kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,435
- 4,997
Ni yeye ndo alikua anaendeshaNaam, toka Ally's EDW >> kisha Kisesa EDP >> kisha Isamilo EPX
Au alikua amepumzika ?
Ni yeye ndo alikua anaendeshaNaam, toka Ally's EDW >> kisha Kisesa EDP >> kisha Isamilo EPX
Ni wa hovyo sana sijui tatizo ni nini...Madereva wanaendesha kwa mazoea, hawachukui tahadhari kabisaa.
hapana, davoo #2 (gen z flani) ndiye alikuwa nyuma ya usukaniNi yeye ndo alikua anaendesha
Au alikua amepumzika ?
Madereva wa mabasi yote wachunguzwe,hiyo ajali inavyoonekana speed ilikuwa ni zaidi ya 80 km/h ambayo imependekezwa kwa mabasi,kufanyike uchunguzi wakina pia kwa mabasi mengine kuna kila uwezekano vidhibiti mwendo kuwa vimechezewa...Ajali mbaya za basi la Isamilo linalofanya safari zake Mwanza-Dar kugongana uso kwa uso na basi la Libanika (Dar-Mwanza) iliyotokea alfajiri ya leo, kijiji cha Msembeta, kata ya Nala, wilaya ya Dodoma, mkoa wa Dodoma.
Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi
Chanzo cha ajali ikiwa ni mwendokasi wa basi la Isamilo (linatoka Mwanza kwenda Dar) , ku overtake lori kwenye mlima na likiwa kwenye kona kali, kulivamia basi la Libanika lililokuwa linatoka Dar kwenda Mwanza
Updates 1
=========================
Wamefariki watu 9 ikiwemo dereva, makondakta na abiria
Jumla ya majeruhi ni 66 na 9 kati yao wameripotiwa kuwa katika hali mbaya na wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma
==========================
Updates 2
=========================
Dereva nambari 2 wa basi la Isamilo akamatwa na anashikiliwa na jeshi la polisi Dodoma
Ikumbukwe huyu dereva ndiye "aliyesababisha" ajali kisha kukimbia akiwa na majeraha
=========================
View attachment 3641954
View attachment 3641874View attachment 3641875
View attachment 3641983
View attachment 3641876
dereva Kipindi anaiona ajali hii hapa alisikika Tu akisema "Watoto wangu jamani" then kishindo Kikubwa...
daaaahdereva Kipindi anaiona ajali hii hapa alisikika Tu akisema "Watoto wangu jamani" then kishindo Kikubwa
Barabara funyi sana kutoka tegeta kibaoni mpaka unamaliza bunju b sokoni karibu na mapinga kuna wingi wa magari ila hao dereva basi ni changamoto sana, walitamani kuwa wao barabarani.Haya mapumbavu hata ukiwa Bagamoyo road kule Bunju,Boko yana vurugu kweli kujidai yana haraka wakati tayari wako Dar. Kuwachekea Hawa wapumbavu ndio sababu wanaua ndugu zetu kizembe.
Akae mbele labda hajitaki, anajua lazima mwenzake angepeleka kushoto na hata ingekuwa yeye angefanya hivyo
Hao wote wamefanyishwa mitihani na kuthibitishwa huko LATRA na pia ku-renew leseni zao waliombwa vyeti vya taaluma ya udereva kutoka VETA.
Bila kusahau hayo mabasi yamekaguliwa polisi yana sticker ya Wiki ya nenda kwa usalama.
Uzembe unadhibitiwaje?
Haya mapumbavu hata ukiwa Bagamoyo road kule Bunju,Boko yana vurugu kweli kujidai yana haraka wakati tayari wako Dar. Kuwachekea Hawa wapumbavu ndio sababu wanaua ndugu zetu kizembe.
Kujenga barabara ya lami njia mbili ni kukatili na kuendelea kupoteza nguvu kazi ya taifa.Haraka bila sababu ,kujiona kwamba wao ndio kipaumbele kwenye barabara hiyo ni shida kubwa. Njia nne ndio suluhisho kwa aina ya madereva wetu.
Kuna bus nipo hapa,staff wanazungumzia huyu davoo alivyopenda watoto wake 💔hapana, davoo #2 (gen z flani) ndiye alikuwa nyuma ya usukani
mzee alikuwa kasimama tayari kupokea kijiti chuma ikifika Nala kulisha