Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu 🤣

Cc Jasusi
Kwenye maridhiano hatuendi na misimamo, it's obvious Lissu kumuomba aonane na Rais Samia lkn ni vigumu Rais Samia KUOMBA kuonana na Lissu, kwenye diplomasia hivi ndivyo ilivyo mdogo kulegeza misimamo ili kupata maridhiano.

Katika maridhiano pande zote mbili zinakubali kupoteza jambo fulani na kupata jambo fulani, loss-win situation. Haduendi na shingo ngumu, na ndiyo maana inakuwa vigumu kumaliza mizozo mingi kusini mwa Afrika sababu kila moja anataka msimamo wake uwe. Fuatilia mzozo wa Russia na Ukraine
 
Nyumbu wanasiasa za kitoto sana!
Leo wanaamua kula matapishi ya Zitto, bila haya wanampigia magoti Samia amuachie huru Freeman.

Sasa utajiuliza Freeman aachiwe huru kwa lipi? Utawasikia eti kesi ya kubumba...Hahaha kesi ya kubumba!

Sasa nyumbu kwa nini msiache mvua iendelee kunya tujue wapi panapovuja. Hizi kelele za msamaha mnataka Samia aingilie uhuru wa mahakama? Hilo hatutokubali, Mbowe ataendelea kwenda mahakamani mpaka ukweli ujulikane!
Bado upo usingizini wewe siyo bure.Mh Mbowe hana kesi ya kujibu ni vema ukajiandaa kumeza fundo la chuki binafsi.
Subiri tarehe 18 February halafu mrejee hapa mtupatie mrejesho.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jina...
Mbona unaandika ukiwa na hasira??
 
Acha kupotosha uma.Tuna kumbukumbu vizuri sana.

Kuna tofauti kati ya kusema;

“Mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe

na

“Kesi ya mwenyekiti Mbowe ni ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo na hailisaidii taifa kwa lolote, IONDOLEWE” - Tundu Lissu
Utofauti wake ni umbali kati ya ukuta wa mbingu na chini ya ardhi kabisa
 
Bavicha hawakupenda aseme Zitto hakuna tofauti ya Zitto na lLissu wote wamemshauri Rais amuachie Mbowe.
Wewe ni huyu mwamba?

IMG_20220216_212136_442.jpg


Imekuuma sana Lissu kukutana na Samia?

Kuna watu mnaumia sana kama taifa tunapokaribiana. Mwisho wenu huko mbali.

Kwa taarifa yako, ukweli wote mchungu Samia kapewa na bado!
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.
Wewe ni zaidi ya mjinga fulani tu.
 
Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu

Cc Jasusi
Kanawe miguu ulale wewe kula kulala
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.

Lissu ni wa ndani ya kaya Zitto ni wa nje ya kaya
 
Wewee! Angalia maudhui ya kile ambacho Lissu anakizungumzia na kile ambacho Zito alikifanya kinafiki ili kutafuta kiki za kisiasa. CDM huwa hawa utaratibu wa kujipendekeza, wao lugha yao siku zote ni kutafuta maridhiano.

Hii ni lugha ya "win loose situation" yaani kila pande husika huwa na kitu cha kupata pia na cha kupoteza ili pande husika zifikie makubaliani. Lakini ile lugha ya Zito ilikosa sifa zote za maridhiano, zaidi ya kutaka kujipendekeza ili kutafuta huruma kutoka kwa ule upande dhalimu.
Umetisha sana mkuu
 
Zitto kwenda kusema Mbowe asamehewe kwa kosa lisilojulikana ilikuwa ni aibu kubwa kwake na chama chake, undumilakuwili wake ndio unasababisha sasa anakimbiwa na wanachama wake.
Zitto hajawahi kuwa mpinzani na hajawahi kuoigania haki ya mtu mwingine zaidi ya kuougania tumbo lake.
 
Tuweke records sawa.

Chadema waliomba mapema sana kukutana na Rais. Wachawi wakaingia hapa kati, wakaanza na agenda ya Chadema wapeleke hoja zao halafu uwekwe mkutano vyama vyote, Chadema wakataa huo utopolo. Mara ghafla Mbowe anafunguliwa kesi, na hadithi za mikutano isiyokuwa na maana zikazidi.... Chadema waliweka msimamo, wanataka one on one sio kuwekwa kundi moja na Dovutwa.

Tukubali tu, this is a big win for CHADEMA. Walikataa kuwekwa kundi moja na mamluki.
Umemaliza kazi mkuu
 
Wakati chadema wamekazia Sana hawatafanya mazungumzo yoyote na serikali ya Samia na kumshutumu zitto kumtakia msamaha mwenyekiti wa CDM.

Hatimaye tundu lisu makamu mwenyekiti cdm amekula matapishi yake baada kwa KUOMBA KIKAO MAALUM NA RAIS SAMIA" Na kumtakia msamaha mwenyekiti.

Lisu alimsema vibaya Sana zitto kwa kukaa na Rais kumuombea mbowe Leo hata arobaini hazijaisha lisu naye makamu mwenyekiti mzima amemtafuta na kumuombea rais waongelee msamaha kwa kushiñdwa, ni Jambo jema.

Busara imechukua nafasi tangu mwanzo rais aliomba mjadara na vyama pinzani chadema wakashupaza shingo Sasa imevunjika , aliyeshika mpini muachie...

Lisu aliomba appointments na rais na alikaribishwa huko ubeligiji katika Jambo jema alioliomba NI kuachiwa kwa mbowe.
Tuna mtaka mbowe kuliko wakati WOWOTE kwa ustawi wa nchi.
 
Back
Top Bottom