Nimegundua una akili ndogo sana wewe kama chawa mbobevu
Nyinyi kwenu ile ndio Akili kubwa kumuomba YESU YESU ALELUYAAAAA YESU
Sasa kasaidia nini kama sio Mikelele tu Mahakamani
Kila hakija Mahakamani YESU YESU Aleluyaaaaa Ameeeennn YESU
Kwani pale Mahakamani hakuna Washitakiwa wengine mbona wanapambana kimyaa kimya
Badala kumbebesha Zigo uyo YESU wenu gumu
Mwisho nikama mnamdhalilisha tu kupitia Jina lake
Sheria na miujiza wapi
na wapi kama sio Utapeli na kusumbua watu na Mikelele
Mbona Waislamu hawana Utumbo utumbo kama ule????
Kila Kesi ikija YESU YESU
Kila Mshitakiwa pale nayeye aje na Madada zake waangushe Mikelele itakuwaje
Kwanini Mikelele isiwe uko Makanisani kwenu✅️
Tuseme siku iwe tofauti sasa Lissu kaachiwa
Manake washitakiwa wangine wataamini kwenye YESU na Mikelele pale Mahakamani ndio imesaidia
Sio Vipengele vya Sheria¿¿¿¿
Washitakiwa watajazana na Wana maombi pale
Mahakamani
Badala kulipa Wakili🫡 Suluhu ni kutafuta Wana maombi tu🫎🫎👈
kumbe ipo njia ya mkato‼️ kukwepa tuhuma zako kwa kutumia jina la YESU YESU Aleluyaaaaa
Ule ni Ushamba na Uzwazwa wa Kikristo mbele ya Mahakama
Na ni kumdhalilisha YESU mwenyewe kumtaka afanye miujiza‼️
Lini kawai kufanya miujiza ya Kisheria
Mnatumia jina lake kama
kondomu popote YESU Aleluyaaaaa YESU
Wale Majaji wengi ni Wakristo wanachukizwa kutumia jila YESU kwenye misingi ya Kisheria 👈
Kama miujiza ipo kwanini mikiumwa mnajazana mahospitalini si mkajazane kwa YESU Makanisani mupate miujiza mwende makwenu✅️
Yule Dada hachoki kujidhalilisha mwenyewe na jina la YESU
Kuna rafiki zangu Cristian wengi wanachukizwa na Yule
Dadake Lissu ❌️
Mnamtumia YESU vibaya
Kwani kule Lupango hakuna wafungwa wa Kikristo uyo YESU hakuwaona wale kabla ya kufungwa kwao‼️
Uyo Lissu mbele ya YESU ananini cha ziada ¿¿¿
mwisho Lissu anarudi Lupango
YESU kadhalilika waliofumba Macho kupokea maombi wanajionaje vile 🫎😥
watu wamechoka kufumbishwa Macho kindezi ndezi!👈
Kusema wanashindwa tu.
Mwambieni uyo Dada
Kama kumuomba YESU Aleluyaaaaa sawa✅️
lkn si hamuombe kimya kimya Moyoni
mwake au YESU kiziwi mpaka wapige Mikelele ndio anasikia🫡🫡