Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
23,284
Reaction score
33,881
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

1783831202088.png
1783832294599.png


"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
 
Mzee acha upumbavu wa udini.
Ponjoro,
Haya uliyosema ungeweza kuyasema bila kunitukana.

Kuandika historia hii ya matukio katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ni udini?

Kinyume chake ukifuta historia hii ndiyo hakuna udini?
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Hana legacy yoyote zaidi ya mtaa wa Sykes kupewa jina lake. Dunia nzima inajua kuwa Julius Nyerere ndie aliongoza mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika.
 
Hana legacy yoyote zaidi ya mtaa wa Sykes kupewa jina lake. Dunia nzima inajua kuwa Julius Nyerere ndie aliongoza mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika.
Idungunde,
Hakika Mwalimu ndiye aliyekuwa kinara na jemedari wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hili halina shaka.

Naamini hujui Nyerere aliingiaje katika uongozi wa TAA.

Kisa chake kinaanza nyumbani kwa Hamza Mwapachu, Nansio, Ukerewe katika mazungumzo ya siri ya watu watatu: Abdulwahid Sykes, Ali Mwinyi Tambwe na mwenyeji wao Hamza Mwapachu.

Unaijua historia hii?
Ikiwa huijui sema nikueleze.
 
Ponjoro,
Haya uliyosema ungeweza kuyasema bila kunitukana.

Kuandika historia hii ya matukio katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika ni udini?

Kinyume chake ukafuta historia hii ndiyo hakuna udini?
Uislamu unahusikaje kwenye uhuru? Kwani kusema mwalimu nyerere alisaidiwa na Bibi Titi, Mzee Sykes nk haitoshi hadi umention dini? Huo ni upumbavu na wewe ni mpumbavu kama Samia na Chande.
 
Uislamu unahusikaje kwenye uhuru? Kwani kusema mwalimu nyerere alisaidiwa na Bibi Titi, Mzee Sykes nk haitoshi hadi umention dini? Huo ni upumbavu na wewe ni mpumbavu kama Samia na Chande.
Ponjoro...
Kwa kawaida ikiwa mtu ananitukana katika mjadala mimi humwepuka kwa kubakia kimya simjibu tena.

Katika mjadala hapaingii matusi ni hoja kwa hoja.

Nakujibu kwa kuwa umeuliza Uislamu unahusikaje na harakati za kupigania uhuru?

Harakati za kuunda African Association zilianza Dar es Salaam na waasisi wa chama hicho ni hawa wafuatao: Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Suleiman Majisu, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima.

Hawa ni Waislamu sita.

Waasisi wengine watatu ni hawa wafuatao: Cecil Matola, Rawkes Kusi na Rawson Watts.

Tujiulize kwa nini imekuwa hivi.
Historia hii ya African Association kaieleza Kleist Sykes katika mswada wa kitabu cha maisha yake alichoandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 na akaeleza kuwa Wakristo walikuwa wakionywa na viongozi wao wasishiriki katika siasa.

Uwanja wa siasa ukabakia kwa Waislamu peke yao.
 
Ponjoro...
Kwa kawaida ikiwa mtu ananitukana katika mjadala mimi humwepuka kwa kubakia kimya simjibu tena.

Katika mjadala hapaingii matusi ni hoja kwa hoja.

Nakujibu kwa kuwa umeuliza Uislamu unahusikaje na harakati za kupigania uhuru?

Harakati za kuunda African Association zilianza Dar es Salaam na waasisi wa chama hicho ni hawa wafuatao: Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Suleiman Majisu, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima.

Hawa ni Waislamu sita.

Waasisi wengine watatu ni hawa wafuatao: Cecil Matola, Rawkes Kusi na Rawson Watts.

Tujiulize kwa nini imekuwa hivi.
Historia hii ya African Association kaieleza Kleist Sykes katika mswada wa kitabu cha maisha yake alichoandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 na akaeleza kuwa Wakristo walikuwa wakionywa na viongozi wao wasishiriki katika siasa.

