Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Huo orijinali ndo uko wapi? Yule padri anataka kutuvurugia chama. Mzee ana roho ya chuki,inda na majivuno. Nitampgia kura diwani na mbunge wa chadema ila kama huyo mnafiki atateuliwa na chama sitompgia kura. Ana roho mbaya kama alshabab
Wewe na zito wote walewale wala hamna tofauti unajua hata mungu alimuumba mwanamke akijua kuwa ni rahisi kushawishika na ndio maana yule nyoka alianza na hawa wala hakuanza nza adam ,sasa nashangaa siku hizi vivulana na zito kabwe na vivulana vyenzie vimebeba tabia za mwanamke kama hawa,yaani hawana hata hadhi ya kuwa wanaume hata kwa vivulana ni kuwapendelea tu huenda hata sifa hiyo hawana bali suruali tu zinawasitiri
 
mnaangaika sanaaaa kama kuku anatakutaga, waraka upo halali makao makuu ya cahana na zito/kitila ndio wanaujua kama fake aua orginal... Fanya kazi famila yako ukitumie acha ushabiki, sasa foleni ni tabu, umeme umepandishwa, maji hakuna waraka unakusaidia nini

Hata mimi nashindwa kuwaashangaa Team Zitto kwani kila sehemu ni kuhaha tu. Wameanzisha thread za ajabu ajabu nyingi mno lakini wapi.

Just prepare for another Masalia-type pollution ahead of the pending conviction of the Traitor.
 
Hahahaha mie huwa nasema wale chadema sio chama cha siasa kile,kipo tu kuwapa watu unaarufu wa siasa uchwara basiiii,mbowe alisema anao ushahid bomu ya arusha lakn mpaka leo kaficha kengeza zake ndan ya miwani kimyaaaa,nAungana na nape kuwa wao ndo walioratbu mabomu yale
Poor cdm
 
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.

Hizi ndio imani za Lumumba kwamba tukiwakamata mafisadi Nchi itayumba,utumwa mwingine unadhalilisha sana.......ndio maana CCM wameshindwa kuvuana magamba maana chama kitakufa.......kamwe siwezi kukubali aibu kama hii.
 
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.


hata warid kaburu mlisema akifukuzwa chadema ingekufa lakini wapi, ivi mbona mipango yenu miovu mnaipitishia kwa waha wa kigoma,

nyie waha ebu mjitathmini CCM wamewageuza uchochoro jaman angalia z.kabwe, w kaburu, nswanzugwanko, kafulila mpaka mchoz ukamtoka wote wanaongeka kiuraisi, why Wa.kigoma?
 
Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.



cjui usaidiwaje
 
Sawa, hamumtaki, lakini msimbambikizie kesi kama mnaamini ktk demokrasia ya kweli.

Kabambikiziwa kesi na nani wewe kima? Inamana wewe ndo wajua zaidi kuwa kabambikiwa? Mbona wajipendekeza kwa mtuhumiwa vipi anaku brush nini.?
 
Yote sawa!
Mi nnachoshangaa ni kwanini ccm inasymphathise na zitto na inamtetea!!
Why?????
wana uchungu gani nae!!
Ili kwamba aendelee kuwa na nyazifa zake cdm!!
 
Natamani zitto ufukuzwe hata kesho umetuchosha kwani wewe ni nani? Chama kiko imala sana kama ulijua wewe ni cdm ur wrong masalia original. Eti Mwapamba ndo muandaa press conference. .! ?Shame upon you
 
Kabambikiziwa kesi na nani wewe kima? Inamana wewe ndo wajua zaidi kuwa kabambikiwa? Mbona wajipendekeza kwa mtuhumiwa vipi anaku brush nini.?

Kamanda,mbona unatokwa povu! Tuliza munkari! Tutawapa ukweli mpaka mtaja.............!
 
Haifiki tarehe 10 Dec 2013 Zitto hatutakuwa naye tena Chadema. Nilipenda sana tamko la Dr Lwaitama kwamba ni vizuri kuwaondoa mapema hata kama itatugharimu kwa wakati huu kuliko kuwaacha then ikatugharimu zaidi hapo baadae. Viva Chadema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu nae aibu iko wapi kwanza ulimuelewa vizuri tundu lisu, au tufanye summary, shida yako uko ignorant, nikupe ushauri rudi shule ukapate special course kunoa ubongo wako kuna virus,,, au tukutafutie antivurus
unalipwa sh. ngapi na Tundu. au wale wale?
 
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.

ahahahahaaaa, simiyu yenu, CDM ni taasisi inayoheshimika na sio mtu binafsi. it will remain strong and stronger ever. am telling you my bro.
 
Kama Zitto hana Ubavu kwanini wanakuwa waoga kuitisha Uchaguzi.

Weee! Waitishe uchaguzi na zito agombee! Thubutu! Babu wa tengeru hataruhusu ujinga huo! Si atawabwaga mbali sana!
 
Natamani zitto ufukuzwe hata kesho umetuchosha kwani wewe ni nani? Chama kiko imala sana kama ulijua wewe ni cdm ur wrong masalia original. Eti Mwapamba ndo muandaa press conference. .! ?Shame upon you
mbwela mbwela
 
Back
Top Bottom