johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Tundu Antipas Lissu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA alinukuliwa akisema alimwambia Rais Samia alipomtembelea kule Ubelgiji CHADEMA na CCM watafanyaje mazungumzo ilhali Mwenyekiti Mbowe ameshtakiwa isivyo halali?
Lissu akasema, Rais aliahidi atamtoa na aliporudi Tanzania baada ya ziara Mbowe akaachiwa.
Nimemsikia Tundu Lissu akitamba Serikali kuwafutia Kesi ilikuwa inawahonga Ili wanyamaze?
Kumbe ni wao wenyewe ndio walikuwa wanaomba Serikalini na siyo mahakamani wafutiwe Kesi.
Hata Mwigullu PhD alisema pale Moshi kwamba shemeji yake Lema alimuomba amfanyie wepesi Ili arudi nyumbani.
Sasa swali langu ndio lile kwenye heading 😃
Shujaa Magufuli: Watanzania siyo Wajinga.
Lissu akasema, Rais aliahidi atamtoa na aliporudi Tanzania baada ya ziara Mbowe akaachiwa.
Nimemsikia Tundu Lissu akitamba Serikali kuwafutia Kesi ilikuwa inawahonga Ili wanyamaze?
Kumbe ni wao wenyewe ndio walikuwa wanaomba Serikalini na siyo mahakamani wafutiwe Kesi.
Hata Mwigullu PhD alisema pale Moshi kwamba shemeji yake Lema alimuomba amfanyie wepesi Ili arudi nyumbani.
Sasa swali langu ndio lile kwenye heading 😃
Shujaa Magufuli: Watanzania siyo Wajinga.