I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 1,693
- 2,975
Hahah.. Big point.Kila muislam anamchukia anamlaani sana ,ni miaka sasa jamaa anawapasua tu kwanini msimsomee afe aache kuwatesa Waislamu wenzenu
USSR
Hahah.. Big point.Kila muislam anamchukia anamlaani sana ,ni miaka sasa jamaa anawapasua tu kwanini msimsomee afe aache kuwatesa Waislamu wenzenu
USSR
Ebu tunga wewe aya moja inayohusu mambo ya mbinguni.😄😄😆😁😆
Kwako kumbe kutunga simulizi ni kaI ngumu eeh!
Mwisho wa dunia ni lini?😆😆
Embu acha zako bhana!
Angesema kwamba mwaka fulani kutakuwa na moja mbili Tatu. Tungesema yeah huyu katumwa na Mungu.
Lakini sio kauli za jumla kama ile kauli ya Yesu anasema siku za mwisho maarifa yataongezeka.
Mwisho ni upi? Siku za mwisho ni lini?
Kuanzia mwaka gani tunaweza kuita siku za mwisho zimeanza?
Ikifika mwaka 3000 nao watasema siku za mwisho.
Kuhusu habari za mbinguni za kuzimu hata mimi naweza kutunga tena kwa kiwango cha ajabu kuliko za Quran na Biblia.
Mtunzi yeyote anaweza kufanya hivyo
Ebu tunga wewe aya moja inayohusu mambo ya mbinguni.
Kitendo cha Ayatollah Khamenei kuuawa ni ushindi mkubwa kwenye ulimwengu wa roho. Maana Ayatollah naye alikuwa amejipanga vizuri kiroho.
Acha uongo. Na yule shehe majini au Dk Sulle? Waagua majini.
Wewe unachanganya siasa, dini na Imani. Ujifunze kutofautisha. Mungu ni wa utaratibu.
Tatizo hata ukipewa mifano ya hayo maombi jinsi yalivyofanya kazi utakataa utasema hakuna uthibitisho, ndio maana mie naona watu kama nyie msioamini kabisa haileti maana kujiingiza kwenye mabishano kama haya.Prayer doesn't work.
Ndio maana hata hizi Novena na Al Badir ni tricks za kutisha watu tu.
Hazina impact yoyote zaidi ya vitisho uchwara vya kisaikolojia tu!
Hahaha....na nguvu ya jeshi la Marekani inafanya kazi wapi?Albadiri inafanya kazi kwa wezi wa kuku tu
Jibu swaliUislam unakupa shida sana
Na hizo imani zengine tofauti na hizo vp?Kwa ujumla,Ukristo na uislam ni upumbavu
Ajabu unakuta hata wasioamini Mungu nao wamo humu wamejiingiza kwenye huo ubishani.Mada za kudhihaki na kutetea dini ndio zinafanya waafrika tuonekane weupe kichwani. Haya sasa tuamke tupiganie katiba mpya.
Kila muislam anamchukia anamlaani sana ,ni miaka sasa jamaa anawapasua tu kwanini msimsomee afe aache kuwatesa Waislamu wenzenu
USSR
Hakunaga kitu,Uislam ni ushetani amini usiamini.
Hiyo inafanya kaz kwa wez wa kuku,nazi viatu msikitini ila kwa mtu anaetumia manati ya kizungu,kombeo ya kizungu hadhuriki
Prayer doesn't work.
Ndio maana hata hizi Novena na Al Badir ni tricks za kutisha watu tu.
Hazina impact yoyote zaidi ya vitisho uchwara vya kisaikolojia tu!
Albadir(ahlul badri/waislam waliouawa vita vya badri enzi ya mtume) siyo prayer(sala/Dua) Bali ni uchawiPrayer doesn't work.
Ndio maana hata hizi Novena na Al Badir ni tricks za kutisha watu tu.
Hazina impact yoyote zaidi ya vitisho uchwara vya kisaikolojia tu!