MOONFISH
Senior Member
- Jul 30, 2022
- 136
- 266
Habari zenu wote hope mko poa sana.
Leo nawaletea kisa kimoja cha muda sana leo nimekikumbuka baada ya muhusika kunitafuta facebook na kusababisha nikumbuke mbali sana.
Nilikuwa mkoa wa dar nilifikia kwa ndugu yangu mmoja namuita ndugu ila sio wa damu kabisa, nilikuwa sijaoa wala kuwa na mahusiano na sikujichanganya kutokana na mazingira nilio kuwa, maana wao walikuwa ni watu wa dini sana(Mda nilio kuwa kwao).
Nikisema ni watu wa dini najua mmnanielewa, basi katika kuishi hapo kwa mda wa mwaka nikiwa sina makuu kabisa yani ni mtu ambae niko cool na mpole hata watoto wa hapo nwenye 19-23 age walikwa kama wanne na Black beuty blaaa na mwingine alikuwa mfupi ila bado pini ishort walikuwa mashalaa sio kimuonekano tu bali hata kwa tabia na matendo yao.
Nilijaribu ku kwepa vishawishi vyote ili nisiweze kuwa na tamaa na nikaaharibu uwepo wangu kwenye hilo eneo ambalo nilikuwa naishi. Kabla sijaendelea kuna mtukio yalikuwa yanaendelea hii itasaidia kujua kwanini kisa kili tokea.
TWENDE POLE POLE
Katika hawa ma binti kuna ambae alikuwa sana anapenda kushika simu yangu yani kila mda lazima na akishika ataenda upande wa msg call na FB na Whatsapp kuangalia huwa na chat na nani akiona hmna kitu basi huwa anarudisha. Sasa kama wanawake mnavyo wajua wakawa wanajadili kuwa kila yule (BLACK BEAUTY) binti akishika simu yangu haoni msg ya mapenzi au ya mwanamke yoyote, ila mama yao akawa ana waambia kuwa ni mazingira na si wanaona mtu mwenyewe (MIMI) sio mtembeaji na tunapo ishi hamna hata wasichana ni wachache. Basi binti naona alielewa ndo akazidi ukaribu sana ila nilijitahidi ku mkwepa ikiwa na kufanya anichukie bila sababu. Na katika hao wa nne kuna mmoja nilifanikiwa kumla kisiri siri nitaleta kisa chao ishalla.
TUENDELE SASA,
kuna mda wa mwezi mmoja walikuwa wananiandama sana niokoke ila mimi niligoma kabisa na hii ni kutokana mimi na mambo ya Dini nilikuwa nishaanza kuwa nayo mbali sana tena sana na nilikuwa nawaambia siwezi badili dini ya wazazi wangu, walijitahidi sana hadi kutuma watu mbali mbali hadi marafiki na watu wangu wakaribu ambaoo nilikuwa nimesha anza kuweka nao mazoea (washaji majirani).Aisee sikufichii nilikuwa najitahidi kusimamia maamuzi yangu kwa hali na mali japo walikuja kuanza kunipiga vita na kusema mimi nitakuwa na pepo sio bure na inakuwaje 30+ unashindwa kufata moyo wako tena dini sahihi ().
Sasa hapa ndo kisa kikaanzia kuna mdada alikuwa ana kuja na yeye anaongea vizuri tu kunishauri ila alikuwa ameolewa na alikuwa na watoto wawili wa kike, niseme ukweli huyu dada nilikuwa nimemuelewa sana ila baadae baada ya kuwa marafiki (kuzoeana) na ndo amebeba kichwa chote cha habari.
Siku ya jumamosi huwa wana mtindo wa kwenda church kila siku nina maana kila siku kuanzia saa 8 hadi jioni saa 12 hii ni kutokana ni mama wa nyumbani ndo maana huwa yuko free, mahali alipo kuwa anaishi sio mbali sana na nilipo kuwa nakaa so kila saa 8 lazima aje aungane na wa home pale kisha anaondoka nao kwenda church ila kuna mda huwa anachelewa, so anakuta wameondoka basi anajikongoja mpaka church mwenyewe na wanae.
MAPENZI YALIPO ANZIA:
Siku hiyo alikuwa ana jumuiya kwake ni siku ya jumamosi sasa alikuja kumueleza ndugu kuwa yko vibaya na hajui awaandalie nini hawa watu wanao kuja kwake (WANAJUMUIA). Basi wali m direct kwangu kuwa aje aniombe chochote ili wajue wanafanyaje mimi nilikuwa ndani chumbani nacho lala nikasikia mtu amenigongea kuja kufungua namuona yeye tumuite MAMA JANE Basi nikamuuliza nnishida akawa anaogopa sana kuniambia ikabidi niwe normal maana nilikuwa nimeweka sura kauzu basi akanieleza pale nikamuuliza swali moja tu kuwa shughuli mpaka ikamilike ni kiasi gani jumla, akasema ni kama 15,000 hivi basi nikatoa elfu 20 nikampa nikamwambia hakikisha pesa inatumika ulipo omba basi tukaachana akaondoka. Ikapita kama siku 2 alikuwa anakuja ila alikuwa anioni maana unakuta niko ndani nimetulia na pc yangu ila nilikuwa na msikia maana alikuwa anajitahidi kuongea kwa nguvu (Hili jambo sikulijua maana alikuja kunieleza mwenyewe).
WEEK YA MAWINDO:
Hii ni ilikuwa siku ya J3-JMOSI hii week sikujua kama niliwindwa au niliwinda maana nilijikuta kuwenye mtego ambao siku uwelewa.
J3: Alikuja amechelewa mida ya saa 9 na anajua kabisa wenzake wote wameondoka wameenda church na huwa home habaki mtu zaidi yangu mimi tu. Akaingia ndani akajifanya anawaita wale mabinti, nikawa namsikia kabisa ila nimenyamaza baadae naona kimya mara nasikia naitwa nikaitika akaulizia kuwa hawa wameondoka mda mrefu nikajibu kuwa mda sana tokea saa 7.
Basi akawa ametulia mimi nikarudi ndani kuendelea na mambo yangu. ghafla nasikia mtu nje kama anaongea na watoto yuko dirishani kwangu, nikachungulia kisha nikaanza kumuongelesha kuwa kwanini asiende mbona bado mapema akajibu kuwa hawezi maana ashachelewa basi mimi nikakausha.
Nimetulia naona mtu anaanza maswali.
1: Mbona unakaa ndani sana?
2: Vipi huchoki kukaa huko ndani?
3: Unafanya nini mpaka unakaa ndani kila mda?
4:Au una chat na shemeji yetu? n.k
Hayo yote alikuwa anauliza nilikuja nika mjibu kuwa nina kazi mbili tatu akasema kazi gani kama sio unaangalia movie na kuchat na shemu nili mjibu hapa. Akauliza au unachat na wachumba wa online nikasema hapa ila niko na FB nachungulia vichekesho, akasema yy kufungua video hawezi maana anatumia simu ya button ila inazama fb fresh. Ghafla akaniomba jina la FB ili aone picha zangu na status yangu nikampa akawa hanioni maana jina lilikuwa gumu kidogo ikabidi nimpe smart yangu aweke jina lake, akacheki akajiona basi tukawa marafiki akatuma na msg hapo hapo kuwa una jina gumu fb kwanini nisiandike la uhalisia.
Siku jibu nikakausha sijakaa dakika mbili dogo wa kike huyo hapo kaja akamuuliza mbona amekaa mwenyewe maana mimi mda huo nilikuwa kwa ndani MA J akajibu amechoka anataka kurudi home maana amechelewa church . Basi akapiga story kidogo kisha akaondoka akaniaga kwa fb nikajibu basi akasepa.
SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA TATU
SEHEMU YA NNE
SEHEMU YA TANO
Leo nawaletea kisa kimoja cha muda sana leo nimekikumbuka baada ya muhusika kunitafuta facebook na kusababisha nikumbuke mbali sana.
Nilikuwa mkoa wa dar nilifikia kwa ndugu yangu mmoja namuita ndugu ila sio wa damu kabisa, nilikuwa sijaoa wala kuwa na mahusiano na sikujichanganya kutokana na mazingira nilio kuwa, maana wao walikuwa ni watu wa dini sana(Mda nilio kuwa kwao).
Nikisema ni watu wa dini najua mmnanielewa, basi katika kuishi hapo kwa mda wa mwaka nikiwa sina makuu kabisa yani ni mtu ambae niko cool na mpole hata watoto wa hapo nwenye 19-23 age walikwa kama wanne na Black beuty blaaa na mwingine alikuwa mfupi ila bado pini ishort walikuwa mashalaa sio kimuonekano tu bali hata kwa tabia na matendo yao.
Nilijaribu ku kwepa vishawishi vyote ili nisiweze kuwa na tamaa na nikaaharibu uwepo wangu kwenye hilo eneo ambalo nilikuwa naishi. Kabla sijaendelea kuna mtukio yalikuwa yanaendelea hii itasaidia kujua kwanini kisa kili tokea.
TWENDE POLE POLE
Katika hawa ma binti kuna ambae alikuwa sana anapenda kushika simu yangu yani kila mda lazima na akishika ataenda upande wa msg call na FB na Whatsapp kuangalia huwa na chat na nani akiona hmna kitu basi huwa anarudisha. Sasa kama wanawake mnavyo wajua wakawa wanajadili kuwa kila yule (BLACK BEAUTY) binti akishika simu yangu haoni msg ya mapenzi au ya mwanamke yoyote, ila mama yao akawa ana waambia kuwa ni mazingira na si wanaona mtu mwenyewe (MIMI) sio mtembeaji na tunapo ishi hamna hata wasichana ni wachache. Basi binti naona alielewa ndo akazidi ukaribu sana ila nilijitahidi ku mkwepa ikiwa na kufanya anichukie bila sababu. Na katika hao wa nne kuna mmoja nilifanikiwa kumla kisiri siri nitaleta kisa chao ishalla.
TUENDELE SASA,
kuna mda wa mwezi mmoja walikuwa wananiandama sana niokoke ila mimi niligoma kabisa na hii ni kutokana mimi na mambo ya Dini nilikuwa nishaanza kuwa nayo mbali sana tena sana na nilikuwa nawaambia siwezi badili dini ya wazazi wangu, walijitahidi sana hadi kutuma watu mbali mbali hadi marafiki na watu wangu wakaribu ambaoo nilikuwa nimesha anza kuweka nao mazoea (washaji majirani).Aisee sikufichii nilikuwa najitahidi kusimamia maamuzi yangu kwa hali na mali japo walikuja kuanza kunipiga vita na kusema mimi nitakuwa na pepo sio bure na inakuwaje 30+ unashindwa kufata moyo wako tena dini sahihi ().
Sasa hapa ndo kisa kikaanzia kuna mdada alikuwa ana kuja na yeye anaongea vizuri tu kunishauri ila alikuwa ameolewa na alikuwa na watoto wawili wa kike, niseme ukweli huyu dada nilikuwa nimemuelewa sana ila baadae baada ya kuwa marafiki (kuzoeana) na ndo amebeba kichwa chote cha habari.
Siku ya jumamosi huwa wana mtindo wa kwenda church kila siku nina maana kila siku kuanzia saa 8 hadi jioni saa 12 hii ni kutokana ni mama wa nyumbani ndo maana huwa yuko free, mahali alipo kuwa anaishi sio mbali sana na nilipo kuwa nakaa so kila saa 8 lazima aje aungane na wa home pale kisha anaondoka nao kwenda church ila kuna mda huwa anachelewa, so anakuta wameondoka basi anajikongoja mpaka church mwenyewe na wanae.
