Bonyeza Nyota itakuwa ya kwako...

Bonyeza Nyota itakuwa ya kwako...

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,558
Reaction score
31,962
Nimekuwa nikisikia hivyo na sikuwa nafuatilia sana hilo jambo. Mara nyingi nmekuwa nikisia... Bonyeza Nyota itakuwa ya kwako.

Je umewahi shawishika kubonyeza nyota? Ikawa yako? Je umeona kuna faida yoyote katika hilo? Mimi binafsi hayo matangazo hayajawahi nishawishi kuanza kubonyeza nyota. Na sijaona faida kwa wale ambao walishabonyeza.

Sijajua kama ni kweli from there ilikuwa yake. Au yao. Tafakari, chukua hatua, haki ya kupewa Elimu. Usibonyeze nyota kama huoni faida
 
Back
Top Bottom