Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

baba yake muhammad alikufa kabla ya mwanae kuzaliwa na hakua katika washirikina wanao abudu sanam na mkewe sababu ALLAH alikwisha waandaa kuto fanya hivyo sababu wao ni wazizi wa kiumbe bora dunia nzima
wewe hata Uislamu wenyewe huu ujui. nani alitaka kutolewa kafara kwenye kaaba na kafara yake ikabadishwa kwa ngamia?
 
yesu si kristo na si mwana wa mungu na rejea katikam qur'an aya ya 42 paka aya ya utaona maryam mama wa yesu anaambiwa kabla yesu hajazaliwa inasema pindi waliposema malaika kumwambia maryam hakika mwenyezi mungu amekuchagua wewe na amekusafisha juu ya wanawake wote wa dunia 42.eeeeh, maryam omba kwa mola wako na umsujudie mola wako na urukuu kwa mola wako pamoja na wenyekurukuu 43.
Wewe kweli kilaza. unakana hadi Quran inavyosema. soma hapa
Surat Al Imran 45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).

au hujui maana ya masihi kwamba ni neno moja na Kristo katika lugha tofauti? wewe bado sana kujadili haya mambo humu kamuite Gavana.
 
Niishara yakuutambua msikit nandiomaana kanisa linamsalaba Ili kutambua kanisa
 
baba yake na muhammad aliitwa Abdallah yaani mja wa allah, na babu yake muhammad aliitwa abdul mutaleeb yaani mja wa kutafuta, sasa swali ni kwamba kama babu yake muhammad alikua kafiri na ana abudu masanam ndani ya qaaba alimjuaje allah mpaka kumwita mwanae abdallah wakati yeye alikua kafiri na alikufa kaffiri? mi nadhana huyu allah ni zaidi ya tunavyomjua au anvyoelezewa nahitaji mwenye ilmu kubwa zaidi anifafanulie katika hili...
pili kwanini muhammad kipindi anaishi na yule mwanamke tajiri na aliemshinda umri almaarufu kama hadija ambae alianza mahusiano nae baada ya kua anamtuma tuma kwenye biashara zake na hatimae akaamua amdhibiti kabisa huo kijana mdogo wakati yeye akimzidi zaidi ya miaka 20.....ilikuaje kwa muda wote huo muhammad hakuoa mpaka huyo mama tajiri alivyokufa na kumuachia mali zote ndipo akaoa wanawake mpaka zaidi ya 10? na iweje awaambie waislam wenzake mwisho wa 4 wakati yeye alioa hadi 13?

hapo kuna ukakasi mwingi nahitaji tushindane kwa hoja tu na sio povu na mihemko ya kijihadi jihadi utafikiri tupo ikwiriri.

Kweli unataka tujadiliane kwa hoja au mihemko? Mana naona umehemkwa kwa maswali ulouliza. Majibu yake simple tu.

Mungu kwa Kiarabu anaitwa nani?
Lakini ujue kuwa, yeyote yule ambae hakuwahi kusikia dini ya kiislam basi hatohukumiwa kwa kitu asichokijua. Kabla ya kuja mtume muhammad s.a.w uislam ulikuwepo zamani, lakini ulikuwa tofauti. Hapo zamani ilikuwa hakuna wajib wa kusali wala kufunga, ilikuwa ni kuamini uwepo wa mungu 1 asieonekana tu ilitosha, na hii ili apply kwa mayahudi walioshushiwa vitabu tu. Suala la majina lisikushuhulishe sana kwani haya majina yao ni asili yao. Nyambari nyanwime si jina la kikiristo bali limetokana na asili ya kiafrika. Pamoja na kuwa makafiri kuabudu masanamu yapatayo mia, walikuwa wakiyaita Mungu, na mungu kwa kiarabu ni Allah, kwaio kumwita mja wa Allah sio kitu cha ajabu kwa anaeamini Mungu.

Suala la kwanini mtume alikaa na mke mmoja kwanza mpaka akafariki ndio akapngeza zaidi ya kumi. Mi ningekuomba njoo unitajie wake za mtume zaidi ya kumi uliowataja. Pia uamuzi wa lini kuongeza mke anao muoaji. Hata wewe kama unae mke uliamua lini utamuoa au ulijipangia lini utaoa au ulijipangia kutimiza malengo fulani ndio uoe. Kwaio basi ni yeye ndie aliejua lengo lake. Lakini suala la kwanini mtume yeye alikuwa na wake zaidi ya wanne wakati sisi tumeambiwa tuoe wanne mwisho. Kuna baadhi ya sheria mtume kasafishwa nazo (zimekuwa waved kwa sababu ya cheo cha utume, ambacho anatoa mungu tu) ikiwemo hio ya kuongeza wake, sio hio tu, mitume yote inaweza kusali ikiwa wameamka na janaba jambo ambalo wasiokuwa mitume hawaruhusiwi.
 
