Nje ya Mada
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,399
- 491
Hujanielewa.. Nimemaanisha sio lazima wote mfuzu,Ni lazima utimize vigezo vyao.
Hujanielewa.. Nimemaanisha sio lazima wote mfuzu,Ni lazima utimize vigezo vyao.
Watu wameshakua nyota teari huko monduli kwa idadi ya afisa wapya 586 kati yao 80 madaktari, 6 marubani na naona hapa form six wa sayansi wamekula shavu kwa idadi ya watu 500
Military academyHongera zao sana
Daah ukipita "Tanzania Marathon Academy" salama na ukala jiwe unastahili pongezi
Angalia funga na fungua semi mkuuMilitary academy
mkuu umenifurahisha hilo nenp marathon.. ni kweli bhana kule kukimbia ni kama chakula tena co mchaka mchaka wa kitoto unaweza kuanza mchaka mchaka kuanzia ubungo hadi kibamba yaani ukiamka unakimbia, kabla hujala unakimbia, baada ya kula unakimbia, kabla ya kipindi unakimbia, kabla hujalala unakimbia, mm naona wanariadha tuwachukue huku jeshini maana wataiwakilisha vyema nchi kimataifaHongera zao sana
Daah ukipita "Tanzania Marathon Academy" salama na ukala jiwe unastahili pongezi
una tetesi zozote za kujitorea mwaka huuFungua moyo kijana utaingia tuu
Kwa Uzoefu kiDogo nlionao ni kwamba Kidato cha sita wao ni kwa Mujibu wa Sheria, Na nDio maana kuna utofauti mkubwa ktk Umri..Nilikua Nina pitia Website ya JKT nikakuta Wamegawanya makundi ya Vijana kwa sehemu mbili ..
Kundi la kwanza wamewaita Vijana wa kujitolea ambao ni wale wa kuanzia elimu ya darasa ya saba ambao wanahitaji wa kuanzia umri wa miaka 18 hadi 23
Alafu kundi la pili ni wale wa kuanzia kidato cha sita na kuendelea ambao umri wao ni miaka 18 hadi 35 ndio wanachukuliwa ..
Sasa hapa swali langu hawa ambao wanaoanzia kidato cha sita kwanini hawajaitwa wa kujitolea?? Hawa wa kidato cha sita Ina maana ukimaliza mafunzo na ukifanya vizur unakua muajiliwa wa JKT au inakuaje ? Na mikataba ya JKT imekaaje kwa askari wanaopewa mikataba?
Naomba kufahamishwa wakuu