jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Chama ni wapiga kura, sio viongozi wanaokimbia.Mimi bado nasema Mbowe ana stahili kuubeba huu mzigo wa lawama 2015 alitukosea sana Kumpa Lowassa....wale waliopigania chama kwa moyo mmoja walitengwa kwenye baadhi ya maamuzi mazito leo upinzani umelegea.
Atuombe radhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app