Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 naona ushaanza kuumbuka kwa hiyo anaweza apa hata kwa mbo 😀 😀 😀 kweli allah ni pepo
unaona umeshindwa unaanza matusi
 
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Kwa hakika alama na ishara hizo hazina umuhimu wala maana yoyote katika kuwekwa katika Misikiti au sehemu nyingine zozote. Kwani wakati wa Mtume (Swalla-Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba zake (Radhiya-Allaahu 'anhum) alama
kama hizo zilikuwa hazipo.
Baada ya hapo huenda Waislamu wakaamua kuwa wawe na ishara kama vile Mayahudi
na Manaswara, kwani Mayahudi wana ile ishara ya nyota ya Daudi ambayo ina pembe sita na Manaswara wana ishara ya kuwa na msalaba. Kwa kuwa sisi huwa tarehe zetu za siku na miezi yetu hufuata mwezi, basi baadhi ya Waislam wakaona kuwa waweke hiyo alama ya mwezi kama nembo, lakini kiuhakika haina maana yoyote ya kisheria.
Na Allah Anajua zaidi.

kwanini nyota na mwezi? je wazo hilo lilitolewa nani na kwa nini? umetoa majibu mepesi saana ambayo yanazaa maswali mengi zaidi?
 
Usishangae huyo atakuja kuuliza mbona rangi za misikiti tofauti? Au atasema mbona misikiti haina gorofa.... Ndo akili za wale wanaonda kanisani wakitolewa mapepo kwa kupigwa ngoma au padre akifanya moonwalk pepo linakimbia...utacheka ukiona wanavosanifiwa
baba yake na muhammad aliitwa Abdallah yaani mja wa allah, na babu yake muhammad aliitwa abdul mutaleeb yaani mja wa kutafuta, sasa swali ni kwamba kama babu yake muhammad alikua kafiri na ana abudu masanam ndani ya qaaba alimjuaje allah mpaka kumwita mwanae abdallah wakati yeye alikua kafiri na alikufa kaffiri? mi nadhana huyu allah ni zaidi ya tunavyomjua au anvyoelezewa nahitaji mwenye ilmu kubwa zaidi anifafanulie katika hili...
pili kwanini muhammad kipindi anaishi na yule mwanamke tajiri na aliemshinda umri almaarufu kama hadija ambae alianza mahusiano nae baada ya kua anamtuma tuma kwenye biashara zake na hatimae akaamua amdhibiti kabisa huo kijana mdogo wakati yeye akimzidi zaidi ya miaka 20.....ilikuaje kwa muda wote huo muhammad hakuoa mpaka huyo mama tajiri alivyokufa na kumuachia mali zote ndipo akaoa wanawake mpaka zaidi ya 10? na iweje awaambie waislam wenzake mwisho wa 4 wakati yeye alioa hadi 13?

hapo kuna ukakasi mwingi nahitaji tushindane kwa hoja tu na sio povu na mihemko ya kijihadi jihadi utafikiri tupo ikwiriri.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Nafikiri kwa busara ni vizuri kuwaachia wenye dini yao wajisemee wenyewe na sio kuwasemea tena kwa kashifa kwani
Ukianza kuwatukana eti wana amini shetani??? hata wao watakuambia kuwa ishara ya Msalaba ni ya Kishetani kwani watu huvaa na kuamini kuwa ni ulinzi nk? kwani Yesu alivaa Msalaba??? kuvaa msalaba ilikuja baada ya Yesu hivyo nahisi haina baraka za Yesu.
Wewe upo dini gani isiyokuwa na Alama?

Ni vizuri BUSARA ya hali ya juu itumike pale mtu anapoongelea Imani za watu wengine na cha msingi zaidi sio LAZIMA kuchangia!
 
HA
baba yake na muhammad aliitwa Abdallah yaani mja wa allah, na babu yake muhammad aliitwa abdul mutaleeb yaani mja wa kutafuta, sasa swali ni kwamba kama babu yake muhammad alikua kafiri na ana abudu masanam ndani ya qaaba alimjuaje allah mpaka kumwita mwanae abdallah wakati yeye alikua kafiri na alikufa kaffiri? mi nadhana huyu allah ni zaidi ya tunavyomjua au anvyoelezewa nahitaji mwenye ilmu kubwa zaidi anifafanulie katika hili...
pili kwanini muhammad kipindi anaishi na yule mwanamke tajiri na aliemshinda umri almaarufu kama hadija ambae alianza mahusiano nae baada ya kua anamtuma tuma kwenye biashara zake na hatimae akaamua amdhibiti kabisa huo kijana mdogo wakati yeye akimzidi zaidi ya miaka 20.....ilikuaje kwa muda wote huo muhammad hakuoa mpaka huyo mama tajiri alivyokufa na kumuachia mali zote ndipo akaoa wanawake mpaka zaidi ya 10? na iweje awaambie waislam wenzake mwisho wa 4 wakati yeye alioa hadi 13?

hapo kuna ukakasi mwingi nahitaji tushindane kwa hoja tu na sio povu na mihemko ya kijihadi jihadi utafikiri tupo ikwiriri.[/QUO
kwani wakati nyie makafiri mkisema mungu wangu mnakua mnajuaje mungu ?
 
