Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.



Una post 26 tu umejaa majungu .Ukiwa hapa mwaka itakuwaje ? Zitto na Kitila wamesha sema .Na ulisikia Kitila anakiri ndiyo utu ule kwamba ni kweli aliandika na wanahukumiwa kwa huo huo waraka .Ujinga wako hausaidii lolote .Wenye chama ama viongozi wamesha amua .Wewe na kinyesi kichafu tu kupiga mayowe hapa .Does not help anything .Ukitaka usikike nenda Chadema ofisini .Hapa unapoteza muda na una pwaya mbele ya GT's
 
Ndugu ebu nipe ufafanuzi kidogo hili la KATIBU MWENEZI wa chama (CCM) kumuita Waziri alieteuliwa na Rais kumuhoji juu ya uwajibikaji limekaaje?
Anzisha uzi nije nikupe ufafanuzi, hapa tunajadili Chadema wamekuja na mpyaa.
 
Zito ninani ndani ya chama chenye wanachama lukuki? Nashauri cc imnyanganye kadi haraka.
 
Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.



Magraduate wa siku hizi hovyo kabisa ardhi imejaa nchi hii hamtaki kujishughulishwa munabemendwa na zitto eti M-Pesa -tigo pesa shilingi lai moja na nusu laki mbili mukeshe kumsafisha zitto ,DR Kitila lazima chadema iwang'pwe hawana nia nzuri na chama wame release waraka feki ili kuspin na kuconfuse wananchi sasa wameumbuka na usaliti na uzandiki wao they are too local ,mwisho wao wa kisiasa umeshafika
 
CHADEMA imejaa mambumbumbu! haiwezekani mtu kama Lema ambaye ufahamu wake una walakini awe na maamuzi makubwa hivyo kwenye Chama! huu ni ubatili!
 
Kawachezea kwalipi? Yaleyaliyo semwa kwenye ule waraka msipofanyia kazi shauriyenu.

Zito hakatai kufukuzwa.yupo tayari.anacho kataa yeye kesho na keshokutwa cdm ikiwa vipande vipande asilaumiwe yeye.

CDM ni mpango mzima wa Mungu,endeleeni kupiga ramli.
 
tundu Lisu anabwabwaja tu, nilifikili ni mwanasheria nguli kumbe ni boya tu.bi ni mnafiki tu.

Lazima muful yaani Mwanasheria bora kabisa East Africa unataka kumfananisha na wasaliti DR Kitila na Zitto ambao hawajijui wananunuliwa kirahisi kwa vipande theethini vya pesa na vyeo vya kikazi uku majina yao yakiwekewe red colour ,haya endelea kuumia manake vi -mpesa vya shilingi laki mbili vimeshang'oka jack zoka hawezi toa pesa kwa majitu yameshinwa mission ya kuvuruga chadema
 
Mwenye akili ndogo kama wewe hawezi kumuelewa big brain kama Lissu. Sikulaumu!!!

unaijua big brain wewe?...kamati nzima inahaha kuhusu zzk lau wapate kashfa ya kumuondoa chadema
zzk ni next level zzk go go go go go ...........Tundu lissu anajidhalilisha tu kwa kutumia kama ile mipira fulani hivi
 
Back
Top Bottom