Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

Ni maneno yake acha kuwa mjinga.

Kipi kinathibitisha sio maneno yake?

Wewe ukiandika kitabu sasa hivi ukasema ni kitabu cha mungu wako labda tumuite Isesye. Kama alivyofanya Muhammad kuita kitabu cha mungu wake Allah.

Utathibitishaje ni kitabu cha Mungu na sio kitabu cha utunzi?

Jadili kwa hoja
Lakini Muhamad hajaandika kitabu cha Qur'an, kitabu kiliandikwa miaka mingi baadaye baada ya kifo chake.

By the way Muhamad hakujuwa kusoma wala kuandika.
 
Na Dadake Lissu pale Mahakamani kutupigia mikelele ya YESU YESU YESU unaweza unaweza mbona hakuweza uyo YESU YESU mbona Mwisho Kakake karudi Lupango kusafisha vyooo
vya KEKO

twambie kwaniniYESUYESU hakutaka kufanya miujiza ili Lissu aponyoke KEKO???
Anzisha uzi kuhusu hilo lakini hapa tunanxungumzia albadiri na utapeli wake
 
Ni maneno yake acha kuwa mjinga.

Kipi kinathibitisha sio maneno yake?

Wewe ukiandika kitabu sasa hivi ukasema ni kitabu cha mungu wako labda tumuite Isesye. Kama alivyofanya Muhammad kuita kitabu cha mungu wake Allah.

Utathibitishaje ni kitabu cha Mungu na sio kitabu cha utunzi?

Jadili kwa hoja
Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika unajua hilo.?
 
Labda netanyahu nae yupo vuzri, Mimi hua nawasema MAKOBAZ ila kwa upande huo wa visomo na kuchoma dawa na mitishamba ! Oyaa?! 🙌🙌 Wape heshima Yao.
 
Kila muislam anamchukia anamlaani sana ,ni miaka sasa jamaa anawapasua tu kwanini msimsomee afe aache kuwatesa Waislamu wenzenu

USSR
Anayepigana na Nchi za Kiarabu ni Marekani na wala sio Isarael!
Israel ipo pale kwa sababu kituo kikubwa kabisa cha kijeshi cha Marekani kipo pale. Hivyo Marekani ikipiga Nchi Netanyahu kwa ujinga wake anafikiri ni sifa kusema ni yeye amepiga kumbe Marekani ilimuona hamnazo kwa kukubali vita zote za Marekani upande wa Middle East ziendeshwe Nchi kwake na sio Marekani.

Lakini pia hakuna cha Ajabu kwani; Lile eneo la Israel, ni Marekani iliwazawadia mamluki wa kivita walio Isaidia Marekani wakati wa vita kuu ya pili mwaka 1945. Inamaana kabla ya mwaka 1945 hapakuwa na Nchi inayoitwa Israel na ndio sababu hata ukiangalia ramani za kale za Biblia zinataja Nchi ya Palestina kwenye lile eneo. Mtu anayebisha, alete ramani yoyote ya kwenye Biblia iliyo onesha Nchi au eneo linaloitwa Israel!
 
Na Dadake Lissu pale Mahakamani kutupigia mikelele ya YESU YESU YESU unaweza unaweza mbona hakuweza uyo YESU YESU mbona Mwisho Kakake karudi Lupango kusafisha vyooo
vya KEKO

twambie kwaniniYESUYESU hakutaka kufanya miujiza ili Lissu aponyoke KEKO???
Tumia akili. Kwa hivyo kutaja Yesu ndio Nini?.
 
Anayepigana na Nchi za Kiarabu ni Marekani
Israel ipo pale tu kama boya kwa sababu kituo kikubwa kabisa cha kijeshi cha marekani kipo pale. Hivyo marekani ikipiga Nchi Netanyahu kwa ujinga wake anafikiri ni sifa kumbe alionekana hamnazo kwa kukubali vita zote za marekani ziendeshwe Nchi pake.
Lakini pia hakuna cha Ajabu kwani; Lile eneo la Israel, ni marekani iliwapa mamluki wa kivita walio Isaidia marekani wakati wa vita kuu ya pili mwaka 1945. Inamaana kabla ya mwaka 1945 hapakuwa na Nchi inaitwa Israel na ndio sababu hata ukiangalia ramani za kale za biblia zinataja Nchi ya Palestina kwenye lile eneo.
Hakuna unalojua. Unaropoka tu. Kasome historia vizuri ya Israeli.
 
😀😀😀.mtu asiyejua kusoma na kuandika anawezaje kuwa mtunzi?

Mtunzi sio lazima ajue kuandika wala kusoma Yakhee!

Sisi waandishi tunaletewa kazi nyingi na watunzi, tunawaandikia kazi zao. Wao ndio watunzi.

Mwandishi anaweza kuwa mtunzi pia.

Hata Suleiyman hakuwa mwandishi ila aliandika vitabu vingi. Jiongeze

Au kitabu cha Mengi au Mkapa au Ali Hassan unafikiri walianzika wao? Ila wao ndio watunzi
 
Kwa nini ''mungu' Yesu asimuue kwanza Caiphas.Wayahudi Warumi na Shetani waliontundika msalabani baada ya kumshushia kipigo kikali?
El Porqueria imbecilic
Rudi huko nyuma ukaaulize. Unauliza jambo lililokwisha fanyika?
 
Mtunzi sio lazima ajue kuandika wala kusoma Yakhee!

Sisi waandishi tunaletewa kazi nyingi na watunzi, tunawaandikia kazi zao. Wao ndio watunzi.