MAPENZI YALIPO ANZIA:
Siku hiyo alikuwa ana jumuiya kwake ni siku ya jumamosi sasa alikuja kumueleza ndugu kuwa yko vibaya na hajui awaandalie nini hawa watu wanao kuja kwake (WANAJUMUIA). Basi wali m direct kwangu kuwa aje aniombe chochote ili wajue wanafanyaje mimi nilikuwa ndani chumbani nacho lala nikasikia mtu amenigongea kuja kufungua namuona yeye tumuite MAMA JANE Basi nikamuuliza nnishida akawa anaogopa sana kuniambia ikabidi niwe normal maana nilikuwa nimeweka sura kauzu basi akanieleza pale nikamuuliza swali moja tu kuwa shughuli mpaka ikamilike ni kiasi gani jumla, akasema ni kama 15,000 hivi basi nikatoa elfu 20 nikampa nikamwambia hakikisha pesa inatumika ulipo omba basi tukaachana akaondoka. Ikapita kama siku 2 alikuwa anakuja ila alikuwa anioni maana unakuta niko ndani nimetulia na pc yangu ila nilikuwa na msikia maana alikuwa anajitahidi kuongea kwa nguvu (Hili jambo sikulijua maana alikuja kunieleza mwenyewe).
WEEK YA MAWINDO:
Hii ni ilikuwa siku ya J3-JMOSI hii week sikujua kama niliwindwa au niliwinda maana nilijikuta kuwenye mtego ambao siku uwelewa.
J3: Alikuja amechelewa mida ya saa 9 na anajua kabisa wenzake wote wameondoka wameenda church na huwa home habaki mtu zaidi yangu mimi tu. Akaingia ndani akajifanya anawaita wale mabinti, nikawa namsikia kabisa ila nimenyamaza baadae naona kimya mara nasikia naitwa nikaitika akaulizia kuwa hawa wameondoka mda mrefu nikajibu kuwa mda sana tokea saa 7.
Basi akawa ametulia mimi nikarudi ndani kuendelea na mambo yangu. ghafla nasikia mtu nje kama anaongea na watoto yuko dirishani kwangu, nikachungulia kisha nikaanza kumuongelesha kuwa kwanini asiende mbona bado mapema akajibu kuwa hawezi maana ashachelewa basi mimi nikakausha.
Nimetulia naona mtu anaanza maswali.
1: Mbona unakaa ndani sana?
2: Vipi huchoki kukaa huko ndani?
3: Unafanya nini mpaka unakaa ndani kila mda?
4:Au una chat na shemeji yetu? n.k
Hayo yote alikuwa anauliza nilikuja nika mjibu kuwa nina kazi mbili tatu akasema kazi gani kama sio unaangalia movie na kuchat na shemu nili mjibu hapa. Akauliza au unachat na wachumba wa online nikasema hapa ila niko na FB nachungulia vichekesho, akasema yy kufungua video hawezi maana anatumia simu ya button ila inazama fb fresh. Ghafla akaniomba jina la FB ili aone picha zangu na status yangu nikampa akawa hanioni maana jina lilikuwa gumu kidogo ikabidi nimpe smart yangu aweke jina lake, akacheki akajiona basi tukawa marafiki akatuma na msg hapo hapo kuwa una jina gumu fb kwanini nisiandike la uhalisia.
Siku jibu nikakausha sijakaa dakika mbili dogo wa kike huyo hapo kaja akamuuliza mbona amekaa mwenyewe maana mimi mda huo nilikuwa kwa ndani MA J akajibu amechoka anataka kurudi home maana amechelewa church . Basi akapiga story kidogo kisha akaondoka akaniaga kwa fb nikajibu basi akasepa.
SEHEMU YA PILI
SEHEMU YA TATU
SEHEMU YA NNE
SEHEMU YA TANO