Aliyemuua bilionare Erasto

Aliyemuua bilionare Erasto

Nalipongeza jeshi la police kwa hatua nzuri waliofikia,,ila nawashauri wana usalama wamtumie huyu kijana aliyeweza kumlenga na risasi 21 zikafanikiwa kumpata bilionea,,,,atakuwa ni asset nzuri sana kwa inchi yetu,,maana anaonekana mkono wake hauna vibratiion(hana pepopunda ya mkono) atumiwe kule darfu ,congo,au akae hapa dar kwenye trafic light kwaajili yamajambazi wanaotumia bodaboda
 
Nalipongeza jeshi la police kwa hatua nzuri waliofikia,,ila nawashauri wana usalama wamtumie huyu kijana aliyeweza kumlenga na risasi 21 zikafanikiwa kumpata bilionea,,,,atakuwa ni asset nzuri sana kwa inchi yetu,,maana anaonekana mkono wake hauna vibratiion(hana pepopunda ya mkono) atumiwe kule darfu ,congo,au akae hapa dar kwenye trafic light kwaajili yamajambazi wanaotumia bodaboda
Atakuwa asset kubwa sana kwa kile chama kinachotumia dola kuua wananchi wake kwa risasi na mabomu!! Yaani akilenga hadhara anaimaliza yote kama komandooo. Kudadeki,. cc Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, Chama, ZeMarcopolo, Ritz!!!
 
Huwezi kuw na aman kwa kuua .kumbukeni kaini alipomuua abel nin kilimpata
 
Jamani kifo cha huyo kaka kimegusa wengi, huyo aliyetekeleza hayo ni Banjoooooooo yeye kazi ndio hizo, na leo nimemuona hapo mjini karibia na New Arusha anatembea bila wasiwasi.
 
Bado haujasomeka kisawasasawa..leta nyaraka nyeti za kuthibitisha kauli yako.
 
Kuweni wapole wakuu kwani kila kitu najaribu kuiweka sawa kabisa na nitakuja full kwani mambo yanaendelea barabara~~~~~~~~~~~na huyu Odhitas Sharif yeye asilimia 1OO% kama haki itatendeka hakika anaweza akalamba mvua nyingi sana~~~~~~~~Kaeni mtindo wa kula kwani kila kitu chaja.

Alikuwa anamchukulia mke?..maana hii huwa naona wale mlioowa na kuolewa mna machungu sana na mali zenu zilizofichwa huko ndani, huko ndani kabisa...nisameheni lakini, japo kwa kweli hukumu ya wezi wa mali hizo adhabu yake huwaga kali sana, mleta uzi hebu tililika na sababu za ustadhi kumuuwa Erasto...
 
Sasa kwa taarifa zisizo rasmi mtu anayeaminika aliyemua erasto ni rafiki yake wa karibu mnoo na mfanyabiashara mwenzake wa mawe ustaadh shariff. Huyu yeye ndio alitoa hela za kufanyia kazi.

Shariff ni mtu wa Hussein Gonga sana na ni Mrangi mwenzie. Hussein Gonga na Jastin Nyari jumamosi walikuwa kituo kikuu cha polisi Arusha wakimsaidia jamaa anaeitwa Kaburu aliyekamatwa kwa kuusika na kupanga njama za kumuua Erasto.
 
Back
Top Bottom