Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

2007 😳 mhh!ndo nipo la pili kaloleni msingi palee😀😀😀. asee kuhack pamoa itakuwa ngumu sanaa mybe travel and relaxation and some indoor activities pale elewana lodge ndani ya shangrilla estate
 
2007 😳 mhh!ndo nipo la pili kaloleni msingi palee😀😀😀. asee kuhack pamoa itakuwa ngumu sanaa mybe travel and relaxation and some indoor activities pale elewana lodge ndani ya shangrilla estate
Umekosa vigezo 😂😂
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

  1. Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
  2. Wenye umri wa zaidi ya miaka 50, mnakaribishwa pia (umri unaweza kuwa negotiable kama umekidhi vigezo vingine)

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.

Asante na Alamsiki!
Utaruhusu kukutomba?
 
Mfano; unaishi kwa mikopo, humudu maisha yako, unalia lia shida, huwezi kumudu kusafiri safari nje ya mji unapoishi kwa mapumziko au unayo pesa ya kutosha matumizi yako na huna ziada kwa ajili ya kufurahia maisha!
😂Noma sana , mimi issue za kusafiri bila sababu ndio zinanishindaga asee shakosa bao la wazi kabisa nimepaisha mpira mbele ya kipa
 
Utaruhusu kukutomba?
Hapana

giphy.gif
 
Back
Top Bottom