauri kakwambiaje??Nafasi zmeshatangazwa source my bro captain pale navy kgamboni ndo kanambia now niende kwa mshauri wa mgambo nikfka nmpgie simu....usipuuzie nenda kwa mkuu wa mkoa now
Hatari sana Hao vijanahaswaaa,maana naona kijana anatuchezesha vidogori bado ajamaliza hili mara kaja na lingine
Dogo unahangaika sana hadi huruma, Kwani nafasi zikitoka Tangazo si litabandikwa ofisini kwa mkuu wa Wilaya unayoishi kijana! Kwanini unahangaika kila siku kwenda kwa mkuu wa mkoa?Guys nmefka wanafunga ofisi wamenambia kesho asubuh....fatlien mikoan mlipo nmefka saa tisa na nusu ndo wanatoka ofisin