al-imran aya ya 19. bila ya shaka dini mbele ya mwenyezi mungu ni uislam. na walio pewa kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi uliom kuwa baina yao. na anaye zikataa ishara za mwenyezi mungu basi hakika mwenyezi mungu ni mwepesi wa kuhisabu.
Dini mbele ya Allah ndo yaweza kuwa islam, ila mbele ya Yehova haiwezekani kwani Allah ni mungu wa kipagani wa waarab.
 
qur'an al-imran aya ya 67.hakuan ibrahima yahudi wala naswarah lakini alikua ni hanifah tena muislam na hakua miongoni mwa washirikina hao.
Hiyo quran ya karne ya sita ndo wataka imsemee Ibrahim wa Israel? Jipe moyo
 
your and education mean nothing if your not muslim and you'rll go to hell fire.


Btw,
There's no hell or fire, no devil. All those are manmade stories and worries against other people.

I'm not foolish to accept whitemen or Arab's god's.

I am blessed, am educated and I do good things than those religious people whom you keep praising while behind the scenes they kill, snitch others, rape women and steal.

I was taught to be a good person from my childhood by my parents and my country taught me values and norms, to guide me always.

Keep moving forward with your crazy religions.
 
Kweli unataka tujadiliane kwa hoja au mihemko? Mana naona umehemkwa kwa maswali ulouliza. Majibu yake simple tu.

Mungu kwa Kiarabu anaitwa nani?
Lakini ujue kuwa, yeyote yule ambae hakuwahi kusikia dini ya kiislam basi hatohukumiwa kwa kitu asichokijua. Kabla ya kuja mtume muhammad s.a.w uislam ulikuwepo zamani, lakini ulikuwa tofauti. Hapo zamani ilikuwa hakuna wajib wa kusali wala kufunga, ilikuwa ni kuamini uwepo wa mungu 1 asieonekana tu ilitosha, na hii ili apply kwa mayahudi walioshushiwa vitabu tu. Suala la majina lisikushuhulishe sana kwani haya majina yao ni asili yao. Nyambari nyanwime si jina la kikiristo bali limetokana na asili ya kiafrika. Pamoja na kuwa makafiri kuabudu masanamu yapatayo mia, walikuwa wakiyaita Mungu, na mungu kwa kiarabu ni Allah, kwaio kumwita mja wa Allah sio kitu cha ajabu kwa anaeamini Mungu.

Suala la kwanini mtume alikaa na mke mmoja kwanza mpaka akafariki ndio akapngeza zaidi ya kumi. Mi ningekuomba njoo unitajie wake za mtume zaidi ya kumi uliowataja. Pia uamuzi wa lini kuongeza mke anao muoaji. Hata wewe kama unae mke uliamua lini utamuoa au ulijipangia lini utaoa au ulijipangia kutimiza malengo fulani ndio uoe. Kwaio basi ni yeye ndie aliejua lengo lake. Lakini suala la kwanini mtume yeye alikuwa na wake zaidi ya wanne wakati sisi tumeambiwa tuoe wanne mwisho. Kuna baadhi ya sheria mtume kasafishwa nazo (zimekuwa waved kwa sababu ya cheo cha utume, ambacho anatoa mungu tu) ikiwemo hio ya kuongeza wake, sio hio tu, mitume yote inaweza kusali ikiwa wameamka na janaba jambo ambalo wasiokuwa mitume hawaruhusiwi.

asante sana kwa maelezo mareefu ingawa haujajibu maswali niliouliza pia nashkuru kwa darsa....narudia tena je abdul mutaleeb alikua kafiri au muislam? na kama alikua kafiri alivyomwita mwanae abdallah alikua anamaanisha allah yupi? kama ni huyu mnaemuabudu mbona yeye alikua hamuabudu na pia alikua ana abudu masanam ndana ya qaaba? na kama uislam ulikuwepo kabla hadija hajamwambia muhammad kua yeye ni mtume na pia yule aliemtokea kule katika mlima wa hirra alikua ni malaika jibrill je hao waislam wengine waliokuwepo walikua wanamuabudu mungu wao kwa aina au staili gani.....maaana hata hiyo qur an ilianza kushuka pale muhammad alipoambiwa iq raa bi simi rabbika ladhi khallak kule jabbar hirra, je walikua wanatumia kitabu gani kabla?

je pia unataka kubisha kua muhammad hakuoa zaidi ya wanawake 10 mpaka akiwemo yule bi hindu mke wa marehem abu sufiani ambae alimuua hamza ambae alikua ndugu yake muhammad wa karibu? naomba twende taratiibu kwa nguvu za hoja bila mihemko....
ipi ilikua logic ya muhammad kuruhusiwa kuowa wanawake wengi zaidi ya waislam wengine mpaka akafikia kukaoa katoto kadogo ambako kalikua hakajafikia hata miaka 18 ambako kalikua kanitwa Aisha bint abubakar bin swidiq ambae alikua ni miongoni mwa waislam wa mwanzo kuslim na kumfuata muhammad hata kwenye ile safari yake ya kukimbilia madina baada ya kutimuliwa maka walikua pamoja?
 
