Hizo riwaya za fiction, visasili na visakale tushazitunga sana. Ni wewe tuu uko limited.
Kula chuma;
Na siku itakapokaribia ahadi ya mwisho, mbingu zitafunuliwa kwa amri ya Mola wao, na nyota zitatoweka, na ardhi itatetemeka kwa kutikisika kwake; hapo kila nafsi itakumbuka yale iliyoyatanguliza na yale iliyoyaacha nyuma, na hakuna jambo litakalofichika mbele ya Mjuzi wa yaliyo wazi na yaliyofichika. Basi mwenye kutenda mema atapata rehema na amani, na mwenye kupuuza haki atajua kuwa ahadi ya Mola wake ni ya kweli; na kwake tu ndiko marejeo ya viumbe wote.