Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Saa nnne ntaenda ofisi za mshauri wa mgambo kwa mkuu wa mkoa then ntawapa jbu vjana
 
Nafasi hazitolewagi kwa siri kama unavyosema huwa zinatagazwa kwenye vyombo vya habari vyote hapa nchini.. kuanzia kwenye tovuti yao, ubao wa matangazo wilayani, magazeti, Tv mpaka redio.. nyie ndo mnapotosha watu mtaani kuwa nafasi zinatoka kwa siri ndomana watu wengi wanapigwa pesa kutokana wanajua inshu hii ni siri
sasa ni chombo gan kinachotangazaga nafasi za jeshi kama sio kwenye web yao au gazet gan ambalo linatoaga hz nafasi? Na kama m2 kuliwa huwa analiwa kwa kutojua au kwa kushawishiwa maana kila wanapofunga mafunzo ya jkt hawajawah kuacha kuutahadhilisha umma kuhusu matapeli wanaojifanya ni wanajesh au wa2 wanaoweza kuwasaidia, na kama ingekua inatangazwa kwenye vyombo vya habari bas ungekua unamuona msemaji wa jesh anaongea kwenye vyombo vya habari kuhusu huu utapeli unaoendelea. Cha muhimu ni kufaham jeshi linataratibu zake za kutangaza nafasi zake kama taasisi muhim ya serikali na haiwezi tangaza ovyo ovyo kama matokeo ya form 4 au 6 kwenye taarifa za habari cha muhim nikutembelea sehemu husika ili uweze kujua nini kinaendelea.
 
Nmetoka ofisi ya mshauri wa mgambo nafasi bado hawajatoa h
Jkt ila kati ya ijumaa au jtatu next week ...so tuwe wapole
 
Nafasi zmeshatangazwa source my bro captain pale navy kgamboni ndo kanambia now niende kwa mshauri wa mgambo nikfka nmpgie simu....usipuuzie nenda kwa mkuu wa mkoa now
 
Nahic itakuwa n uzushi wa watu
Kama n kweli wangetangaza kwenye page yao.
 
Tovuti imefunguka ila hakuna tangazo la Nafasi za kujitolea 2016.
 
Nyie kurupukeni tuu, ntakuja rukishwa kichura mbele za mademu wenu

Mambo ya kijeshi hayaitaji mzaa kabisa
BORA UCHEZEE BOT KULIKO CHEZEA JESHI
 
Back
Top Bottom