Uwanja wa siasa ukabakia kwa Waislamu peke yao.
We mzee acha uongo.
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Huko ndiko mahali pekee unaweza uza huo ujinga,kwa brainwashedi wenzio.
 
We mzee acha uongo.

We mzee acha uongo.
Kamanda...
Haya niandikayo hapa nimeyatoa katika Seminar Paper ya Daisy Sykes aliyowasilisha University of East Africa Dar es Salaam Campus akiwa mwanafunzi wa History and Education mwaka wa 1968.

Daisy anaeleza katika paper hiyo maisha ya babu yake Kleist Sykes (1894 - 1949).

Na Daisy hayo kayapata katika mswada wa kitabu cha maisha ya babu yake aliyoandika kabla hajafariki mwaka wa 1949.

Paper hii ipo Maktaba Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, East Africana.

Kleist Sykes hawezi kuandika uongo.
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Hiki kitabu kimeelezea kinagaubaga jinsi wazee wetu wa Gerezani walivyopigania uhuru wa Tanganyika?
 
Kwahiyo Nyerere hakudungwa hiyo sindano kabla ya safari kwenda UNO?
 
Idungunde,
Hakika Mwalimu ndiye aliyekuwa kinara na jemedari wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hili halina shaka.

Naamini hujui Nyerere aliingiaje katika uongozi wa TAA.

Kisa chake kinaanza nyumbani kwa Hamza Mwapachu, Nansio, Ukerewe katika mazungumzo ya siri ya watu watatu: Abdulwahid Sykes, Ali Mwinyi Tambwe na mwenyeji wao Hamza Mwapachu.

Unaijua historia hii?
Ikiwa huijui sema nikueleze.
Mzee saidi hebu nifunue kidogo hamza mwapachu huko nansio ukerewe alifata nini? Navojua ukoo wa mwapachu Hawa wapo Tanga mjini ni mwapachu mwengine ?
 
Hamna shaka Mzee Mohamed Said inaijua historia barabara. Kuna tatizo gani yeye kuielezea historia hiyo kwa mtazamo wa kiimani, ikiwa hapotoshi ukweli? Mtu yeyote anaruhusiwa kuiandika historia kwa mtazamo wowote ule, mradi asipotoshe.
 
Ponjoro...
Kwa kawaida ikiwa mtu ananitukana katika mjadala mimi humwepuka kwa kubakia kimya simjibu tena.

Katika mjadala hapaingii matusi ni hoja kwa hoja.

Nakujibu kwa kuwa umeuliza Uislamu unahusikaje na harakati za kupigania uhuru?

Harakati za kuunda African Association zilianza Dar es Salaam na waasisi wa chama hicho ni hawa wafuatao: Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Suleiman Majisu, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima.

Hawa ni Waislamu sita.

Waasisi wengine watatu ni hawa wafuatao: Cecil Matola, Rawkes Kusi na Rawson Watts.

Tujiulize kwa nini imekuwa hivi.
Historia hii ya African Association kaieleza Kleist Sykes katika mswada wa kitabu cha maisha yake alichoandika kabla ya kufariki mwaka wa 1949 na akaeleza kuwa Wakristo walikuwa wakionywa na viongozi wao wasishiriki katika siasa.

Uwanja wa siasa ukabakia kwa Waislamu peke yao.
Ndiyomaana nasema wewe ni TAAHIRA. Kwahiyo Samia alivyoua watu October 29 ni sawa kusema muislamu ndiyo ameua? Au abduli anavyoongoza vikundi vya ufiraji ndiyo tuseme waislamu ndiyo wanatabia hiyo? Au yule afande rama aliyefirwa zanzibar tumtambue kama muislamu na siyo kwa jina lake? Acha upumbavu wewe ni mtu mzima sasa.
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Naomba kuuliza!!

Je katika historia hao watu hawakutajwa kabsa? Maana Sykes tunamjua wote...

Je historia ilihitajika itambue watu kwa dini zao na kabila?

Naomba ufafanuzi.
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Mkuu naona umeamua kufanya tangazo la biashara kwa gharama nafuu.
 
