Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Aibu: Tundu Lissu adanganya tena

Duh hawa jamaa hawana aibu. Wameamua kuukana waraka. Watanzania watambue waraka uliochapishwa ni huohuo, na tena waliugawa wenyewe na kuutuma JF bila kujua madhara yake. Sasa wameumbuka kwa mambo yaliyopo ndani na sasa wanatapatapa.

Tundu Lissu aliwadanganya wajumbe wa Kamati Kuu kuwa 'tukiwafukuza hawa chama kitakuwa imara mara kumi'.

Eti waraka wa kufanya mapinduzi. Mapinduzi kwenye chama cha siasa yanafanyikaje? Hili sakata limempunguzia heshima sana TL. Sasa Mnyika naye hata kwenye kikao hakuwepo ameingia kichwakichwa.


 
Eti wanadai ule waraka alioukiri Kitila ni feki! Na kwamba baada ya kikao kijacho wakilazimika kuutoa ule orijino watafanya hivyo!
My take: chadema mtamfanya Zito aseme ambayo hakutaka kuyasema!itakula kwenu!

Zitto hana ubavu wa kuchezea vichwa za maelefu ya Watanzania wanaokiunga mkono chadema. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mtu mmoja hawezi kushindana na nguvu za Mungu.

Muambieni akome kabisa, na wala hatuogopi kumtimuwa.
 
Zitto hana ubavu wa kuchezea vichwa za maelefu ya Watanzania wanaokiunga mkono chadema. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mtu mmoja hawezi kushindana na nguvu za Mungu.

Muambieni akome kabisa, na wala hatuogopi kumtimuwa.
Zitto akitimuliwa kesho yake chadema inakufa bila zito hakuna chadema.
 
Zitto hana ubavu wa kuchezea vichwa za maelefu ya Watanzania wanaokiunga mkono chadema. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mtu mmoja hawezi kushindana na nguvu za Mungu.

Muambieni akome kabisa, na wala hatuogopi kumtimuwa.

Kwa hiyo kamanda,nia yenu ni kumuondoa Zito tu! Maana huu waraka wa pili ndio umepikwa vizuri kuliko ule wa kwanza sio?
 
Tindu Lissu kanasa tayari kwenye mtego wa mbowe na Dr slaa,sijui wamemkatia ngapi?
 
nimesikia lisu akisema huu waraka tunaousoma hapa jf ni feki.nimeamini hawa jamaa ni makanjanja

Wanataka waandike waraka mwingine ndipo waturetee.

ni kweli kuna wa kambi ya slaa[urais] na ule wa mbowe[m/kiti]
 
Zitto hana ubavu wa kuchezea vichwa za maelefu ya Watanzania wanaokiunga mkono chadema. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Mtu mmoja hawezi kushindana na nguvu za Mungu.

Muambieni akome kabisa, na wala hatuogopi kumtimuwa.

Kawachezea kwalipi? Yaleyaliyo semwa kwenye ule waraka msipofanyia kazi shauriyenu.

Zito hakatai kufukuzwa.yupo tayari.anacho kataa yeye kesho na keshokutwa cdm ikiwa vipande vipande asilaumiwe yeye.
 
Back
Top Bottom