Hahahaaaa we jamaa wewe mapenzi sio muhimu!!!? Wewe unampotosha mwenzio mapenzi ndio kila kitu bwashee hata ndoa haiwezi kuwa na heshima kama haina mapenzi usidanganye ili kumtetea mwanamke mwenzio, mapenzi kwanza heshima huja baada ya mapenzi
na kibaya ambacho nakiona hapo ni kwamba huyo jamaa
Lovemewise kapenda kupita kiasi hivyo anaendeshwa na mihemko ya mapenzi sio utashi wa mapenzi
Na ndio maana pamoja na kwamba binti alipewa mimba na huyo jamaa akaachwa lakini bado hakuona haja ya kumtafuta huyo
Lovemewise lakini jamaa yeye ndiye aliye anza kumtafuta ndipo bint alipo ona kumbe bado kuna mahali pakushika na ndio maana kashika
Mimi ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa mungu huyo binti hana mapenzi ya kweli na
Lovemewise isipo kuwa
Lovemewise ndio anaye mpenda sana huyo binti na hiyo hutokea na huwa ni kawaida ila asubiri majibu.