Aliyemuua bilionare Erasto

Aliyemuua bilionare Erasto

Habari ya fitina haihusiani na hili jambo jamani. Wala huyo masai sio alotoa ushahidi wa kumfunga ustadh. Ushahidi tu wa cm unajitosheleza. Na kama pikipiki, sim card vilivyotumika vyote vina jina lake huo pia ushahidi wa masai? Tu sitetee ujinga. Leo wamefanya kwa huyu kesho itakua kwa nani? Hivi wakiua watu wa 5 kama hawa hata ar siitayumba jamani? Matajiri ulaya ni lulu ya nchi coz wanachagia pato la nchi bongo tunawaua

Hivi bilionea nae alikuwa anachangia pato la nchi?!

mtu hata kwenye walipa kodi wadogo hayumo alafu mnamuita bilionea?!

tuache masikhara jamani si bora hata wale Wajamaica walioandamana kumtetea DUDUS asikamatwe!
 
Nakumbuka kulikuwepo na maaskari kama watatu hv nao walijifanya wanawafuatilia mambo fulani huko nao maafa ikawafika huko huko.

Ray Kishimbua anaongoza kwa kuwazika wanaapolo.
Na leo ana nini?

........mkuu tupe dondoo kidogo za huyo Ray ili tuende sawa !:noidea:
 
Bilionea bongo wapi hizi grades mnapata huyo ni tajiri tu
 
Huyo mtu anayeitwa Banjoo yaani ni chalii mdogo na kwasura yake ukimuangali hutaweza kuamini kama huyo dogo ana mambo makubwa na yakutisha na toka atokage jela kwenye ile kesi ya kina Nyari huyu dogo hana rafiki anayetembea naye sanasana mara zote utamkuta yuko peke yake!
 
Nakumbuka kulikuwepo na maaskari kama watatu hv nao walijifanya wanawafuatilia mambo fulani huko nao maafa ikawafika huko huko.

Ray Kishimbua anaongoza kwa kuwazika wanaapolo.
Na leo ana nini?
Amefilisika ile mbaya! Mara ya mwisho kuna jamaa aliniambia alimuona barabara ya Uhuru Roard akitembea kwa miguu huku anakula Muwa! Damu ya watu usicheze nayo mazee!
 
Umekaa kiudini udini wewe.....

Hahahahaaaa......Umeona eee? kwavile ni ustaaadhi bac vibagarashia wanatafuta namna ya kumfanya aonekane innocent! Cku hizi hamna mwema tena wenye vyeo vya kidini ndio wanaongoza kwa maovu!
 
kwenye ile post ya mauaji yake..kuna mtu alikua anapost vitu muhimu sana..naanza kuamini zile post zake...
tupe link mkuu wakati mwingine kutafuta ni kazi sana kuipa hasa ikiwa imeingia ukurasa wa nyuma au kuhamishwa jukwaa.
 
Aliyekwambia erasto jambazi nani? Msichume dhambi kushuhudia msio wajua. Erasto anawapa watu mawe ya mamilioni ya pesa tena bila hata shida. Vijana wanazungusha pesa yake mpaka wanatajirika. Ni wangapi wamerajirika kupitia huyu mtu na tunawaona? Hadi wana ma hotel na wanaendesha ma sport mjini? Mnapozungumzia ubaya wa mtu zungumzieni pia wema. Ni watu wangapi wanalia mererani walikua wanapanga folen kwa msuya shule zikifunguliwa wapewe school fees za wanao. Kila mwanadam ana jema na baya. Hakuna mkamilifu chini ya jua. Tujiangalie kwanza sisi ndio tuangalie wengine na kuwa sema. Aliyekufa leo sio atakaye kufa leo. Ni vyema kuangalia maisha yako na mungu wako kuliko kujadili kwa undani saaaana maisha ya waliotangulia.
 
Watu waliomuua mfanyabiashara wa madini Erasto wamekamatwa. Watu hao ni mfanyabiashara mwenzake ambaye anaitwa Sharifu na watu wengine watatu. Inasemekana huyu sharifu ndiye aliyeratibu mauaji hayo kwa kusajili laini mbili za simu ambazo zilitumika kumuweka marehemu kwenye mtego wa kumuua. Alimrubuni mmasai mmoja ambaye ndie aliyesajili laini hizo kwa kitambulisho chake. Baada ya wana usalama kufuatlia mawasiliano ndipo yule masai alipokamatwa na baada ya mahojiano alijieleza kuwa sharifu alimwomba amsajilie lain kwa kitambulisho chake kwani yeye hakuwa na kitambulisho. Sharifu alinunua pikipiki mbili ambazo zilitumika kutekeleza mauaji. Sababu kubwa ya mauji haya ni ugomvi wa kugombania wachimbaji wadogo ambao mara nyingi huzama kwenye mgodi wa Tanzanite one na kuiba madini na hatimae kumuuzia Erasto na Sharif. Source- mtaani Mererani.