Mwandishi anaweza kuwa mtunzi pia.

Hata Suleiyman hakuwa mwandishi ila aliandika vitabu vingi. Jiongeze

Au kitabu cha Mengi au Mkapa au Ali Hassan unafikiri walianzika wao? Ila wao ndio watunzi
Quran imeelezea Hadi habari za mbinguni na maisha ya mwisho wa Dunia kayatoa wapi hayo maneno?
 
Nyinyi kwenu ile ndio Akili kubwa kumuomba YESU YESU ALELUYAAAAA YESU

Sasa kasaidia nini kama sio Mikelele tu Mahakamani

Kila hakija Mahakamani YESU YESU Aleluyaaaaa Ameeeennn YESU

Kwani pale Mahakamani hakuna Washitakiwa wengine mbona wanapambana kimyaa kimya
Badala kumbebesha Zigo uyo YESU wenu gumu
Mwisho nikama mnamdhalilisha tu kupitia Jina lake

Sheria na miujiza wapi
na wapi kama sio Utapeli na kusumbua watu na Mikelele

Mbona Waislamu hawana Utumbo utumbo kama ule????

Kila Kesi ikija YESU YESU

Kila Mshitakiwa pale nayeye aje na Madada zake waangushe Mikelele itakuwaje

Kwanini Mikelele isiwe uko Makanisani kwenu✅️

Tuseme siku iwe tofauti sasa Lissu kaachiwa
Manake washitakiwa wangine wataamini kwenye YESU na Mikelele pale Mahakamani ndio imesaidia
Sio Vipengele vya Sheria¿¿¿¿

Washitakiwa watajazana na Wana maombi pale
Mahakamani
Badala kulipa Wakili🫡 Suluhu ni kutafuta Wana maombi tu🫎🫎👈

kumbe ipo njia ya mkato‼️ kukwepa tuhuma zako kwa kutumia jina la YESU YESU Aleluyaaaaa

Ule ni Ushamba na Uzwazwa wa Kikristo mbele ya Mahakama

Na ni kumdhalilisha YESU mwenyewe kumtaka afanye miujiza‼️

Lini kawai kufanya miujiza ya Kisheria
Mnatumia jina lake kama
kondomu popote YESU Aleluyaaaaa YESU

Wale Majaji wengi ni Wakristo wanachukizwa kutumia jila YESU kwenye misingi ya Kisheria 👈


Kama miujiza ipo kwanini mikiumwa mnajazana mahospitalini si mkajazane kwa YESU Makanisani mupate miujiza mwende makwenu✅️

Yule Dada hachoki kujidhalilisha mwenyewe na jina la YESU
Kuna rafiki zangu Cristian wengi wanachukizwa na Yule
Dadake Lissu ❌️

Mnamtumia YESU vibaya

Kwani kule Lupango hakuna wafungwa wa Kikristo uyo YESU hakuwaona wale kabla ya kufungwa kwao‼️

Uyo Lissu mbele ya YESU ananini cha ziada ¿¿¿



mwisho Lissu anarudi Lupango
YESU kadhalilika waliofumba Macho kupokea maombi wanajionaje vile 🫎😥

watu wamechoka kufumbishwa Macho kindezi ndezi!👈

Kusema wanashindwa tu.

Mwambieni uyo Dada
Kama kumuomba YESU Aleluyaaaaa sawa✅️

lkn si hamuombe kimya kimya Moyoni
mwake au YESU kiziwi mpaka wapige Mikelele ndio anasikia🫡🫡
Wewe unachanganya siasa, dini na Imani. Ujifunze kutofautisha. Mungu ni wa utaratibu.
 
Ukristo ndio umedhidi sn upumbavu
Tofauti na Waislam waislamu wapo kimyaa kimya
Kufanya mambo yao✍️

Huwezi sikia neno miujiza kuponya binadamu mlemavu kwenye kesi nk.

Yani wapo kimya

Tofauti na Wakristo wanajiaminisha
Sana kwamba miujiza
inawezekana🫡

kwaiyo bila aibu popote wanaomba miujiza miujiza itokee‼️‼️

mwisho wanapata aibu waombaji lkn hawakomi 🫡🫡

kesho tena wanaomba miujiza uyo Dadake Lissu tangu mwaka jana anaomba miujiza sio poa✍️
Acha uongo. Na yule shehe majini au Dk Sulle? Waagua majini.
 
Kitendo cha Ayatollah Khamenei kuuawa ni ushindi mkubwa kwenye ulimwengu wa roho. Maana Ayatollah naye alikuwa amejipanga vizuri kiroho.
 
Quran imeelezea Hadi habari za mbinguni na maisha ya mwisho wa Dunia kayatoa wapi hayo maneno?

😄😄😆😁😆

Kwako kumbe kutunga simulizi ni kaI ngumu eeh!

Mwisho wa dunia ni lini?😆😆
Embu acha zako bhana!

Angesema kwamba mwaka fulani kutakuwa na moja mbili Tatu. Tungesema yeah huyu katumwa na Mungu.

Lakini sio kauli za jumla kama ile kauli ya Yesu anasema siku za mwisho maarifa yataongezeka.

Mwisho ni upi? Siku za mwisho ni lini?
Kuanzia mwaka gani tunaweza kuita siku za mwisho zimeanza?

Ikifika mwaka 3000 nao watasema siku za mwisho.

Kuhusu habari za mbinguni za kuzimu hata mimi naweza kutunga tena kwa kiwango cha ajabu kuliko za Quran na Biblia.

Mtunzi yeyote anaweza kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom