Bi. Senti 50
JF-Expert Member
- Apr 17, 2007
- 290
- 12
Sijui kama ndiyo jambo limezua jambo au nini. Tuliporudi toka ile ziara ya Ulaya, mheshimiwa akawa yuko kimya kwa muda. Walipokuja Dodoma akawa ananitafuta na mimi nikawa namkwepa sana. Hata hivyo jana alipata nafasi ya kustop ofisini na akaniomba niende naye lunch. Kiufupi kaniambia kuwa yeye na mkewe wameamua kuachana.
Nikamuuliza kwanini ananiambia mimi? akasema alitaka nijue tu ili nitambue kuwa ni kweli ananipenda na yuko tayari kuwa nami. Sasa feelings zangu zimechanganyikiwa kweli kwani nilifuata ushauri wenu nilimuachia ndege aruke, sasa karudi, nimnase?
asante.
Nikamuuliza kwanini ananiambia mimi? akasema alitaka nijue tu ili nitambue kuwa ni kweli ananipenda na yuko tayari kuwa nami. Sasa feelings zangu zimechanganyikiwa kweli kwani nilifuata ushauri wenu nilimuachia ndege aruke, sasa karudi, nimnase?
asante.