Btw,
There's no hell or fire, no devil. All those are manmade stories and worries against other people.

I'm not foolish to accept whitemen or Arab's god's.

I am blessed, am educated and I do good things than those religious people whom you keep praising while behind the scenes they kill, snitch others, rape women and steal.

I was taught to be a good person from my childhood by my parents and my country taught me values and norms, to guide me always.

Keep moving forward with your crazy religions.

chakuongezea hapo mkuu ni kwamba quran na biblia ni twin sisters books za wazee wa kiarabu na iyahudi na ndio maana karibia kila kitu kinafanana ingawa tofauti ipo kwenye lugha tu, stori zote ni za kina ibrahim, musa daud, selemani, yusuph, ayubu na wengineo pia yesu nae akaitwa issa, halafu mwishoe waka top up na kumuweka muhamad kua nabii wa mwisho kisha waka mlink up na ishmael mtoto wa hajar na ibrahim, huku isaka ambae ni baba yake na yakobo ndio ukatengenezwa uyahudi na ukiristo kupita kwake......hayo yote waliyatengeneza ili watutawale kifikra na ndio maana leo gwajima ni tajiri sana ye anawapa watu maneno ya kusadikika na kuwaahidi kua atawafikisha mbinguni huku yeye anamiliki hadi ndege na magari ya kifahari......hakuna utumwa mbaya kama wa kifikra, leo huko ikwirir wanatusumbua kwasababu ya hizo iman mbaya za kupandikizwa na watu wa kuja......amka mtu mweui chukua hatua.....
 
asante sana kwa maelezo mareefu ingawa haujajibu maswali niliouliza pia nashkuru kwa darsa....narudia tena je abdul mutaleeb alikua kafiri au muislam? na kama alikua kafiri alivyomwita mwanae abdallah alikua anamaanisha allah yupi? kama ni huyu mnaemuabudu mbona yeye alikua hamuabudu na pia alikua ana abudu masanam ndana ya qaaba? na kama uislam ulikuwepo kabla hadija hajamwambia muhammad kua yeye ni mtume na pia yule aliemtokea kule katika mlima wa hirra alikua ni malaika jibrill je hao waislam wengine waliokuwepo walikua wanamuabudu mungu wao kwa aina au staili gani.....maaana hata hiyo qur an ilianza kushuka pale muhammad alipoambiwa iq raa bi simi rabbika ladhi khallak kule jabbar hirra, je walikua wanatumia kitabu gani kabla?

je pia unataka kubisha kua muhammad hakuoa zaidi ya wanawake 10 mpaka akiwemo yule bi hindu mke wa marehem abu sufiani ambae alimuua hamza ambae alikua ndugu yake muhammad wa karibu? naomba twende taratiibu kwa nguvu za hoja bila mihemko....
ipi ilikua logic ya muhammad kuruhusiwa kuowa wanawake wengi zaidi ya waislam wengine mpaka akafikia kukaoa katoto kadogo ambako kalikua hakajafikia hata miaka 18 ambako kalikua kanitwa Aisha bint abubakar bin swidiq ambae alikua ni miongoni mwa waislam wa mwanzo kuslim na kumfuata muhammad hata kwenye ile safari yake ya kukimbilia madina baada ya kutimuliwa maka walikua pamoja?

Nimekujibu lakini hukuwa tayari kuona majibu yake. Nilikuuliza Mungu kwa kiarabu anaitwa nani? hukujibu.

Allah/God ni general name of the creator. Sasa ikiwa alikuwa kafiri na anaabudu masanamu akamwita mwanae Abdallah (mja wa mungu) basi alikusudia mungu huyo anaemuabudu ikiwa sanamu ikiwa aliekuwa haonekani. Yeye aliamini kuwa sanamu ni mungu, lakini sanamu sio mungu, ni sanamu.

Umeuliza style iliyotumika kumuabudu mungu wakati huo kabla ya mtume s.a.w - sipendi kupoteza mda wangu kwa mtu ambae hasomi majibu, nimekwambia kuwa kabla ya kuja mtume, wakati huo ulitakiwa kuamini kuwa kuna mungu 1 tu na haonekani yupo uko alipokuwepo, hio ilitosha. Halafu unasema hujajibiwa swali. Kazi ipo.

