Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
LiverpoolFC na wewe tiririka km Mungi na LENGIO hata km huyo Justin nyari anahusika si akamatwe hata km ni Diwani wa huko Arumeru masharikiLENGIO nakwambia ya kwamba hii move itakuwa nzuri sana kama haki ikifuatwa
Tuwe wapole kwani hakika hatutaamini haya yote yatakayofuata...........!
Kuna Thread ya mazishi yake uliileta ukasepa sasa tufahamisheni maana utajiri wa hawa watu wa Mbuguni utaisha vibaya
simkumbuki haswa ni nani (huenda aliitwa Nyari) alikuwa kituko hapa Gereza la Isanga na akatoka ni kweli Mungi mmempa Uongozi huyo mfungwa?
Kweli huo Ubilionea wa kununua mpaka MaPOLISI laana itawakumba tu wana apollo