Nafikiri kwa busara ni vizuri kuwaachia wenye dini yao wajisemee wenyewe na sio kuwasemea tena kwa kashifa kwani
Ukianza kuwatukana eti wana amini shetani??? hata wao watakuambia kuwa ishara ya Msalaba ni ya Kishetani kwani watu huvaa na kuamini kuwa ni ulinzi nk? kwani Yesu alivaa Msalaba??? kuvaa msalaba ilikuja baada ya Yesu hivyo nahisi haina baraka za Yesu.
Wewe upo dini gani isiyokuwa na Alama?

Ni vizuri BUSARA ya hali ya juu itumike pale mtu anapoongelea Imani za watu wengine na cha msingi zaidi sio LAZIMA kuchangia!
ndio ishara ya msalaba ni ya shetani pale alipotoa ahadi kwa ALLAH alipoafukuzwa mbinguni sababu ya kukaidi amri na kusema nita wapote kupitia mbele yao nyuma yao kulia kwao na kushoto kwao so hapo unapata alama ya upotevu nayo msalaba .
 
ALLAH akupe fahamu
Allah yupi ampe fahamu?
Quran 34:44 Wala (hawa waarabu) hatukuwapa vitabu(kabla ya kitabu hiki wakawa)wanavisoma. Wala hatukuwapelekea muonyaji kabla yako.
Allah Mungu km wanavyoamini waislam hakuwapa waarabu kitabu kabla ya Quran. Hii ina maana kuwa muhamad tokea alipozaliwa hadi kufika miaka 40 hakujua hbr ya vitabu pamoja na waarabu wenzake wote hawakujua.
Tena ukisoma ufafanuzi wa Suratul al-Furqan aya 43 kuna maneno haya “ Waarabu kwa ujinga wao wa kuabudu chungu ya miungu walikuwa baadhi yao wakiona chochote kile kikawapendeza, hukiabudu hata Andazi lililokaa kwa sura nzuri.

Swali kwanini Baba yake Muhamadi anaitwa Abdallah yaana, mja wa Allah. na wakati yeye alikuwa ana abudu Mungu mwezi ? unaweza vipi kututofoutishia Mungu Allah wa Muhamad na Mungu Allah wa baba yake Muhamadi?
 
Yesu kristo ni mwanawa Mungu alie hai!!
yesu si kristo na si mwana wa mungu na rejea katikam qur'an aya ya 42 paka aya ya utaona maryam mama wa yesu anaambiwa kabla yesu hajazaliwa inasema pindi waliposema malaika kumwambia maryam hakika mwenyezi mungu amekuchagua wewe na amekusafisha juu ya wanawake wote wa dunia 42.eeeeh, maryam omba kwa mola wako na umsujudie mola wako na urukuu kwa mola wako pamoja na wenyekurukuu 43.
 
yesu si kristo na si mwana wa mungu na rejea katikam qur'an aya ya 42 paka aya ya utaona maryam mama wa yesu anaambiwa kabla yesu hajazaliwa inasema pindi waliposema malaika kumwambia maryam hakika mwenyezi mungu amekuchagua wewe na amekusafisha juu ya wanawake wote wa dunia 42.eeeeh, maryam omba kwa mola wako na umsujudie mola wako na urukuu kwa mola wako pamoja na wenyekurukuu 43.
Yesu kristo ni mwanawa Mungu alie hai!!
al-imran aya ya 59. hakika mfano wa yesu kama mfano wa adam hakika tumemuumba kwa mjanga kisha akasema ALLAH kua akawa binadaam.
 
Ni kweli mussa alikataa kuabudu sanam mi mwenyewe huwa sielewi uhusiano wa hizo sanam na munngu
sanam zilikuepo kabla muhammad kuja duniani na ndio ALLAH akamleta muhammad kuja kuondoa dhulma zote.
 
Allah yupi ampe fahamu?
Quran 34:44 Wala (hawa waarabu) hatukuwapa vitabu(kabla ya kitabu hiki wakawa)wanavisoma. Wala hatukuwapelekea muonyaji kabla yako.
Allah Mungu km wanavyoamini waislam hakuwapa waarabu kitabu kabla ya Quran. Hii ina maana kuwa muhamad tokea alipozaliwa hadi kufika miaka 40 hakujua hbr ya vitabu pamoja na waarabu wenzake wote hawakujua.
Tena ukisoma ufafanuzi wa Suratul al-Furqan aya 43 kuna maneno haya “ Waarabu kwa ujinga wao wa kuabudu chungu ya miungu walikuwa baadhi yao wakiona chochote kile kikawapendeza, hukiabudu hata Andazi lililokaa kwa sura nzuri.

Swali kwanini Baba yake Muhamadi anaitwa Abdallah yaana, mja wa Allah. na wakati yeye alikuwa ana abudu Mungu mwezi ? unaweza vipi kututofoutishia Mungu Allah wa Muhamad na Mungu Allah wa baba yake Muhamadi?
baba yake muhammad alikufa kabla ya mwanae kuzaliwa na hakua katika washirikina wanao abudu sanam na mkewe sababu ALLAH alikwisha waandaa kuto fanya hivyo sababu wao ni wazizi wa kiumbe bora dunia nzima
 
qur'an al-imran aya ya 67.hakuan ibrahima yahudi wala naswarah lakini alikua ni hanifah tena muislam na hakua miongoni mwa washirikina hao.
 
al-imran aya ya 19. bila ya shaka dini mbele ya mwenyezi mungu ni uislam. na walio pewa kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi uliom kuwa baina yao. na anaye zikataa ishara za mwenyezi mungu basi hakika mwenyezi mungu ni mwepesi wa kuhisabu.
 
Back
Top Bottom