Ameamua kunikubalia baada ya kuzalishwa

Ameamua kunikubalia baada ya kuzalishwa

Habar za asubuhi wana J/Forums.

Mimi ni kijana ambae nimekaa katika uchumba kwa muda wa mwaka na nusu sasa na sijawahi kukutana nae kimwili huyo mwanamke na tumekuja kupendana kwenye simu baada ya sisi sote wawili ku move away from home.

Lakini mwanzo huyu dada alinisumbua sana na kila nilipokuwa najarib kumwambia nampenda hakuonekana kuniamini badala yake alinambia tubaki kuwa marafiki wa kawaida tu,maana tulikuwa tunaishi vijiji jiran.

Kwakuwa nilimpenda kutoka moyon basi niliendelea kumsumbua na baadae kila nilipompigia simu alikuwa akipokea mwanaume na anasema na kunambia kuwa nisimsumbue mke wake.

Lakini huyo jamaa alikuwa hajamuoa isipokuwa walikuwa wanadate kisela tu na wala hajulikan kwa wazazi wa mwanamke.

Sasa ikafika kipindi wakazalishana halafu mshikaji akala kona.

Baada ya miaka Kama mitatu hivi nikapata tetesi kuwa yule mwanamke hakuolewa lakn kadhalishwa,kwakuwa nami alikuwa bado yupo akilini mwangu nikaamua kumvutia waya na sasa ananikubali kupita maelezo ila ana mtoto.

Lakini hutujawah kutana kimwili hadi sasa na Yuko mbali.

Sasa nawasilisha kwenu wapendwa,je ni kweli huyu mwanamke amenipenda kweli au ni kwasabab ameshazalishwa?
Haliendi huyo, ila mle kwanza ujipoze machungu. Ilinitokea hiyo, nikawa nae kwa muda, baadae akaja akapata mimba tena ya mtu yule wa mwanzo. Wanawake wasenge* sana
 
Haliendi huyo, ila mle kwanza ujipoze machungu. Ilinitokea hiyo, nikawa nae kwa muda, baadae akaja akapata mimba tena ya mtu yule wa mwanzo. Wanawake wasenge* sana
Pole sana Mkuu

Wahenga walisema: Mtalaka hatongozwi.

Dada zetu waliozaa nje ya ndoa ama ndani ya ndoa kisha ikatokea mgogoro wakashindwa kuendelea na mahusiano ya awali; haina maana kwamba hawawezi kufufua mahusiano yao na wenza wao wa awali.

Ndiposa Wahenga wa Zama zetu wanao ushauri mpya kwa wale wanaozama kwenye Mapenzi na single mothers.

NB: NO PUN INTENDED
 
Habar za asubuhi wana J/Forums.

Mimi ni kijana ambae nimekaa katika uchumba kwa muda wa mwaka na nusu sasa na sijawahi kukutana nae kimwili huyo mwanamke na tumekuja kupendana kwenye simu baada ya sisi sote wawili ku move away from home.

Lakini mwanzo huyu dada alinisumbua sana na kila nilipokuwa najarib kumwambia nampenda hakuonekana kuniamini badala yake alinambia tubaki kuwa marafiki wa kawaida tu,maana tulikuwa tunaishi vijiji jiran.

Kwakuwa nilimpenda kutoka moyon basi niliendelea kumsumbua na baadae kila nilipompigia simu alikuwa akipokea mwanaume na anasema na kunambia kuwa nisimsumbue mke wake.

Lakini huyo jamaa alikuwa hajamuoa isipokuwa walikuwa wanadate kisela tu na wala hajulikan kwa wazazi wa mwanamke.

Sasa ikafika kipindi wakazalishana halafu mshikaji akala kona.

Baada ya miaka Kama mitatu hivi nikapata tetesi kuwa yule mwanamke hakuolewa lakn kadhalishwa,kwakuwa nami alikuwa bado yupo akilini mwangu nikaamua kumvutia waya na sasa ananikubali kupita maelezo ila ana mtoto.

Lakini hutujawah kutana kimwili hadi sasa na Yuko mbali.

Sasa nawasilisha kwenu wapendwa,je ni kweli huyu mwanamke amenipenda kweli au ni kwasabab ameshazalishwa?
Ukweli ni kwamba hajawahi kukupenda ila wakati ni ukuta na. Ame run out of options kwa sasa wewe ndio ambaye ni boya wake unaweza msitiri!
 
Hamna mwanamke hapo, wewe muweke karibu kisha chakata hiyo mbunye ikikuchosha piga chini.

Mi kuna boya mmoja mmoja miaka hiyo yaan aliniacha tu from no where et hanitaki, alafu hata sikugonga sababu alikuwa anajifanya mlokole, baada ya miaka kupita akaja kuzalishwa kisha akapigwa chini. Baada ya hapo akaanza kujileta kwangu eti ananipenda [emoji23][emoji23]..
Yaan akajitia hamnazo kabisa na kujisahaulisha kilichotokea, na kipindi hicho sikuwaga na demu wa kueleweka basi nikaanza kujipimia mzigo kwa kadri yangu..
Baada ya miezi kadhaa akaanza kuniona na mwanamke mwingine akashindwa hata la kufanya.
Ulimnyoosha sana huyo kibwengo 😂😂😂 kazi nzuri! Hawa cuma wanahisi wakiwaga wabichi sie hatustahili kuwamiliki mpaka wakishatiwa dosari ndio wanajileta kinafiki kmniner zao
 
Muoe mwanangu uyo kashajifunza kashayajua maisha halisi
Afu jitahidi kumpendezesha adi uyo jamaa ajute kwanini alimuacha
Pambania hisia zako fata kile moyo wako unataka
Achana na wanaosema sijui atakutesa sijui nini we fuata moyo wako kile unapenda

Kama kujifunza ukajifunze mwenyewe ndani ya ndoa sio waanze kukuletea ushuhuda wao wa uongo hapa

Kama mnapendana muoe kweli mapenzi hayana formula
Hahahahahahah unamuandalia kaburi sio? 😅😅😅
 
Ulimnyoosha sana huyo kibwengo [emoji23][emoji23][emoji23] kazi nzuri! Hawa cuma wanahisi wakiwaga wabichi sie hatustahili kuwamiliki mpaka wakishatiwa dosari ndio wanajileta kinafiki kmniner zao
Demu akishaharibu huko ndo anajifanya decent . ...dawa yao ni kujipimia tuu ukitosheka unapiga chini
 
Kuna jamaa alikuwa na scenario kama hii.Akaja akaoa kimyakimya yule demu aliezaa na mwingine. Kuna siku nikampigia nikamuuliza vipi yule ex wako yuko wapi siku hizi?

Ghafla yule demu akalopoka background huko "we m**** koma kufatilia maisha ya watu."Nikakata simu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji15]
Hahahhaha kmmmk walai 😅😅😅 kakupa likiwa lamoto kabisa
 
MKUU JARIB KUULIZA KWA WALE WATAALAM WA KUBETI SIJUI NDO NGUMU KUMEZA IYO AU SIJUI NDO HANDCAP YAAAN UNA BETI TAYALI UMEFUNGWA GOLI MOJA MIMI SIWEZI KWAKWEL WAULIZE WALE JMAAA WATAKUJIB VIZUR
Handicap hio mze baba. Hujakosea kabisa ni handicap +1 mnaanza mchezo na goli 1 mkononi 😅😅😅
 
Kwa treatment alokupa,dharau alokuonesha alipokuwa na mtu mwengine sikushauri kuwa nae ni kwa maslahi yako na yake.Inavyoonekana amekukubali sasa kwasababu hana choice maji yameshamwagika na pili yule mwanaume alokudharau mwanzo ndo amemzalisha imagine itakuwaje inapokuja kwa mtoto?Je unaweza kumpenda kama mwanao?mawasiliano ya mtoto na babaake mzazi?Huyo mwanamke atakuchukuliaje wewe kama mwanaume?Wakati mwengine hata kama unakitaka kitu kiasi gani fikiria na jinsi unavyojishusha na athari itakayokuletea baadae.Kwa huyo mwanamke you were not man enough.
Jiepushe na huyo mwanamke tafuta mtu mwengine!
Bora umempa ukweli tu maana sie wengine sijui kama anatuelewa?
 
Back
Top Bottom