Domowazi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 203
- 28
Sasa mnangoja nini? Mtimueni basi!
kila kitu kinafuata taratbu we ngamia hiki ni chama co kijiwe,,,
Sasa mnangoja nini? Mtimueni basi!
hivi wwe unafikiri utawaweza CHADEMA ?? hata mkilala kwa bibi kalembwani miaka kumi swala litabaki kuwa ccm elfu moja sawa na chadema 1 tena kama ccm mwenyewe atakuwa na akili kama zako basi itakuwa ccm 10,000 sawa na chadema 1 f.yKamanda,mbona unatokwa povu! Tuliza munkari! Tutawapa ukweli mpaka mtaja.............!
kweli una kamasi kwnye kichwa wamelikataa wakat ni waz kuwa amepew mabilion ya fedha na liccm lenu,,,,
kama cdm ni taasisi basi mwambieni macho kumchuzi "mbowe" aitishe uchaguzi wa chama.
kama cdm ni taasisi basi mwambieni macho kumchuzi "mbowe" aitishe uchaguzi wa chama.
hivi wwe unafikiri utawaweza CHADEMA ?? hata mkilala kwa bibi kalembwani miaka kumi swala litabaki kuwa ccm elfu moja sawa na chadema 1 tena kama ccm mwenyewe atakuwa na akili kama zako basi itakuwa ccm 10,000 sawa na chadema 1 f.y
mbinu za ccm ni za kizee sana ndio mana kundi zima la usalama wa taifa tanzania linachemsha kwa red brigade mmoja tu wa chadema kiutendaji, f.yChadema ni ma mafia wa ukweli! Bora zito asijitoe kwa usalama wake, wanaweza kum chacha wangwe!
vipi kuhusu ile kesi yako ya simu,wizi haufai.ni kweli kuna wa kambi ya slaa[urais] na ule wa mbowe[m/kiti]
kila kitu kinafuata taratbu we ngamia hiki ni chama co kijiwe,,,
si amepewa siku 14 , subiri uone kazi !Sasa mnangoja nini? Mtimueni basi!
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.
hiv huyu ------ anayejiita ben saa nane yuko wp,aje akanushe na hili manake yeye ndo katibu mwenez wa familia ya mbowe!!mtoto mjinga sna hyu,leo naona wameshikwa pabaya si kawaida yake kukaa kimya hiv,cijawahi kuona chama cha kikuda hv kama chadema
Tindu Lissu kanasa tayari kwenye mtego wa mbowe na Dr slaa,sijui wamemkatia ngapi?
Duh! Kamanda, usaliti ni pamoja na kudai uchaguzi ndani ya chama?