Waislam wa kipindi cha kati baina ya Issa a.s na Muhammad s.a.w walikuwa hawana kitabu, ila yule ambae umemfikia ujumbe wa uwepo wa Mungu mmoja alieumba mbingu na ardhi na hafanani chochote basi alitakiwa AAMINI TU. Hakukuwa na sala wala funga, hili nimelisema kwenye post yangu. Lakini hukuja na hoja ni mhemko tu umekuchukua.

Nimekwambia wataje hao wake zake wote, sijakubishia kuwa mtume kaoa zaidi ya wanne. Naona mhemko wako kutaka kuonesha kuwa mtume kaoa katoto. Najua unataka kwenda huko lakini wacha tu nikufunze na hilo kabisa. Kwanza unatakiwa ufahamu kuwa watu wa enzi izo sio dwarfs kama tulivo sasa ivi. Vile vile walikuwa na lishe ya uhakika sio vyakula vya makopo kama sasa. Aliekwambia legal age to marry a women is 18 ni nani? Hebu nioneshe kwenye Biblia, kwa sababu Bikra maria Kapewa mimba na roho takatifu akiwa kati ya age 12-14 years, sasa wewe 18 years aliekwambia kama ndio age ya ukubwa ni nani? Ushawahi kuona mtoto anapata mimba? Mtoto hapati mimba akipata mimba huyo sio mtoto. Puberty inaanza kuanzia miaka 9 kuna wengine wanaanza miaka 6.


Unauliza ipi ilikuwa logic Muhammad. s.a.w kuruhusiwa kuoa wake wengi, Tena hujasoma post, ulikuwa na mhemko tu wa kutaka kuyaongea ya bibi Aisha r.a 😀 As a prophet kuna vitu ameruhusiwa kufanya ambavyo sisi haturuhusiwi kufanya. Vile vile Mtume hakuoa kwa maana ya starehe ya kuoa, ukiwatizama wake za mtume kuna mmoja alikuwa kizee Umm Salama, alichokuwa akifanya ni kuwaoa either kuwatoa utumwani au kuwapa stara na kuwafundisha waislam ni aina gani ya mwanamke unaeweza kumuoa, mfano mjane au mfungwa.
 
Nimekujibu lakini hukuwa tayari kuona majibu yake. Nilikuuliza Mungu kwa kiarabu anaitwa nani? hukujibu.

Allah/God ni general name of the creator. Sasa ikiwa alikuwa kafiri na anaabudu masanamu akamwita mwanae Abdallah (mja wa mungu) basi alikusudia mungu huyo anaemuabudu ikiwa sanamu ikiwa aliekuwa haonekani. Yeye aliamini kuwa sanamu ni mungu, lakini sanamu sio mungu, ni sanamu.

Umeuliza style iliyotumika kumuabudu mungu wakati huo kabla ya mtume s.a.w - sipendi kupoteza mda wangu kwa mtu ambae hasomi majibu, nimekwambia kuwa kabla ya kuja mtume, wakati huo ulitakiwa kuamini kuwa kuna mungu 1 tu na haonekani yupo uko alipokuwepo, hio ilitosha. Halafu unasema hujajibiwa swali. Kazi ipo.

Waislam wa kipindi cha kati baina ya Issa a.s na Muhammad s.a.w walikuwa hawana kitabu, ila yule ambae umemfikia ujumbe wa uwepo wa Mungu mmoja alieumba mbingu na ardhi na hafanani chochote basi alitakiwa AAMINI TU. Hakukuwa na sala wala funga, hili nimelisema kwenye post yangu. Lakini hukuja na hoja ni mhemko tu umekuchukua.

Nimekwambia wataje hao wake zake wote, sijakubishia kuwa mtume kaoa zaidi ya wanne. Naona mhemko wako kutaka kuonesha kuwa mtume kaoa katoto. Najua unataka kwenda huko lakini wacha tu nikufunze na hilo kabisa. Kwanza unatakiwa ufahamu kuwa watu wa enzi izo sio dwarfs kama tulivo sasa ivi. Vile vile walikuwa na lishe ya uhakika sio vyakula vya makopo kama sasa. Aliekwambia legal age to marry a women is 18 ni nani? Hebu nioneshe kwenye Biblia, kwa sababu Bikra maria Kapewa mimba na roho takatifu akiwa kati ya age 12-14 years, sasa wewe 18 years aliekwambia kama ndio age ya ukubwa ni nani? Ushawahi kuona mtoto anapata mimba? Mtoto hapati mimba akipata mimba huyo sio mtoto. Puberty inaanza kuanzia miaka 9 kuna wengine wanaanza miaka 6.


