Nimemuambia Rais Samia kwamba kesi ya Mbowe haikisaidii Chama chake Rais (CCM), haikisaidii Chama chetu (CHADEMA), inamuumiza Mwenyekiti wetu Mbowe na Chama chake, inawaumiza Walinzi wake na Familia zao na inazidi kutugawa Watanzania" ——— Tundu LissuKwanza una uhakika kuwa Lissu aliomba kukutana na Maza au kwa vile Zuhura kasema hivyo ...!!
Pili kuzungumzia kesi ya Mbowe haina maana kuwa wanaomba asamehewe. Tofauti iliyopo kati ya CDM na Zitto kwamba Zitto aliomba Mbowe asamehewe wakati CDM wanataka Mbowe aachiwe. Hii ndiyo tofauti ....!!
Hiyo sentence haina sehemu yeyote ya yenye mwelekeo wa kuomba msamaha bali inasema zaidi ya kuumiza watu bure wakuna anayefaidika ... let's end this !!Nimemuambia Rais Samia kwamba kesi ya Mbowe haikisaidii Chama chake Rais (CCM), haikisaidii Chama chetu (CHADEMA), inamuumiza Mwenyekiti wetu Mbowe na Chama chake, inawaumiza Walinzi wake na Familia zao na inazidi kutugawa Watanzania" ——— Tundu Lissu
Yawezekana mtoa mada Great Thinker wa miaka mingi Ritz ndiye Zitto mwenyewe,amekwazika kwa Lissu kuongea na Mh.Rais Samia mubashara-Face2Face akidhani itampunguzia umaarufu wake.Kama huoni tofauti ya hizo hoja za hao watu wawili utakua na matatizo yakufikiri.Maana hakuitaji kua na degree kujua tofauti kati ya kuomba au kuombewa msamaha na kesi kufutwa bila masharti.hizi siasa uchwara zisitutoe akili.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wewe nuna ila wenzako tunasonga🤔Sisi Chadema hatuna haja ya Majadiliano na Rais Samia hadi hapo Mbowe atakaoachiwa huru bila masharti😄😄😄😄😄😄😄
Hawa wanasiasa wanawavuruga sana wafuasi waoWanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...
Hapo ndipo ujue hata wabunge 19 wa viti maalumu wako kihalali bungeniWanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...
Hoja zako ni ipi?Wewe kama Mkongwe unataka kuchochea kuni ili pasiwe na muafaka wowote kwa manufaa ya Mama Tanzania?Je,hauoni kuwa kesi ya mchongo ilivyojifuta bila masharti yoyote tangia majuzi?Sisi Chadema hatuna haja ya Majadiliano na Rais Samia hadi hapo Mbowe atakaoachiwa huru bila masharti😄😄😄😄😄😄😄
Well cemented.Soon tutaongea lugha moja nayo ni Katiba mpya.Hiyo sentence haina sehemu yeyote ya yenye mwelekeo wa kuomba msamaha bali inasema zaid ya kumiza watu wakuna anayefaidika ... let's end this !!
Unataka kusema umetabiri hukumu ya kesho?Kwani Lissu ndiyo Mbowe?Jaji akiamua kuwa washtakiwa hawana kesi ya kujibu kesho tarehe 18.02.2022 itakuwa kwa sababu ya kikao cha Ubelgiji?lissu kaomba poo mbowe atoke kesho msije mkasema kashinda kesi lissu kaomba aachiwe
Waliotema ndoano Akina nani sisi nyie, na bahati iliyonjema ni kuwa mtawatema hata dagaa tuliowatumia kama chambo kuwanasia🤸.Mmetema ndoano mapema sana makamanda. 🎣 😂
Anakwamia lumbumba huyu sii bure.Hoja zako ni ipi?Wewe kama Mkongwe unataka kuchochea kuni ili pasiwe na muafaka wowote kwa manufaa ya Mama Tanzania?Je,hauoni kuwa kesi ya mchongo ilivyojifuta bila masharti yoyote tangia majuzi?
Imeisha Mkuu na sasa kwa kasi ya mwanga tunarejea kwa Hoja Kuu ambayo ni Katiba Mpya kwa manufaa na ustawi wa Taifa letu.
Unaonaje Ritz,unakwama wapi?
Sijui saana kuhusu zitto. Lakin its same. Hata ww unaweza omba kuonana na rais. Hakuna kitu kipya hapoZitto je?
Lissu ni mdhaifu sana kisiasa, siku zote huwa naandika hapa adui kuna wakati lazima awe karibu yako kufikia lile lile lengo lako, sioni tofauti yoyote mama alivyokutana na kina Lipumba, Zitto kabwe, Mbatia, Marema nk. na yeye alivyokutana naye kule BrusselsWanaukumbi.
Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai...