Alichofanya Tundu Lissu, ndicho alichofanya Zitto Kabwe, kwa Rais Samia

MBOWE NI GAIDI NA KESI IMESHAMKALIA VIBAYA LISSU KESHAKUBALI YAISHE MAMA AMTOE KESHO MTASIKIA
UTU wa MTU ni bora kuliko kitu chochote,ila wewe unaudhalilisha wako.Kesi ya Mh.Mbowe na wenzake ilimalizika rasmi pale Mawakili wa Serikali walivyobwaga manyanga tarehe 15 kabla hatujawasikia karibia nusu ya mashahidi wao,wametia mpira kwapani baada ya kusoma mwelekeo siyo.Mara mashahidi wanaanza kuwatetea watuhumiwa na kuhara kila wawapo kizimbani.Chezea Kibatala wewe?!
CCM acheni kujitekenya na kujilazimisha kucheka kwa mambo yasiyochekesha.Mliambiwa kuwa Mh Mbowe siyo gaidi mkashupaza shingo na sasa mnamwachia huru mpende msipende.Mna hasira na CDM na Mbowe hadi mnaugua.
Tunauwasha moto wa Katiba Mpya kikamilifu,kikosi kamili kitakuwa uwanjani.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.
La hata kidogo. Zitto alitaka Mbowe asamehewe, which means kwa upeo wakeyeyeni kwamba Mbowe ni kwwli ametenda matendo ya kigaidi, which if at all ni kweli hatakiwi kusamehewa kabisa. Lakini Lissu amesema kuwa jambo hilo la kimchongo halimnufaishi yeyote yule zaidi ni kuibagaza nchi tu, so amemtaka Rais kutumia mamlaka yake kumaliza jambo hili.

So, kwa mawazo yako mgando, unaona yaliyofanyika na hawa wawili ni sawa??
 
La hata kidogo. Zitto alitaka Mbowe asamehewe, which means kwa upeo wakeyeyeni kwamba Mbowe ni kwwli ametenda matendo ya kigaidi, which if at all ni kweli hatakiwi kusamehewa kabisa. Lakini Lissu amesema kuwa jambo hilo la kimchongo halimnufaishi yeyote yule zaidi ni kuibagaza nchi tu, so amemtaka Rais kutumia mamlaka yake kumaliza jambo hili.

So, kwa mawazo yako mgando, unaona yaliyofanyika na hawa wawili ni sawa??
Rais alimalize vipi suala lililoko mahakamani?

Yaani aingilie mahakama?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Nimemuambia Rais Samia kwamba kesi ya Mbowe haikisaidii Chama chake Rais (CCM), haikisaidii Chama chetu (CHADEMA), inamuumiza Mwenyekiti wetu Mbowe na Chama chake, inawaumiza Walinzi wake na Familia zao na inazidi kutugawa Watanzania"
Malizia maongezi usikatekate maneno.
 
UTU wa MTU ni bora kuliko kitu chochote,ila wewe unaudhalilisha wako.Kesi ya Mh.Mbowe na wenzake ilimalizika rasmi pale Mawakili wa Serikali walivyobwaga manyanga tarehe 15 kabla hatujawasikia karibia nusu ya mashahidi wao,wametia mpira kwapani baada ya kusoma mwelekeo siyo.Mara mashahidi wanaanza kuwatetea watuhumiwa na kuhara kila wawapo kizimbani.Chezea Kibatala wewe?!
CCM acheni kujitekenya na kujilazimisha kucheka kwa mambo yasiyochekesha.Mliambiwa kuwa Mh Mbowe siyo gaidi mkashupaza shingo na sasa mnamwachia huru mpende msipende.Mna hasira na CDM na Mbowe hadi mnaugua.
Tunauwasha moto wa Katiba Mpya kikamilifu,kikosi kamili kitakuwa uwanjani.
Yaani wakili wenu msomi kanyoosha mikono kaona mbowe hapa jela inamuita milango iko wazi kwanza mumshangae huyo lissu wenu aliyesemaga hawezi kuonana na rais mpaka mbowe atoke kaona maji shingoni kaona amvizie mama hukohuko amuombe amsamehe mbowe usicheze na ushahidi wa jamhuri wewe malaya tu unaongea kwakuwa uko nyuma ya keyboard wakati mbowe manyapara yana mla huko
 
Unachekesha sana!!


Hili ndio tatizo kubwa sana kwa siasa za bongo, watu kuwa ndumila kuwili na ubinafsi.

Kisa aliongea Zitto ikawa nongwa leo kaongea Lissu amekuwa mwanafamilia.

Tujifunze kupunguza ujinga kwenye baadhi ya mambo haijalishi matokeo yake. Inaumiza mtu yule yule anabadilika kama kinyonga.
Labda wewe ni mgeni wa siasa za Tanzania
Huyu Zitto tunayemuongelea hapa ni mnafki namba moja katika nchi hii leo anaweza akasema hili kesho akaja na hili so huwa haitajiki kushirikishwa kwa jambo lolote regardless anahitajika au lah!!! Then kusema Lissu ni mwanafamilia namaanisha ni mwanafamilia wa CHADEMA means msimamo wake ndio msimamo wa chama ikizingatia na position yake vilevile huwezi jua inside wamekubaliana nini chadema kama chama kwa sasa na huwezi jua msimamo wao kwa kipindi kile cha statement ya Zitto ulikuwaje that is why CHADEMA wakamjia kama mwewe Zitto
 
UTU wa MTU ni bora kuliko kitu chochote,ila wewe unaudhalilisha wako.Kesi ya Mh.Mbowe na wenzake ilimalizika rasmi pale Mawakili wa Serikali walivyobwaga manyanga tarehe 15 kabla hatujawasikia karibia nusu ya mashahidi wao,wametia mpira kwapani baada ya kusoma mwelekeo siyo.Mara mashahidi wanaanza kuwatetea watuhumiwa na kuhara kila wawapo kizimbani.Chezea Kibatala wewe?!
CCM acheni kujitekenya na kujilazimisha kucheka kwa mambo yasiyochekesha.Mliambiwa kuwa Mh Mbowe siyo gaidi mkashupaza shingo na sasa mnamwachia huru mpende msipende.Mna hasira na CDM na Mbowe hadi mnaugua.
Tunauwasha moto wa Katiba Mpya kikamilifu,kikosi kamili kitakuwa uwanjani.
Peeeoooopleeeeeesssss!!!!!!!
Ndiyo kwanza kumekuchaaaaaàaaaaaa
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.


Sisi tunamjuwa zitto kabwe, yeye ndie aliomba ombi hilo. Wanachadema kuweni wapole tuuu. Nimefurahi munoo tundu lisu kukutana na mheshimiwa rais,


Tundu lisu na zitto waungane na mama,,,waachane na akina lema na lichama lao la ukabila.


Cna chama chochote wazehe.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.

Hakika kwangu mimi hii ni ishara kuwa Tanzania imerudi kwa Watanzania.
Tutatofautiana. Tutakaa kwa uhuru. Tutaongea kwa uwazi na kukubaliana kusonga mbele!
Najua wapo wengi wanawaona Watanzania wenzao kama madui wasiostahili kuishi. Wapo tayari kudhulumu uhai wao na kuwatia vilema.

Sawa. Lakini wananufaikaje kwa kufanya hayo yote??
Let's embrace diversity and build a stronger nation.
 
Lissu AMEOMBA kukutana na Mama Samia. Zitto didn’t. Sio Lissu huyu huyu aliyesema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti? Mnapokuwa waongo basi muwe na kumbukumbu 🤣

Cc Jasusi
Unajuaje labda keshaachiwa??
Alafu ondoeni huo upofu na mapepo ya mauti!
Tanzania is for all Tanzanians.
 
Huyu mama anaigia mitego ya kijinga sana.
Kukutana na hilo lopolopo kajipalia makaa.
Sasa linajitapa dunia nzima.

Nimemweleza.
Nikamwambia,
Nikamsimulia
Nikamkumbusha.
Upumbavu gani huu?
Rais angetuma wawakilishi wake aseme upuuzi wake wote.
Sasa anaanza kudharau na kutufanya raia wote wajinga.
Yeye anamwamrisha rais kama nani?
Huu ni upumbavu wa karne.
Ila tuwaache tu .
Huko mbele tutajuana.
 
Huyu mama anaigia mitego ya kijinga sana.
Kukutana na hilo lopolopo kajipalia makaa.
Sasa linajitapa dunia nzima.

Nimemweleza.
Nikamwambia,
Nikamsimulia
Nikamkumbusha.
Upumbavu gani huu?
Rais angetuma wawakilishi wake aseme upuuzi wake wote.
Sasa anaanza kudharau na kutufanya raia wote wajinga.
Yeye anamwamrisha rais kama nani?
Huu ni upumbavu wa karne.
Ila tuwaache tu .
Huko mbele tutajuana.
Halafu umeandika kwa kupanic sana mkuu, shida ni nini?? Acha kujipa pressure za bure.
 
Wanaukumbi.

Tundu Lissu, ameomba kukutana na Raia Samia moja ya ombi ilikuwa ni suala la Freeman Mbowe, alimalise Mbowe atoke jela, ombi hilo ndiyo aliomba Zitto Kabwe, kwa Rais Samia lakini alishambuliwa na wafuasi wa Chadema utadhani kafanya kosa la jinai.

Tundu Lissu, huyu huyu aliyesema Chadema hamtokutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe bila masharti.

Wafuasi wa Chadema walivyokuwa wanafiki wanamsifia Tundu Lissu.

Lissu kawapiga changa la macho wenzake Kwenye spesi anawaambia hakuna kukutana na Mama Samia mpaka Mbowe aachiwe, kumbe faraghani anaomba poo. Lissu kafanya maamuzi peke yake bila kuwashirikisha wenzake.

Wanasema talk sense to a fool and he calls you foolish, hii ndio ZZK kwa Chadema.
Chadema wakiomba msamaha kwa raisi, wakiomba kukutana na raisi etc, they call them selves hero, barbarian, undisputed or whatever lakini akifanya mwengine, he is traitor, defector, Judas, schemer or .... .
Tuwastahamilie watakua, hata mbuyu ulikuwa kama mchicha.
 
Halafu umeandika kwa kupanic sana mkuu, shida ni nini?? Acha kujipa pressure za bure.
Kwa shida gani haswa, mi sio mwanasiasa na si rely na chama chochote.
Sipo CCM ila ndo chama twawala nakifuatilia,
Vinavyofuata ni wachumia tumbo tu sifwatilii.
Kwa kauli alizotoa huyo bwege wenu mnamuona hero.
1.katiba itabaki vilevile
2.Mbowe hatoki
3.covid watabaki walipo
4.hakuna mikutano mpk mfwate katiba ambayo mnaipinga
5.Passport(aliitupa ili awe mkimbizi halali km wasomali) atapewa almradi tu afwate process km raia wengine.
6.kurudi pale ni kwao,
almradi hakuuamtu,hana kesi za jinai anakaribishwa.
 
Mama yenu alienda kutembeza bakuli ajabu mkashikiwa akili na mtu mmoja miaka 6 kuwa ni pesa za ndani na hamkopi.
 
Kwa shida gani haswa, mi sio mwanasiasa na si rely na chama chochote.
Sipo CCM ila ndo chama twawala nakifuatilia,
Vinavyofuata ni wachumia tumbo tu sifwatilii.
Kwa kauli alizotoa huyo bwege wenu mnamuona hero.
1.katiba itabaki vilevile
2.Mbowe hatoki
3.covid watabaki walipo
4.hakuna mikutano mpk mfwate katiba ambayo mnaipinga
5.Passport(aliitupa ili awe mkimbizi halali km wasomali) atapewa almradi tu afwate process km raia wengine.
6.kurudi pale ni kwao,
almradi hakuuamtu,hana kesi za jinai anakaribishwa.
Ona jinsi unavyozidi kupanic na kuonyesha ni jinsi gani ulivyo hamnazo. Mataga mna shida sana aisee.
 
Back
Top Bottom