Unauliza ipi ilikuwa logic Muhammad. s.a.w kuruhusiwa kuoa wake wengi, Tena hujasoma post, ulikuwa na mhemko tu wa kutaka kuyaongea ya bibi Aisha r.a 😀 As a prophet kuna vitu ameruhusiwa kufanya ambavyo sisi haturuhusiwi kufanya. Vile vile Mtume hakuoa kwa maana ya starehe ya kuoa, ukiwatizama wake za mtume kuna mmoja alikuwa kizee Umm Salama, alichokuwa akifanya ni kuwaoa either kuwatoa utumwani au kuwapa stara na kuwafundisha waislam ni aina gani ya mwanamke unaeweza kumuoa, mfano mjane au mfungwa.

kwahiyo tukubaliane jina la Allah ambalo maana yake ni Mungu lilianza kutumika kabla ya muhamad hajazaliwa hivyo basi kuna masanam yalikua yanaitwa allah..... sawasawa nashkuru kwa darsa, je ninani alikua mtu wa kwanza kumwambia muhammad kua ni mtume?
na iweje quran ifanane na biblia katika mambo mengi then wachakachue kidogo na kuweka yao, kwa mfano historia ya yesu ambae mnamwita issa hadi mama yake nae mmemwita mariam, pamoja na historia zingine......je tukisema kama quran ni copy and paste kutoka kwenye biblia mtakataa?
pia naomba unisaidie nini kilikua chanzo cha maradhi yaliyo muua muhammad?
 
kwahiyo tukubaliane jina la Allah ambalo maana yake ni Mungu lilianza kutumika kabla ya muhamad hajazaliwa hivyo basi kuna masanam yalikua yanaitwa allah..... sawasawa nashkuru kwa darsa, je ninani alikua mtu wa kwanza kumwambia muhammad kua ni mtume?
na iweje quran ifanane na biblia katika mambo mengi then wachakachue kidogo na kuweka yao, kwa mfano historia ya yesu ambae mnamwita issa hadi mama yake nae mmemwita mariam, pamoja na historia zingine......je tukisema kama quran ni copy and paste kutoka kwenye biblia mtakataa?
pia naomba unisaidie nini kilikua chanzo cha maradhi yaliyo muua muhammad?
Jina la Allah, lilianza kutumika tangia Adam na Hawa/eve. Likiwa na maana ya Mungu. Hivi we jiulize Ng'ombe ni Mungu? au tuanze kwa kutafsiri neno MUNGU?

Baadhi ya Mambo tu ndio yanafanana lakini sio yote. Kwani kuna muislam anabisha hili? hebu ajitokeze leo nimuone. Na unajua kwanini inafanana na Injili na taurat na Zaburi? Kwa sababu vitabu vyote hivi vilishushwa na Mungu mmoja. Lakini tatizo lililotokea, hivi vitabu vya nyuma kuanzwa kutiwa mkono, watu kuchagua lipi la kuweka na lipi la kutoa, wakieka vikao kabisa wakijadiliana. Quran ilikuja kuwafumbua watu na kuwapa tahadhari ya kuwa hizo zinazoitwa biblia watu wamezichakachua.

Nini chanzo cha maradhi ya mtume. Kwanza ujue kuwa Mtume s.a.w ni binaadamu kama sisi, anaumwa kama sisi na anakufa kama sisi na atahukumiwa kama sisi. Mtume alikuwa akiumwa na homa, ambayo ilipelekea kifo chake. Kuna watu ambao wanadai kuwa eti alipewa sumu. Sumu hio alipewa miaka mitatu nyuma kabla ya kifo chake, sasa sijui sumu ya aina gani. Wengine wanasema eti alirogwa, vichekesho hivi. Mtume aliletwa kwa lengo la kuwapa watu nuru, na alivomaliza kazi yake, na muda wake wa kuishi ukawa umekwisha. Natural death.
 
chakuongezea hapo mkuu ni kwamba quran na biblia ni twin sisters books za wazee wa kiarabu na iyahudi na ndio maana karibia kila kitu kinafanana ingawa tofauti ipo kwenye lugha tu, stori zote ni za kina ibrahim, musa daud, selemani, yusuph, ayubu na wengineo pia yesu nae akaitwa issa, halafu mwishoe waka top up na kumuweka muhamad kua nabii wa mwisho kisha waka mlink up na ishmael mtoto wa hajar na ibrahim, huku isaka ambae ni baba yake na yakobo ndio ukatengenezwa uyahudi na ukiristo kupita kwake......hayo yote waliyatengeneza ili watutawale kifikra na ndio maana leo gwajima ni tajiri sana ye anawapa watu maneno ya kusadikika na kuwaahidi kua atawafikisha mbinguni huku yeye anamiliki hadi ndege na magari ya kifahari......hakuna utumwa mbaya kama wa kifikra, leo huko ikwirir wanatusumbua kwasababu ya hizo iman mbaya za kupandikizwa na watu wa kuja......amka mtu mweui chukua hatua.....


Mimi ndiyo nimeachana na huo upoyoyo, upuuzi na ujinga pia utapeli wa wazungu koko na warabu pori kuhusu dini.