Kwa kipindi kirefu kitabu cha Abdul Sykes kilikuwa hakipatikani kwa kuwa nakala zilikuwa zimekwisha (out of print).

Hiki ni kitu cha kawaida kwa kitabu kukosekana.

Kitabu cha Abdu Sykes ni kitabu kilichozingirwa na ubishani mkubwa toka mara ya kwanza kilipochapwa kwa Kiingereza mwaka wa 1998.

Sababu kubwa ya msuguano huu ni kuwa kitabu hiki kilieleza mchango wa Waislamu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Majibu yakaja nikashutumiwa kwa kile kilichoitwa udini na kuandika uongo na uchochezi na maneno mengi yakasemwa.

Hapa JF tukawa na mjadala uliochangiwa na watu karibu milioni moja na ukadumu kwa miezi sita bila kusimama hata siku moja mwandishi akikabiliana na watu wenye hamaki.

Hatimae mjadala ulifungwa na maisha yakaendelea.

Juma hili nikawatangazia jamaa hapa ukumbini kuwa kitabu cha Abdul Sykes kimeingia nchini na nikaeleza wapi kinapatikana.

Vita vikarejea upya haba jana nikishutumiwa kuwa kitabu hicho ni cha udini na kuwa kinauzwa misikitini.

Kila aliyenyanyua kalamu hicho ndicho kilichoelezwa.

Mimi niliwajibu kuwa kitabu hakiuzwi misikitini na nikaeleza maduka ambayo kitabu kinauzwa lakini hakuna aliyenisikia.

Nyimbo ikawa ni hiyo kitabu kinauzwa misikitini hili likisemwa kwa hamaki pamoja na maneno mengine yasiyopendeza.

Leo ssubuhi kwa bahati napita Maktaba nikakutana na picha ya kitabu cha Abdul Sykes picha niliyopiga kitabu kikiwa duka maarufu la vitabu Mtaa wa Samora - Mkuki na Nyota Bookshop.

Picha inazungumza maneno 1000.

Picha hiyo hapo chini ya kitabu cha Abdul Sykes kikiwa Mkuki na Nyota kinauzwa.

Naamini hili litamaliza mjadala na propaganda iliyokuwa ikienezwa dhidi yangu na kitabu changu:

View attachment 3627431View attachment 3627435

"Baada ya Iddi Faiz Mafungo kwenda Tanga kupokea fedha kutoka kwa Mwalimu Kihere fedha za safari ya Julius Nyerere kwenda UNO zikawa zimekamilika.

Iddi Faiz yeye alikuwa Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika na pia Mweka Hazina wa TANU na ndiye aliyekuwa akikusanya michango ya safari ya Nyerere UNO.

Bwana Abdul akaniambia, "Abbas safari ya Nyerere UNO imewiva na atahitaji kudungwa sindano ya chanjo kwa ajili ya safari.

Mimi hawa Waingereza siwaamini hata kidogo kwa hiyo hakikisha kuwa hadungwi sindano lakini tupate cheti kuwa kapigwa sindano kwa ajili ya safari.

Hili jambo ni siri yetu sisi watu watatu mimi, wewe na Nyerere mtu yeyote asijue."
(Mazungumzo na Abbas Sykes miaka mingi kupita baada ya kitabu kuchapwa)
Abbas Sykes alizuiaje Mwl Nyerere kudungwa hiyo Sindano ?
 
Idungunde,
Hakika Mwalimu ndiye aliyekuwa kinara na jemedari wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hili halina shaka.

Naamini hujui Nyerere aliingiaje katika uongozi wa TAA.

Kisa chake kinaanza nyumbani kwa Hamza Mwapachu, Nansio, Ukerewe katika mazungumzo ya siri ya watu watatu: Abdulwahid Sykes, Ali Mwinyi Tambwe na mwenyeji wao Hamza Mwapachu.

Unaijua historia hii?
Ikiwa huijui sema nikueleze.
Mzee Mohamed Said..

Huyu Ali Mwinyi Tambwe Kuna mahali nilisoma alikuwa askari wa Siri wa Uingereza (Spy), vipi ahusike tena kumuingiza Nyerere ndani ya TAA?..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom