Ing'ang'a
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,866
- 1,284
Kama Kawa Tata Tuko Front siku zote kujua nn kitakua nn.Kazi inaendelea baada ya ckukuu.
Cc Mura Makanya, Aleyn, Alvin 101, tang'ana na wengine.
Kama Kawa Tata Tuko Front siku zote kujua nn kitakua nn.Kazi inaendelea baada ya ckukuu.
Cc Mura Makanya, Aleyn, Alvin 101, tang'ana na wengine.
Na Sasa Kwa mujibu Wa wadau walioko uko kwa Sasa hv na waliowahi kupitia wanashauri kiburi cha Elimu watu wakifika Kule wakiweke Pembeni vingine unaweza kuvunjwa hata Mgongo Yan ule Udigirii na Usharabaro wa kichuo kikuu kwenye mambo ya kijeshi hautakiwi kabisa.jamani naomba kuuliza hivi hata mtu aliemaliza chuo kikuu anaenda jkt ?kwann asingeenda tangu alivyomaliza form 4 au 6
Pamoja mkuuMimi Niliambiwa Nikasome kwanza ndiyo nije Nitumikie Taifa Lakini Toka niko Kamura kadogo nilitamani kuwa Msojaa Na Hasa Nishakua nshasoma soma Kidogo Bado ile Ndoto yangu ya Utoto na sasa niko mtu mzima Napenda Sana kuwa miongoni mwa wale Wamura .
kimsingi niko Tiyari kuitumikia Nchi yangu kwa kulitumikia Jeshi . Siendi kisa Mob hapana Hiari na nafsi yangu Mimi Mwenyewe Tu inanisukuma kwenda uko .
Haina Noma Sana Kaka.Pamoja mkuu
Hahaha eti usharobaroNa Sasa Kwa mujibu Wa wadau walioko uko kwa Sasa hv na waliowahi kupitia wanashauri kiburi cha Elimu watu wakifika Kule wakiweke Pembeni vingine unaweza kuvunjwa hata Mgongo Yan ule Udigirii na Usharabaro wa kichuo kikuu kwenye mambo ya kijeshi hautakiwi kabisa.
Unaambiwa wale Wakufunzi Hawataki masharabaro kinoma wanazingua mbaya Sana.Hahaha eti usharobaro
Hahaha sawa kakaUnaambiwa wale Wakufunzi Hawataki masharabaro kinoma wanazingua mbaya Sana.
Kazi Kazi MARUFUKU KUKATA TAMAA muraKazi inaendelea baada ya ckukuu.
Cc Mura Makanya, Aleyn, Alvin 101, tang'ana na wengine.
Huenda wanafanya MaintenanceWeb imefungwa
Tulia kabisa.Shida yako kwangu Ni Hasa Mkuu.
Sawa ILA sijui kisa nnTulia kabisa.
Mkuu unajua umeongea mengi sana? Nakushauri usiandike chochote kwenye huu uzi.Sawa ILA sijui kisa nn
Wewe kama nani?Mkuu unajua umeongea mengi sana? Nakushauri usiandike chochote kwenye huu uzi.
Ndugu yangu Mimi sikujui wala wee hunijui ya tugombanie kwenye social media , get your way.Mkuu unajua umeongea mengi sana? Nakushauri usiandike chochote kwenye huu uzi.
Ni ushauri tu, nadhani kuna mtu alishakuambia.Ndugu yangu Mimi sikujui wala wee hunijui ya tugombanie kwenye social media , get your way.
Daah Haya Bana wabongo kwa kunyanyasana kihadhi na kinafasi bana acha Tu Basi Aisee Ila najiuliza Mleta Uzi je?Ni ushauri tu, nadhani kuna mtu alishakuambia.