Wakafundishe vilaza huko na kuwaibia sadaka na michango.


Mfano, Boko Haram pale Nigeria ikawa inasema maana ya neno Boko Haram ni "western education is evil" Ila , ao hao Bado wanatumia silaha, vifaa na hadi dollar na Euro katika maisha yao ya kila siku bila kuelewa kuwa western education ndiyo imeleta hivyo vitu wanavyovitumia Ila wao wanapiga Kwa mwamvuli uo huo wa hizi dini uchwara hizi za kigeni.

Wote mfano, Kakobe alichukua 14B za kanisa akakimbilia USA kesi hadi mahakamani kanisa likashindwa maana serikali haiamui kesi za sadaka.

Wengine kiingilio, na kufanyiwa maombi unalipia,
Then, RC church , hela zote zinaenda Vatican city kisha Papa, anaamua matumizi na mgao kidogo Kwa nchi anazotaka kuzipatia mgao Ila huku waumini wanakufa njaaa , magonjwa na umasikini. Pumba.fu sana hizi dini.

Islam, ndiyo imeenda mbali zaidi hadi kufundisha watu wake kuhusu kujitoa mhanga, kuua watu wengine wasio kuwa na hatia kabisa pathetic religion.

Baada ya hapo, dini zote zimejenga matabaka kwenye jamii na chuki.

I was born free, I'm free and I must live free from any obstacles including religions.

Yaani, I will never ever be a member of any of the crazy religions.
 
Jina la Allah, lilianza kutumika tangia Adam na Hawa/eve. Likiwa na maana ya Mungu. Hivi we jiulize Ng'ombe ni Mungu? au tuanze kwa kutafsiri neno MUNGU?

Baadhi ya Mambo tu ndio yanafanana lakini sio yote. Kwani kuna muislam anabisha hili? hebu ajitokeze leo nimuone. Na unajua kwanini inafanana na Injili na taurat na Zaburi? Kwa sababu vitabu vyote hivi vilishushwa na Mungu mmoja. Lakini tatizo lililotokea, hivi vitabu vya nyuma kuanzwa kutiwa mkono, watu kuchagua lipi la kuweka na lipi la kutoa, wakieka vikao kabisa wakijadiliana. Quran ilikuja kuwafumbua watu na kuwapa tahadhari ya kuwa hizo zinazoitwa biblia watu wamezichakachua.

Nini chanzo cha maradhi ya mtume. Kwanza ujue kuwa Mtume s.a.w ni binaadamu kama sisi, anaumwa kama sisi na anakufa kama sisi na atahukumiwa kama sisi. Mtume alikuwa akiumwa na homa, ambayo ilipelekea kifo chake. Kuna watu ambao wanadai kuwa eti alipewa sumu. Sumu hio alipewa miaka mitatu nyuma kabla ya kifo chake, sasa sijui sumu ya aina gani. Wengine wanasema eti alirogwa, vichekesho hivi. Mtume aliletwa kwa lengo la kuwapa watu nuru, na alivomaliza kazi yake, na muda wake wa kuishi ukawa umekwisha. Natural death.

kwahiyo hujui nini chanzo cha ugonjwa wake ila unadhani tu? naamini kwa nabii mkubwa na kipenzi cha allah ambae hakika hata allah na malaika wake huwa wanamtakia rehema na kuwaomba waislam wote wamtakie rehema mtume huyo, inakuaje historia ya maradhi yake inakua na ukakasi na bado waislam wanaendelea kudhanidhani ntu kama unavyonielimisha wewe?

pia unasema kua vitabu vya zamani vilishushwa na Mungu hapo bado kuna ukakasi Mungu yupi? na vilishushwaje?

kama quran ndio ilikuja kuwafumbua watu je unataka kuniaminisha kua kitabu hicho ni perfect na hakina ukakasi wowote? iweje kwenye ile aya ya man yutwiu llah wala rasulla fakad fadha faudhwali adhima, yaaani atakae mtii allh na mtume wake anafuzu na kufuzu kuliko tukuka ila wale ndugu zenu shia wanasema aya hiyo haikuishia hapo kwakua mbeleni imemtaja pia wa sayyidina ally ambae alikua ni mpwa wa mtume na pia ndie aliekua mume wa mtoto wa mtume bi fatma na pia alikua baba wa mapacha wawili ambao walikua ni hassani na hussein? nipe darsa unitoe tongotongo zilizonijaa machoni mwangu
 
Jina la Allah, lilianza kutumika tangia Adam na Hawa/eve. Likiwa na maana ya Mungu. Hivi we jiulize Ng'ombe ni Mungu? au tuanze kwa kutafsiri neno MUNGU?

