Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

Kwaya ya Wasabato ya Kinyerezi ilikuwemo humo kwenye basi la Isamilo ikiyokea kwenye Makambi ya Pasisansi....Mshiriki aliyekuwa nao amenithitishia Wamefariki wamalwaya wawili sauti ya kwanza mmoja na sauti ya pili mmoja...majeruhi ni sita....Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi majeruhi...
1785684755258.png

1785684802386.png

1785689511437.png
 
So sad,nawaombea marehemu wapumzike kwa amani na majeruhi wapone haraka waungane na familia zao.
Madereve wetu kuweni makini barabarani mwaka 2016 niligombana na mmoja wa maderva tulikuwa tunatoka dar kwenda Mwanza,tumefika shinyanga dereva akawa anaendesha gari kwa spidi Kali sana nikamfata nikamgombeza vizuri alielewa Cha ajabu abiria wenzangu walikuwa wanaona kawaida tu ile spidi.Madereva badilikeni familia zanapata shida sana kuwapoteza wapendwa wao,tuwe makini.
 
So sad,nawaombea marehemu wapumzike kwa amani na majeruhi wapone haraka waungane na familia zao.
Madereve wetu kuweni makini barabarani mwaka 2016 niligombana na mmoja wa maderva tulikuwa tunatoka dar kwenda Mwanza,tumefika shinyanga dereva akawa anaendesha gari kwa spidi Kali sana nikamfata nikamgombeza vizuri alielewa Cha ajabu abiria wenzangu walikuwa wanaona kawaida tu ile spidi.Madereva badilikeni familia zanapata shida sana kuwapoteza wapendwa wao,tuwe makini.
Raia wengi wa Tanzania wana akili ndogo ndio maana hata wakiwa kwenye gari hawaoni tofauti ya mwendokasi wa hatari na speed ya kawaida, hawana habari kabisa na usalama wao safarini.
 
Ajali mbaya za basi la Isamilo linalofanya safari zake Mwanza-Dar kugongana uso kwa uso na basi la Libanika (Dar-Mwanza) iliyotokea alfajiri ya leo, kijiji cha Msembeta, kata ya Nala, wilaya ya Dodoma, mkoa wa Dodoma.

Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi

Chanzo cha ajali ikiwa ni mwendokasi wa basi la Isamilo (linatoka Mwanza kwenda Dar) , ku overtake lori kwenye mlima na likiwa kwenye kona kali, kulivamia basi la Libanika lililokuwa linatoka Dar kwenda Mwanza

Updates
=========================
Wamefariki watu 9 ikiwemo dereva, makondakta na abiria
Jumla ya majeruhi ni 66 na 9 kati yao wameripotiwa kuwa katika hali mbaya na wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma
==========================

View attachment 3641954
View attachment 3641874View attachment 3641875
View attachment 3641983
View attachment 3641876
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutaterejea.

R.I.P all🌹
 
Hao wote wamefanyishwa mitihani na kuthibitishwa huko LATRA na pia ku-renew leseni zao waliombwa vyeti vya taaluma ya udereva kutoka VETA.

Bila kusahau hayo mabasi yamekaguliwa polisi yana sticker ya Wiki ya nenda kwa usalama.

Uzembe unadhibitiwaje?
 
Back
Top Bottom