Mauaji yalipangwa hospital ya mrara babati alipokuwa chusa amelazwa kwa kisingizio cha mgonjwa kwepa kukaa magereza.chusa alikuwa na kesi ya mauaji ya mchimbaji wa tanzanite one ambaye alikuwa ni rafiki wa eresto msuya,njama hizo zilipangwa na sharifu,chusa na kaburu walikuwa wakiongea kwa sauti bila kificho,alisikika kaburu akisema akitushinda tumwagie tindikali.Kaburu ndio aliyekuwa anamshughulikia chusa katika kesi hiyo ya mauaji na amefanikiwa kumtoa ndani wiki 3 kwa kutumia mgongo wa manumba na dci

na vijana wa chusa wanasema wazi kabisa kwamba boss haumwi lakini katoa kitu kidogo ili asikae magereza,hao vijana wa chusa wanaropoka sana huku mjini, na kabla ya tukio mmoja wao aliropoka pia, tubakie na haya majina ya JF tu mana chusa ni jirani yangu kwenye bangaloo lake fulani hapa mjini, ni kama bro kwangu, hao vijana tunakunywa nao "chai" mjini! erasto alitoka mjini akijua kabisa anaenda kufanya biashara na watu fulani anaofanyaga nao biashara siku zote na sehemu ile,(pale ni mahali wanapofanyiaga biashara zao) nani kichaa atoke na pesa zote akafanye biashara porini kwa watu asiowajua?
hizi habari zilikuwepo kabla au baada?
 
Huyo mtu anayeitwa Banjoo yaani ni chalii mdogo na kwasura yake ukimuangali hutaweza kuamini kama huyo dogo ana mambo makubwa na yakutisha na toka atokage jela kwenye ile kesi ya kina Nyari huyu dogo hana rafiki anayetembea naye sanasana mara zote utamkuta yuko peke yake!

aisee, usinikumbushe enzi ya Banjoo na Uegen, sasa hivi ana group fulani la vijana wa usa huko anakomfataga galfriend wake mtoto wa "mirambo"
 
wnangu wasijeolewa huko, huo mkoa una laana ya damu za watu! Puuuuuuuuu!

sema wanao hawataolewa kokote hapa duniani,..maake mauaji ni kila sehemu....mbona dar,mwanza,moro ,mby etc..etc....mauaji kila siku.
 
wanaendelea kuwakamata........... Jamaa moja mfanyabiashara wa madini mwenye carwash karibu na corner nairobi naye amekamatwa

basi huyu kamuua jiran yake,..maake sg resort si iko hapo kona ya nairobi.
 
Fanya utu wako uwe zaidi ya siasa, siasa isiwe zaidi ya utu wako!

Mkuu hali hii ya kuwa so obsessed na neno Chadema kwa baadhi ya members humu inanikumbusha movie moja iitwayo Fatal attraction. To be honest naona ni kama kaugonjwa vile maana akili sasa haiwezi kufikiri in a rational way kwani imefungwa na kufikiria Chadema kwanza!!
 
sasa mkitaka kujua pesa ni nini jamaa wanatamba eti jamaa hamalizi mwezi ndani warangi wachimbaji wanadai .wengine wanadai unaijua b moja maana bilioni moja itamaliza .wengine kesi ngumu ina ushahidi chezea serikali na kesi ya mauaji hapo pesa haifanyi kitu labda ushahidi uwe una kasoro je lipi tushike wadau
 
sasa mkitaka kujua pesa ni nini jamaa wanatamba eti jamaa hamalizi mwezi ndani warangi wachimbaji wanadai .wengine wanadai unaijua b moja maana bilioni moja itamaliza .wengine kesi ngumu ina ushahidi chezea serikali na kesi ya mauaji hapo pesa haifanyi kitu labda ushahidi uwe una kasoro je lipi tushike wadau
 
Back
Top Bottom