Aliyemuua bilionare Erasto

Aliyemuua bilionare Erasto

The more you get, the more you hunt for..! Money has never made a man happy..! Kifarutz 2015..!
 
yaani mji wa arusha utafikiri soweto na j,burg SA, si salama kabisa . mwaka 2005 nilichukua fedha bank za kutosha nikitokea tabora kwa ajili ya biashara fulani , kwa mshangao driver taxi akaniambia usiku wa leo uwe makini sana . basi nilipanga guest 3 na nikalipia na nikaa moja kwa muda wa masaa 2 na sikulala katika guest zote , kesho kuja uliza wazee wa kazi waliniulizia nikasepa mpaka BOMANG,OMBE HAI napo nilienda kwa mtu maskini nikajihifadhi kwa siku moja kesho yake to DSM. ni mji wa majanga
 
Jamani hivi kuna mtu wa mawe aliweka historia kubwa pale Mirerani ya kuuwa watu wengi kwenye Mgodi kama Ray Kishimbua? Halafu mnajadili mauaji ya mtu mmoja kama Erasto? Naondoka halafu rudini kwenye historia ya matajiri waliouwa watu wengi pale Mirerani mniambie.
 
Wahalifu wetu huwa hawana hata muda huo wa kuangalia thamani ya kazi (japo binadamu hathamanishwi kwa hela).....Kipatikanacho kama chatosha kutumia ikisubiriwa kazi nyingine; kazi inafanyika tuu

Kwani watu wote wananunua nyumba kariakoo?
 
na vijana wa chusa wanasema wazi kabisa kwamba boss haumwi lakini katoa kitu kidogo ili asikae magereza,hao vijana wa chusa wanaropoka sana huku mjini, na kabla ya tukio mmoja wao aliropoka pia, tubakie na haya majina ya JF tu mana chusa ni jirani yangu kwenye bangaloo lake fulani hapa mjini, ni kama bro kwangu, hao vijana tunakunywa nao "chai" mjini! erasto alitoka mjini akijua kabisa anaenda kufanya biashara na watu fulani anaofanyaga nao biashara siku zote na sehemu ile,(pale ni mahali wanapofanyiaga biashara zao) nani kichaa atoke na pesa zote akafanye biashara porini kwa watu asiowajua?


umesomeka senior reporter wa arachuga. nakusifu kwa umahiri wako wa hbr za udaku wa misibani na pia unaonekana upo krb na kila bilionea wa mji..
Keep it up Nyamayao..
 
Jamani kifo cha huyo kaka kimegusa wengi, huyo aliyetekeleza hayo ni Banjoooooooo yeye kazi ndio hizo, na leo nimemuona hapo mjini karibia na New Arusha anatembea bila wasiwasi.
Mungu atusaidie kama tumefika hapa basi.
 
Kwani huyo Mmasai hawezi kutumika kumsingizia huyo Ustadh manake siku hizi fitina ni nyingi
 
Jamani hivi kuna mtu wa mawe aliweka historia kubwa pale Mirerani ya kuuwa watu wengi kwenye Mgodi kama Ray Kishimbua? Halafu mnajadili mauaji ya mtu mmoja kama Erasto? Naondoka halafu rudini kwenye historia ya matajiri waliouwa watu wengi pale Mirerani mniambie.


Nakumbuka kulikuwepo na maaskari kama watatu hv nao walijifanya wanawafuatilia mambo fulani huko nao maafa ikawafika huko huko.

Ray Kishimbua anaongoza kwa kuwazika wanaapolo.
Na leo ana nini?
 
Nakumbuka kulikuwepo na maaskari kama watatu hv nao walijifanya wanawafuatilia mambo fulani huko nao maafa ikawafika huko huko.

Ray Kishimbua anaongoza kwa kuwazika wanaapolo.
Na leo ana nini?

Heshima kwako mkuu,
Hizi hbr kuwa banjoo anahusika kwenye hii ishu zimekaaje mkuu?? tumezipata hizi hbr kama uvumi vile
 
Kumbe mtu anaweza tumia 150m kutoa uhai wa mwenzie???????????Lisemwalo lipo lakini!!

Heh!!! Kwani wale makada wa ccm waliomuua mwenyekiti wa CDM kwa mapanga USA River walilipwa shilingi ngapi....? Kwa taarifa yako it was only Two million...
 
nani kichaa atoke na pesa zote akafanye biashara porini kwa watu asiowajua?
hata kama alikua anawajua, bado ni ukichaa kufanya mabiashara ya mabilioni kwa kutumia ma cash tena maporini. Hizi ni zile ukisikia wahenga walisema mali bila daftari.

Watanzania, tujifunze kuepuka ma transaction ya mahela taslimu mabarabarani.
 
Back
Top Bottom