johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Wote tunajua Zitto Kabwe alimpigia kampeni za Urais Tundu Antipas Lissu mwaka 2020 badala ya mgombea wa ACT Wazalendo mzee Membe.
Japo Wassira anasema Tanzania inafanya Siasa za Unafiki lakini mimi naona kwa maelezo ya Zitto kumhusu Membe basi Tundu Lissu yu bora zaidi kwa sababu ndio Chaguo lake la Urais
Japo Wassira anasema Tanzania inafanya Siasa za Unafiki lakini mimi naona kwa maelezo ya Zitto kumhusu Membe basi Tundu Lissu yu bora zaidi kwa sababu ndio Chaguo lake la Urais