dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,673
Ajali mbaya za basi la Isamilo linalofanya safari zake Mwanza-Dar kugongana uso kwa uso na basi la Libanika (Dar-Mwanza) iliyotokea alfajiri ya leo, kijiji cha Msembeta, kata ya Nala, wilaya ya Dodoma, mkoa wa Dodoma.
Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi
Chanzo cha ajali ikiwa ni mwendokasi wa basi la Isamilo (linatoka Mwanza kwenda Dar) , ku overtake lori kwenye mlima na likiwa kwenye kona kali, kulivamia basi la Libanika lililokuwa linatoka Dar kwenda Mwanza
Updates 1
=========================
Wamefariki watu 9 ikiwemo dereva, makondakta na abiria
Jumla ya majeruhi ni 66 na 9 kati yao wameripotiwa kuwa katika hali mbaya na wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma
==========================
Updates 2
=========================
Dereva nambari 2 wa basi la Isamilo akamatwa na anashikiliwa na jeshi la polisi Dodoma
Ikumbukwe huyu dereva ndiye "aliyesababisha" ajali kisha kukimbia akiwa na majeraha
=========================
Kumekuwa na ripoti za vifo kadhaa na majeruhi wengi
Chanzo cha ajali ikiwa ni mwendokasi wa basi la Isamilo (linatoka Mwanza kwenda Dar) , ku overtake lori kwenye mlima na likiwa kwenye kona kali, kulivamia basi la Libanika lililokuwa linatoka Dar kwenda Mwanza
Updates 1
=========================
Wamefariki watu 9 ikiwemo dereva, makondakta na abiria
Jumla ya majeruhi ni 66 na 9 kati yao wameripotiwa kuwa katika hali mbaya na wanaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma
==========================
Updates 2
=========================
Dereva nambari 2 wa basi la Isamilo akamatwa na anashikiliwa na jeshi la polisi Dodoma
Ikumbukwe huyu dereva ndiye "aliyesababisha" ajali kisha kukimbia akiwa na majeraha
=========================