Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Dah yaani humu ndani unaweza Kuta mtu ana kitu Cha maana akatoka mtupu... Lakini sio Kila kitu ni Kwa ajili ya Kila mtu nimtie moyo mtoa mada katika wengi watakao kuja kuna wachache watakua sahihi katika chaguo lako
 
😹😹😹 Kwahiyo daby kakushtukia mapema km ni wewe??
Kwahiyo nawe una pdf lako la mauaji humu ndani? 😹
Hajanishtukia wala nini, anarusha jiwe gizani tu 😂

ID ilikua active 2014 - 2020, acha iendelee kurest in peace.

Ila sina PDF lolote la hovyo, waliotajwa wenye matukio sikuwepo 😂 😂 😂
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.


Asante na Alamsiki!
Wewe ni mkorofi lakini
 
Sisi waafrica tunazeeka vibaya miaka 40 bado una brag about kuogelea , sijui n.k ahaaa umri huo Beyonce she is richest woman na mama wa 3 kids
Huna exposure ndiyo mana mtu akisema anapenda kuogelea wewe unaona ni "bragging"

Nyuzi nyingine muwe mnapita tu, si lazima kucomment.
 
Back
Top Bottom