BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,502
- 8,380
Mtuhumiwa anayedaiwa kusababisha kifo cha Beatrice Minja kwa kumchoma visu mara 25, Lucas Tarimo amafariki dunia akiwa chini ya ulinzi wa Jeshi la Polisi wakati akiendelea na matibabu katika hospitali ya Huruma iliyopo Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro.
Daktari kiongozi wa Hospitali ya Huruma wilayani hapa, Daria Mushi amethibitisha kutokea kwa kifo chake ambapo amesema amefariki jana Jumatatu, Januari Mosi, 2024 saa nne na nusu usiku.
######
=====
Pia soma:
- Utata Sakata la mauaji ya Beatrice Minja: Kwanini serikali imehamishia mwili wa Paul KCMC wakati uchunguzi ungeweza kufanyika hospitali aliyofia?
- Godlisten Malisa akamatwa tena na Jeshi la Polisi na kusafirishwa mkoani Kilimanjaro
- Adolf Mkenda atajwa kuwa chanzo cha Godlisten Malissa kukamatwa tena