Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Guys nmefka wanafunga ofisi wamenambia kesho asubuh....fatlien mikoan mlipo nmefka saa tisa na nusu ndo wanatoka ofisin
 
nafasi bado hazijatoka. huo ni utapeli unaofanywa kila mwaka

kitu cha msingi fuatilia sana vyombo vya habari tv,redio,(hasa habari) na website yao tu. blog sio za kuziamini sana maana wapo kibishara.

website ya jkt imeshafunguka unaweza kwenda kuicheki au kama inagoma ingia kuanzia saa 8 mchana mpaka 11 jioni.

KUMBUKA KUTAPELIWA NI KUPENDA MWENYEWE
 
nafasi bado hazijatoka. huo ni utapeli unaofanywa kila mwaka

kitu cha msingi fuatilia sana vyombo vya habari tv,redio,(hasa habari) na website yao tu. blog sio za kuziamini sana maana wapo kibishara.

website ya jkt imeshafunguka unaweza kwenda kuicheki au kama inagoma ingia kuanzia saa 8 mchana mpaka 11 jioni.

KUMBUKA KUTAPELIWA NI KUPENDA MWENYEWE
Asante mkuu.
 
Hivi JKT ni Kukubwa kiasi gani? Je Mtatosha huko nimeona watu wengi wanataka kwenda huko!
 
Ndio maana na wao huchagua wale wenye vigezo wanavyovitaka na idadi wanayoweza kuimudu mchujo upo kuanzia hatua za awali hadi katika vipimo na sio wote watafanikiwa kupita hizo hatua
 
Ebhana wanadai mwezi huu lazma ila aliefoj hilo tangazo wameshampata tayari...tuwe wavumilvu tu tukafanye kazi za watu
Kana Tata Alvin 101 Ukiangaria kure juu kabisa Mimi niritoa onyo kwamba Mang'ana ya Hawa majamaa watu waache kuyazusha ovyo ovyo kwanza wenyewe PIA Wako humu humu wanakua wanatoa Tu Ira wanaamua kukaa kimya lakini kama ukikosea Kare kautaratibu na kuandika mang'ana gha urongo wanakamata.
 
Mkuu hujapata taarifa yoyote mpaka sasa.
Hawa jamaa wanafanyaje kazi? Inamaana ratiba zao za kutoka ofisini, kati ya wafanyakazi wake wa dsm na mikoani ni tofauti? Maana wiki iliyopita, siku ya alhamisi majora ya 02 : 51 nilikua kwa DC wilaya ya temeke kuulizia nafasi. Nikaambiwa nimechelewa, eti hua wanatoka ofisini 02 : 30
 
Hawa jamaa wanafanyaje kazi? Inamaana ratiba zao za kutoka ofisini, kati ya wafanyakazi wake wa dsm na mikoani ni tofauti? Maana wiki iliyopita, siku ya alhamisi majora ya 02 : 51 nilikua kwa DC wilaya ya temeke kuulizia nafasi. Nikaambiwa nimechelewa, eti hua wanatoka ofisini 02 : 30
Mkuu sijakuelewa. Ebu dadafua kidogo.
 
Kana Tata Alvin 101 Ukiangaria kure juu kabisa Mimi niritoa onyo kwamba Mang'ana ya Hawa majamaa watu waache kuyazusha ovyo ovyo kwanza wenyewe PIA Wako humu humu wanakua wanatoa Tu Ira wanaamua kukaa kimya lakini kama ukikosea Kare kautaratibu na kuandika mang'ana gha urongo wanakamata.
Nakumbuka mura ultoa onyo kali watu waache kusambaza ile form
 
Hawa jamaa wanafanyaje kazi? Inamaana ratiba zao za kutoka ofisini, kati ya wafanyakazi wake wa dsm na mikoani ni tofauti? Maana wiki iliyopita, siku ya alhamisi majora ya 02 : 51 nilikua kwa DC wilaya ya temeke kuulizia nafasi. Nikaambiwa nimechelewa, eti hua wanatoka ofisini 02 : 30
Bro ni kwel ofis zote za jeshi znafungwa saa tisa mzee ila kwa hapo walieah kdogo
 
Ndug zng wa jf mbona nasikia mzigo umetoka na watu washaanza mchakato ni kwel au?
 
Hivi JKT ni Kukubwa kiasi gani? Je Mtatosha huko nimeona watu wengi wanataka kwenda huko!
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
 
Back
Top Bottom