LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,388
Heshima kwako mkuu,
Hizi hbr kuwa banjoo anahusika kwenye hii ishu zimekaaje mkuu?? tumezipata hizi hbr kama uvumi vile
Mambo poua Mkuu! Haya mambo ya Banjoo Mi nafikiri ana uhalali wa kuswekwa jela kwani huyu chali ni danger sana ndani ya jiji anatisha sana na lazima anajua mambo yote yaliyoendelea kwa Marehemu Erasto.
Unakumbuka vizuri huyu Banjoo alishahukumiwa akiwa na Jastini Nyari miaka 30 lakini alifanya makeke makeke ya shilingi na haki ikapindishwa na leo yuko huru tena akijigamba kabisa!
Hili la Erasto kama haki isipopindishwa nawaambia inaweza ikafanya hili jiji likawa shwari kabisa.
Copy kwa;
Arushaone
sweetlady
Mzee wa Rula
PakaJimmy
Loner
Mchaka Mchaka
Ndallo
Nafikiri hakuna asiyemjua huyu balaa Banjoo.
Last edited by a moderator: