Nani??/???
Huyo lazima atakuwa Chusa, manake yeye ndiye aliyemwua yule kijana wa Erasto aliyekuwa anamwibia madini pale tanzaniteone. Baadaye Chusa na Erasto wakawa na bifu sana mpaka Chusa akawekwa ndani kwa ajili ya mauaji ya yule kijana.
Inasemekana pikipiki zilizoenda kwenye mauaji ya Erasto zilinunuliwa mpya kwa kazi maalum, simu mpya mbili kwa kazi maalum.
Tusubiri mengi........................
Hainunui hata nyumba moja kariakoo
Ni mabilionea kweli? Hela ndogo sana kama ni kweli.
Shariff ni mtu wa Hussein Gonga sana na ni Mrangi mwenzie. Hussein Gonga na Jastin Nyari jumamosi walikuwa kituo kikuu cha polisi Arusha wakimsaidia jamaa anaeitwa Kaburu aliyekamatwa kwa kuusika na kupanga njama za kumuua Erasto.
mbona mkuu autupi majina?