Baadhi ya Mambo tu ndio yanafanana lakini sio yote. Kwani kuna muislam anabisha hili? hebu ajitokeze leo nimuone. Na unajua kwanini inafanana na Injili na taurat na Zaburi? Kwa sababu vitabu vyote hivi vilishushwa na Mungu mmoja. Lakini tatizo lililotokea, hivi vitabu vya nyuma kuanzwa kutiwa mkono, watu kuchagua lipi la kuweka na lipi la kutoa, wakieka vikao kabisa wakijadiliana. Quran ilikuja kuwafumbua watu na kuwapa tahadhari ya kuwa hizo zinazoitwa biblia watu wamezichakachua.

Nini chanzo cha maradhi ya mtume. Kwanza ujue kuwa Mtume s.a.w ni binaadamu kama sisi, anaumwa kama sisi na anakufa kama sisi na atahukumiwa kama sisi. Mtume alikuwa akiumwa na homa, ambayo ilipelekea kifo chake. Kuna watu ambao wanadai kuwa eti alipewa sumu. Sumu hio alipewa miaka mitatu nyuma kabla ya kifo chake, sasa sijui sumu ya aina gani. Wengine wanasema eti alirogwa, vichekesho hivi. Mtume aliletwa kwa lengo la kuwapa watu nuru, na alivomaliza kazi yake, na muda wake wa kuishi ukawa umekwisha. Natural death.


Nawe aliyekuambia Allah ni Mungu ni nani!?

Sote tunasoma vitabu viameandikwa na watu wao wanadai Allah alivishusha.


Kwa nini siku hizi za Leo hashushi vitabu au maneno mengine au alikuwa anapenda sana watu wa kale kuliko hawa watu wa Leo hii hadi hao wa kale akawa anawashushia vitabu bure!?

Hizo ni imani tu za watu, mfano, ng'ombe wenzio wanajua ndiye Mungu na hiyo pia ni imani yao.

Kama ukiuliza hivi ng'ombe ni Mungu then, Nami naweza nikakuuliza hivi ,makaratasi ni neno la Mungu /Allah au maneno ya kwenye makaratasi ni maagizo ya Allah !?

All these so called religions its the projects of people to plunder financial resources from foolish and poor people.

Mfano, najua Utasema kuwa Islam na Allah, hamchukui hela za watu Ila siyo kweli kwani vitabu vya mafundisho, Quran na. Cds za mawaidha, zinauzwa na binadamu wa kawaida kabisa vibaka na wahuni tu.

Any way, acha Wajinga wazidi kuibiwa, na wapuuzi wengine hadi kujitoa mhanga Kwa ajili ya wasela wawili mmoja Eti Mungu mwingine eti Allah.

Pumba.fu sana ninyi wote watatu. .
 
kwahiyo hujui nini chanzo cha ugonjwa wake ila unadhani tu? naamini kwa nabii mkubwa na kipenzi cha allah ambae hakika hata allah na malaika wake huwa wanamtakia rehema na kuwaomba waislam wote wamtakie rehema mtume huyo, inakuaje historia ya maradhi yake inakua na ukakasi na bado waislam wanaendelea kudhanidhani ntu kama unavyonielimisha wewe?

pia unasema kua vitabu vya zamani vilishushwa na Mungu hapo bado kuna ukakasi Mungu yupi? na vilishushwaje?

kama quran ndio ilikuja kuwafumbua watu je unataka kuniaminisha kua kitabu hicho ni perfect na hakina ukakasi wowote? iweje kwenye ile aya ya man yutwiu llah wala rasulla fakad fadha faudhwali adhima, yaaani atakae mtii allh na mtume wake anafuzu na kufuzu kuliko tukuka ila wale ndugu zenu shia wanasema aya hiyo haikuishia hapo kwakua mbeleni imemtaja pia wa sayyidina ally ambae alikua ni mpwa wa mtume na pia ndie aliekua mume wa mtoto wa mtume bi fatma na pia alikua baba wa mapacha wawili ambao walikua ni hassani na hussein? nipe darsa unitoe tongotongo zilizonijaa machoni mwangu
Nimesema amepatwa na Homa. Na kwanini watu wasidhani, naona utakuja kuniuliza rangi ya nguo yake ya ndani alofia ilikuwa ipi 😀 Inajulikana na inakubalika kwa maimamu wote kuwa kama ilivokuwa kwa binaadam wa kawaida basi nae vile vile angefariki, na amefariki akiwa na homa.

Je hao mashia wanao msahafu wao? watuoneshe basi 😀 Maana hao hao mashia ndani ya misikiti yao wanaisoma Qur-an kama inavyosomwa kwenye misikiti ya masunni.
 
Nawe aliyekuambia Allah ni Mungu ni nani!?

Sote tunasoma vitabu viameandikwa na watu wao wanadai Allah alivishusha.


Kwa nini siku hizi za Leo hashushi vitabu au maneno mengine au alikuwa anapenda sana watu wa kale kuliko hawa watu wa Leo hii hadi hao wa kale akawa anawashushia vitabu bure!?

Hizo ni imani tu za watu, mfano, ng'ombe wenzio wanajua ndiye Mungu na hiyo pia ni imani yao.

Kama ukiuliza hivi ng'ombe ni Mungu then, Nami naweza nikakuuliza hivi ,makaratasi ni neno la Mungu /Allah au maneno ya kwenye makaratasi ni maagizo ya Allah !?

All these so called religions its the projects of people to plunder financial resources from foolish and poor people.

Mfano, najua Utasema kuwa Islam na Allah, hamchukui hela za watu Ila siyo kweli kwani vitabu vya mafundisho, Quran na. Cds za mawaidha, zinauzwa na binadamu wa kawaida kabisa vibaka na wahuni tu.

Any way, acha Wajinga wazidi kuibiwa, na wapuuzi wengine hadi kujitoa mhanga Kwa ajili ya wasela wawili mmoja Eti Mungu mwingine eti Allah.

Pumba.fu sana ninyi wote watatu. .
Naona unataka na wewe upewe attention. Ujumbe umekamilika hakuna haja tena ya kushushiwa vitabu.

Halafu naona unataka kufurahisha barza. Ukienda misikitini Misahafu imejaa tele, hakuna anekuchaji kuazima msahafu ukasoma. Siku za ijumaa kuna khutbah kabla ya swala, bureeeee, siku izi za ramadhani baada ya Ishaa wengine wanaeka darsa bureeeeeeee. Lakini hata hivo vinavolipiwa, kumbuka, karatasi hapati bure, anapopeleka kitabu chake kichapishwe hachapishiwi bure sasa asipopata hizo pesa kwa kukuuzia wewe kitabu atachapishaje kiwafikie wengi. Saa nyengine shughulisheni akili zenu basi eeee! Si lazima uoneshe ujinga wako. Unalipa kodi, na kupitia pesa hio ya kodi ndio serikali ikapata kuzalisha umeme na kuleta maendeleo, lakini bado unanunua UNIT kupata umeme wakati ulichangia ujenzi wa Tanesco, lakini na katika hizo unit bado unakatwa kodi na service charge juu.
 
Naona unataka na wewe upewe attention. Ujumbe umekamilika hakuna haja tena ya kushushiwa vitabu.

Halafu naona unataka kufurahisha barza. Ukienda misikitini Misahafu imejaa tele, hakuna anekuchaji kuazima msahafu ukasoma. Siku za ijumaa kuna khutbah kabla ya swala, bureeeee, siku izi za ramadhani baada ya Ishaa wengine wanaeka darsa bureeeeeeee. Lakini hata hivo vinavolipiwa, kumbuka, karatasi hapati bure, anapopeleka kitabu chake kichapishwe hachapishiwi bure sasa asipopata hizo pesa kwa kukuuzia wewe kitabu atachapishaje kiwafikie wengi. Saa nyengine shughulisheni akili zenu basi eeee! Si lazima uoneshe ujinga wako. Unalipa kodi, na kupitia pesa hio ya kodi ndio serikali ikapata kuzalisha umeme na kuleta maendeleo, lakini bado unanunua UNIT kupata umeme wakati ulichangia ujenzi wa Tanesco, lakini na katika hizo unit bado unakatwa kodi na service charge juu.


Aaaah,

Kumbe unadhania copyright ya hizo docs ni yako wewe!?

Sitaki kupatiana hela zangu Kwa wapuuzi na makanjanja Kwa sababu za dini uchwara hizi za kigeni.
 
Nimesema amepatwa na Homa. Na kwanini watu wasidhani, naona utakuja kuniuliza rangi ya nguo yake ya ndani alofia ilikuwa ipi 😀 Inajulikana na inakubalika kwa maimamu wote kuwa kama ilivokuwa kwa binaadam wa kawaida basi nae vile vile angefariki, na amefariki akiwa na homa.

Je hao mashia wanao msahafu wao? watuoneshe basi 😀 Maana hao hao mashia ndani ya misikiti yao wanaisoma Qur-an kama inavyosomwa kwenye misikiti ya masunni.

hiyo homa haikutokana na sumu aliowekewa kwenye chakula na mmoja wa wake zake kutokana na wivu wa kimapenzi? unasema hujui kama shia msahafu wao una baadhi ya aya ambazo nyie masuni hamzisomi? habari ya ndoa za mutta vipi? yaani naweza enda tanga nikakutana na dem nikamuoa kwa muda nitakao kua huko then nikiondoka namuacha wenyewe wamotoa wapi? vipi kwenye adhana yao hua hawamtaji na kushuhudia kua ally ni walii wa allah?
 
Back
Top Bottom